Raia mdogo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2018
- 1,387
- 1,518
Sioni kosa la mlinzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo msemaji wa polisi chengaMlinzi wa Kampuni ya Kachipa aitwaye James Mtongori (28) Mkazi wa Katoro anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Geita kwa kumpiga risasi pajani, Kijana Kulwa Sylvester (26) Mkazi wa Katoro Tarafa ya Buseresele Mkoani Geita.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe amesema kabla ya kujeruhiwa Kulwa alitaka kumkata kwa shoka Mlinzi huyo ndipo Mtuhumiwa alijihami kwa kumfyatulia risasi na kumjeruhi kwenye paja.
"Kabla ya kujeruhiwa alitaka kumdhuru Mtuhumiwa kwa kumkata na shoka ndipo Mtuhumiwa alijihami kwa kumfyatulia risasi na kumjeruhi, Mtuhumiwa amekamatwa kwa mahojiano na upelelezi ukikamilika atafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma”
Aidha Kamanda Mwaibambe ametoa wito kwa Wananchi pamoja na Walinzi wa Kampuni mbalimbali kutojichukulia sheria mkononi “Kulwa anapatiwa matibabu katika Kituo cha Afya Katoro na anaendelea vizuri”
Labda hakutoa warning au huyo mwengine ni mtoto wa mkubwa hapo shambaMlinzi kosa lake nn hapo? Si alikuwa anajihami?
Hahaha mkuu nimecheka balaaNdio sheria. Sometimes sheria inashangaza. Wakati ule adhabu ya kunyonga ilikuwa inatekelezwa. Yule mnyongaji baada ya kunyonga anapelekwa Mahakamani na kusomewa mashtaka ya kuua nakuachiwa na Tena akinyonga anapelekwa Tena hivyo hivyo mahakamani na kuachiwa. Sasa Unabaki kushangaa tu WTF?!
Una akili timamu?Jamani james kapewa silaha kwa ajili ya ulinzi wa kampuni na si kwa ajili ya masuala yake binafsi, hiyo ina maana silaha itatakiwa kutumika pale endapo kuna jambo lolote la kuhatarisha kampuni au mali ya kampuni limetokea au kutaka kufanyika, tofauti na hapo risasi hiyo haina kibali cha kutumika kwa ulinzi binafsi wa james, tayari ni kinyume na sheria
Kwahiyo alitakiwa asubiri akatwe na shoka kwanza ndipo ajibu kwa risasi au ilitakiwajeAidha Kamanda Mwaibambe ametoa wito kwa Wananchi pamoja na Walinzi wa Kampuni mbalimbali kutojichukulia sheria mkononi “Kulwa anapatiwa matibabu katika Kituo cha Afya Katoro na anaendelea vizuri”
Acheni upumbavu,kwa hiyo angekaa tuu apigwe shoka?Mlinzi wa Kampuni ya Kachipa aitwaye James Mtongori (28) Mkazi wa Katoro anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Geita kwa kumpiga risasi pajani, Kijana Kulwa Sylvester (26) Mkazi wa Katoro Tarafa ya Buseresele Mkoani Geita.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe amesema kabla ya kujeruhiwa Kulwa alitaka kumkata kwa shoka Mlinzi huyo ndipo Mtuhumiwa alijihami kwa kumfyatulia risasi na kumjeruhi kwenye paja.
"Kabla ya kujeruhiwa alitaka kumdhuru Mtuhumiwa kwa kumkata na shoka ndipo Mtuhumiwa alijihami kwa kumfyatulia risasi na kumjeruhi, Mtuhumiwa amekamatwa kwa mahojiano na upelelezi ukikamilika atafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma”
Aidha Kamanda Mwaibambe ametoa wito kwa Wananchi pamoja na Walinzi wa Kampuni mbalimbali kutojichukulia sheria mkononi “Kulwa anapatiwa matibabu katika Kituo cha Afya Katoro na anaendelea vizuri”
Sawa division one,Una akili timamu?
Baada ya kumuua kwa shoka kisha angepora hiyo silaha mini kingefuata?
Wewe ni Division Zero kama Kamanda Mwaibambe!
Hahahahaaa apigwe shoka ushahidi upatikane hatari sanaKosa la mlinzi James Mtongori (28) linalo sababisha kushikiliwa na Polisi ni kumpiga risasi pajani kijana Kulwa Sylvester (26) bila ushahidi. James alitakiwa asubiri kupigwa shoka na Kulwa ili ushahidi ukamilike.
Jeshi la Polisi tunawatakia kazi njema, ili HAKI ikapatikane MAHAKAMANI
Katumia silaha masuala binafsi....sio lindo la kaziniSasa anaetaka kupandishwa kizimbani ni mlinzi aliyejiahami au ni yule aliefanya ‘attempted murder’?
Chai hii [emoji1787]Ndio sheria. Sometimes sheria inashangaza. Wakati ule adhabu ya kunyonga ilikuwa inatekelezwa. Yule mnyongaji baada ya kunyonga anapelekwa Mahakamani na kusomewa mashtaka ya kuua nakuachiwa na Tena akinyonga anapelekwa Tena hivyo hivyo mahakamani na kuachiwa. Sasa Unabaki kushangaa tu WTF?!
Bush LawyerJamani james kapewa silaha kwa ajili ya ulinzi wa kampuni na si kwa ajili ya masuala yake binafsi, hiyo ina maana silaha itatakiwa kutumika pale endapo kuna jambo lolote la kuhatarisha kampuni au mali ya kampuni limetokea au kutaka kufanyika, tofauti na hapo risasi hiyo haina kibali cha kutumika kwa ulinzi binafsi wa james, tayari ni kinyume na sheria