Mundamushimu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 754
- 432
VP inahoji uchangiwe au nikuelekeze ukachukuwe mikopo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwitikio wa wananchi kwenye uzinduzi wa Ubunge jimbo la Mbarali ni ishara kwamba hali si shwari majimboni kisiasa:
Pamoja na Mhe. Waziri Mkuu mstaafu kushiriki katika uzinduzi huo na wananchi kuombwa kushiriki mwitikio ni mdogo jambo linalopelekea kamati ya siasa ya jimbo kukaa leo kwa ajili ya kuweka mikakati kizuri zaidi ya kuwashawishi watu kufika kwenye mikutano.
Hali hii naamini inatokana na wabunge waliopo kwa sasa kukataa kushirikiana na wananchi badala yake wapo mijini na familia zao wakiwa na hofu ya kutumia fedha zao kisha mwakani wakafyekwa.
Tutaelewa
Pinda amepitwa mno na WakatiMwitikio wa wananchi kwenye uzinduzi wa Ubunge jimbo la Mbarali ni ishara kwamba hali si shwari majimboni kisiasa:
Pamoja na Mhe. Waziri Mkuu mstaafu kushiriki katika uzinduzi huo na wananchi kuombwa kushiriki mwitikio ni mdogo jambo linalopelekea kamati ya siasa ya jimbo kukaa leo kwa ajili ya kuweka mikakati kizuri zaidi ya kuwashawishi watu kufika kwenye mikutano.
Hali hii naamini inatokana na wabunge waliopo kwa sasa kukataa kushirikiana na wananchi badala yake wapo mijini na familia zao wakiwa na hofu ya kutumia fedha zao kisha mwakani wakafyekwa.
Tutaelewa
..Hii ni nyara ya taifa inafaa kuachwa Gombe
Wewe ni mjinga, yaani unamwaza yule muovu?????Hii nchi imeshakwama - hatuwezi tena endelea zaidi ya hapa . Lambda JPM afufuke upya.
Wananchi wako wapweke mno.
Kura ni kupoteza muda, maana box la kura haliheshimiwi. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio suluhisho pekee.Hili litakuwa kosa kubwa.sana.. Tutawatoaje sasa kama hatutapiga kura..
Tutumie jeshi nambari sita au lingine?Kura ni kupoteza muda, maana box la kura haliheshimiwi. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio suluhisho pekee.
Unadhani hatujui ni kwa kiwango dhalimu aliharibu mifumo ya uchaguzi hapa nchini?Acha uongo.
Watu hawaoni umhimu wa uongozi.
Wapinduaji sio wenye vyeo vikubwa.Tutumie jeshi nambari sita au lingine?