Mbarali wamegoma kumsupport Mizengo Pinda uzinduzi wa kampeni za Ubunge

Mbarali wamegoma kumsupport Mizengo Pinda uzinduzi wa kampeni za Ubunge

Mwitikio wa wananchi kwenye uzinduzi wa Ubunge jimbo la Mbarali ni ishara kwamba hali si shwari majimboni kisiasa:

Pamoja na Mhe. Waziri Mkuu mstaafu kushiriki katika uzinduzi huo na wananchi kuombwa kushiriki mwitikio ni mdogo jambo linalopelekea kamati ya siasa ya jimbo kukaa leo kwa ajili ya kuweka mikakati kizuri zaidi ya kuwashawishi watu kufika kwenye mikutano.

Hali hii naamini inatokana na wabunge waliopo kwa sasa kukataa kushirikiana na wananchi badala yake wapo mijini na familia zao wakiwa na hofu ya kutumia fedha zao kisha mwakani wakafyekwa.

Tutaelewa

Hii nimeisikia kwa wabunge wengi….hasa waliopitishwa na Magufuli kinyemela hawahangaiki kabisa kufanya mikutano na hii inachangia Sana kumyumbisha Rais kisiasa kwa kuwa watu aliotegemea kuwa watakua wanamsemea wameamua kula pesa za ubunge tu bila kuwekeza kwa wananchi hasa wengi ambao wanajua hawawezi kushinda
 
Mwitikio wa wananchi kwenye uzinduzi wa Ubunge jimbo la Mbarali ni ishara kwamba hali si shwari majimboni kisiasa:

Pamoja na Mhe. Waziri Mkuu mstaafu kushiriki katika uzinduzi huo na wananchi kuombwa kushiriki mwitikio ni mdogo jambo linalopelekea kamati ya siasa ya jimbo kukaa leo kwa ajili ya kuweka mikakati kizuri zaidi ya kuwashawishi watu kufika kwenye mikutano.

Hali hii naamini inatokana na wabunge waliopo kwa sasa kukataa kushirikiana na wananchi badala yake wapo mijini na familia zao wakiwa na hofu ya kutumia fedha zao kisha mwakani wakafyekwa.

Tutaelewa
Pinda amepitwa mno na Wakati
 

Attachments

  • FB_IMG_1691294946989.jpg
    FB_IMG_1691294946989.jpg
    15.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom