Mbaroni kwa kumpiga risasi ya paja mtu aliyetaka kumshambulia kwa shoka

Huyo msemaji wa polisi chenga
 
Hahaha mkuu nimecheka balaa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Una akili timamu?

Baada ya kumuua kwa shoka kisha angepora hiyo silaha mini kingefuata?

Wewe ni Division Zero kama Kamanda Mwaibambe!
 
Nchi hii matatizo matupu,wakati fulani Mambosasa akiwa kamanda wa polisi kanda maalumu Dsm niliwahi kumsikia akiwalamikia na kuwalaumu baadhi ya watu wanaomiliki silaha kihalali lakini wanashindwa kujiami pale unapotokea uhalifu sasa huko mtu kaitumia kwa kujiami halafu tena yeye ndiye anakamatwa!
 
Acheni upumbavu,kwa hiyo angekaa tuu apigwe shoka?
 
Una akili timamu?

Baada ya kumuua kwa shoka kisha angepora hiyo silaha mini kingefuata?

Wewe ni Division Zero kama Kamanda Mwaibambe!
Sawa division one,
Ingekuwa hivyo basi walinzi wote wangekuwa na haki ya kutumia silaha kwa raia yeyote atakaewasogelea,
 
James hana kosa na hata akipandishwa mahakamani anashinda hiyo case. Alichokifanya ni SELF DIFENCE hata kama angemtandika risasi ya kifua huyo aliyeshika shoka. Walichofanya polisi ni utaratibu wa kawaida tukio lihusisho siraha ya moto litokeapo..
 
Hahahahaaa apigwe shoka ushahidi upatikane hatari sana
 
Ukiua au ukijeruhi wakati unajilinda, yote ni shida; nini umuhimu wa kumiliki silaha?
 
Chai hii [emoji1787]
 
Bush Lawyer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…