Mbaroni kwa kumpiga risasi ya paja mtu aliyetaka kumshambulia kwa shoka

Mbaroni kwa kumpiga risasi ya paja mtu aliyetaka kumshambulia kwa shoka

Hahaha
Ndio sheria. Sometimes sheria inashangaza. Wakati ule adhabu ya kunyonga ilikuwa inatekelezwa. Yule mnyongaji baada ya kunyonga anapelekwa Mahakamani na kusomewa mashtaka ya kuua nakuachiwa na Tena akinyonga anapelekwa Tena hivyo hivyo mahakamani na kuachiwa. Sasa Unabaki kushangaa tu WTF?!
 
Ndio sheria. Sometimes sheria inashangaza. Wakati ule adhabu ya kunyonga ilikuwa inatekelezwa. Yule mnyongaji baada ya kunyonga anapelekwa Mahakamani na kusomewa mashtaka ya kuua nakuachiwa na Tena akinyonga anapelekwa Tena hivyo hivyo mahakamani na kuachiwa. Sasa Unabaki kushangaa tu WTF?!
🤣🤣🤣🤣 Dah
 
Ndio sheria. Sometimes sheria inashangaza. Wakati ule adhabu ya kunyonga ilikuwa inatekelezwa. Yule mnyongaji baada ya kunyonga anapelekwa Mahakamani na kusomewa mashtaka ya kuua nakuachiwa na Tena akinyonga anapelekwa Tena hivyo hivyo mahakamani na kuachiwa. Sasa Unabaki kushangaa tu WTF?!
Sheria zetu za kipumbavu sana
 
Watu wa sheria watusaidie hapo. Si upumbavu huu. Sheria ni fani fulani sometime ya kipuuzi sana.
 
Jamani james kapewa silaha kwa ajili ya ulinzi wa kampuni na si kwa ajili ya masuala yake binafsi, hiyo ina maana silaha itatakiwa kutumika pale endapo kuna jambo lolote la kuhatarisha kampuni au mali ya kampuni limetokea au kutaka kufanyika, tofauti na hapo risasi hiyo haina kibali cha kutumika kwa ulinzi binafsi wa james, tayari ni kinyume na sheria
Hivi umejiuliza kuwa anapaswa kuilinda hiyo silaha zaidi ya uvamizi wowote unaoweza kujitokeza ukasababisha aporwe hiyo silaha?

Vipi kama James angeporwa hiyo silaha na kupkupigwa hilo shaka kichwani ungesema namna hii?.

James kasimamia vizuri mafunzo yake kayatendea haki haujasikia kama wale wengine wanasema kapigwa risasi ya mguu na kufariki wakati alipotaka kuwajeruhi "wapambanaji" aliokuwanao huyo muhalifu?
 
Back
Top Bottom