Sakasaka Mao JF-Expert Member Joined Sep 29, 2016 Posts 12,826 Reaction score 17,371 Feb 27, 2023 #21 Nyendo said: Jeshi la polisi mkoani Shinyanga linamshikilia Abel John mkazi wa Kata ya Ngokolo katika Manispaa ya Shinyanga kwa tuhuma za kuwalawiti watoto wake wa kiume wawili baada ya kuachana na mkewe. Click to expand... Inaleta kichefu chefu hata tu kule kuisoma post hii! Ptuu!
Nyendo said: Jeshi la polisi mkoani Shinyanga linamshikilia Abel John mkazi wa Kata ya Ngokolo katika Manispaa ya Shinyanga kwa tuhuma za kuwalawiti watoto wake wa kiume wawili baada ya kuachana na mkewe. Click to expand... Inaleta kichefu chefu hata tu kule kuisoma post hii! Ptuu!
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Feb 27, 2023 #22 Baada ya kuaachana na mke wake ?? [emoji848] Isije ikawa jamaa kagundua alilea watoto kumbe si wake,kaamua kufanya unyama huo Nimewaza tu Ova
Baada ya kuaachana na mke wake ?? [emoji848] Isije ikawa jamaa kagundua alilea watoto kumbe si wake,kaamua kufanya unyama huo Nimewaza tu Ova
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Feb 27, 2023 #23 Aizn said: Kabla ya yote nayeye alawitiwe kwanza alaf ndio kesi ianze kusomwa Click to expand... Atakae mlawiti nae atafunguliwa kesi pia
Aizn said: Kabla ya yote nayeye alawitiwe kwanza alaf ndio kesi ianze kusomwa Click to expand... Atakae mlawiti nae atafunguliwa kesi pia
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 52,160 Reaction score 48,974 Mar 1, 2023 #24 Naye ni baba eti
msafwa93 JF-Expert Member Joined Jul 2, 2011 Posts 4,786 Reaction score 5,963 Mar 1, 2023 #25 Kwa sasa nakaa kimya.. kuna jamaa aliachana na mkewake akalazimisha kubaki na watoto, yule mwanamke aka plot na watoto wasingizie amewabaka wakamuhonga mpaka daktari.. Msihukumu kabla, wanawake ni mashetani..
Kwa sasa nakaa kimya.. kuna jamaa aliachana na mkewake akalazimisha kubaki na watoto, yule mwanamke aka plot na watoto wasingizie amewabaka wakamuhonga mpaka daktari.. Msihukumu kabla, wanawake ni mashetani..
D dos.2020 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2009 Posts 11,880 Reaction score 10,372 Mar 1, 2023 #26 Angelikua anatokea Zanzibar uzi usingelitosha huu