Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Yule fala yupo hospital. Anaonekana kama kaonewa.Sasa anaetaka kupandishwa kizimbani ni mlinzi aliyejiahami au ni yule aliefanya ‘attempted murder’?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule fala yupo hospital. Anaonekana kama kaonewa.Sasa anaetaka kupandishwa kizimbani ni mlinzi aliyejiahami au ni yule aliefanya ‘attempted murder’?
Ndio sheria. Sometimes sheria inashangaza. Wakati ule adhabu ya kunyonga ilikuwa inatekelezwa. Yule mnyongaji baada ya kunyonga anapelekwa Mahakamani na kusomewa mashtaka ya kuua nakuachiwa na Tena akinyonga anapelekwa Tena hivyo hivyo mahakamani na kuachiwa. Sasa Unabaki kushangaa tu WTF?!
Wanasheria wenyewe wanashangaa..Hivi humu ndani hamna wanasheria watuambie kulikoni mlinzi kadakwa
🤣🤣🤣🤣 DahNdio sheria. Sometimes sheria inashangaza. Wakati ule adhabu ya kunyonga ilikuwa inatekelezwa. Yule mnyongaji baada ya kunyonga anapelekwa Mahakamani na kusomewa mashtaka ya kuua nakuachiwa na Tena akinyonga anapelekwa Tena hivyo hivyo mahakamani na kuachiwa. Sasa Unabaki kushangaa tu WTF?!
Majambazi wakija kwako kutaka kukumaliza utaacha kutumia silaha kujilinda kisa ni nyumba yako binafsi?Katumia silaha masuala binafsi....sio lindo la kazini
Umeenda silaha nyumbani kwako ? HaiitakiwiMajambazi wakija kwako kutaka kukumaliza utaacha kutumia silaha kujilinda kisa ni nyumba yako binafsi?
Sheria zetu za kipumbavu sanaNdio sheria. Sometimes sheria inashangaza. Wakati ule adhabu ya kunyonga ilikuwa inatekelezwa. Yule mnyongaji baada ya kunyonga anapelekwa Mahakamani na kusomewa mashtaka ya kuua nakuachiwa na Tena akinyonga anapelekwa Tena hivyo hivyo mahakamani na kuachiwa. Sasa Unabaki kushangaa tu WTF?!
Labda walimtuma mwenye shoka amtwange jamaa afe, waibe siraha wakaitumie kwenye uharifu wao. Sasa walicho amua hapo ni kumkomoaWanasheria hivi kosa la mlinzi hapo ni Nini, hajua, kajihami ...
Tatizo lipo wapi? Kama hana kosa polisi kazi yao ni kumfikisha mahakamani, mahakama ndio yenye kusema hana au ametenda kusa. Shida ipo wapi?Wanasheria hivi kosa la mlinzi hapo ni Nini, hajua, kajihami ...
Hivi umejiuliza kuwa anapaswa kuilinda hiyo silaha zaidi ya uvamizi wowote unaoweza kujitokeza ukasababisha aporwe hiyo silaha?Jamani james kapewa silaha kwa ajili ya ulinzi wa kampuni na si kwa ajili ya masuala yake binafsi, hiyo ina maana silaha itatakiwa kutumika pale endapo kuna jambo lolote la kuhatarisha kampuni au mali ya kampuni limetokea au kutaka kufanyika, tofauti na hapo risasi hiyo haina kibali cha kutumika kwa ulinzi binafsi wa james, tayari ni kinyume na sheria