Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Kama vile kukomoana na kulipiza kisasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan mkuu unauliza kilichosababisha yeye abakwe aisee unataka kutuaminisha hapa Kuwa wanaobakwa huwa Kuna kitu wanafanya na kupeleka kubakwaNi muendelezo wa umaskini mkubwa nchini, huyu binti chanzo kikubwa cha kupoteza maisha yake ni umaskini wa familia yao - inasemekana ALIBAKWA ambapo haijulikani aliyembaka ni nani na ni nini kilisababisha hadi abakwe.
Watoto wengi wa kike ambao bibi zao ama mama zao wanafanya biashara ya Pombe za kienyeji ni tatizo kubwa,
Ni muendelezo wa umaskini mkubwa nchini, huyu binti chanzo kikubwa cha kupoteza maisha yake ni umaskini wa familia yao - inasemekana ALIBAKWA ambapo haijulikani aliyembaka ni nani na ni nini kilisababisha hadi abakwe.
Watoto wengi wa kike ambao bibi zao ama mama zao wanafanya biashara ya Pombe za kienyeji ni tatizo kubwa,
hujajua hoja yangu? je binti alikuwa protected baada ya kubakwa? jibu hapana - kwa nini ?Yaan mkuu unauliza kilichosababisha yeye abakwe aisee unataka kutuaminisha hapa Kuwa wanaobakwa huwa Kuna kitu wanafanya na kupeleka kubakwa
Kama ni kulipiza kisasi kwa nini watoto wengine wabakie salama na binti pekee ndiye auawe ?Ushauri kwa wazazi wenzangu ukianzisha vita zisizo na kichwa wala miguu na vichaa jua kulinda vya kwako maana vichaa huwa hawana cha kupoteza
Pole mkuu ni majambazi walimuuwa?Dodoma sip mkoa Salama kabisa..narudia Dodoma sio mkoa Salama licha ya kujazwa vyombo vya usalama.
Ndugu yangu alifika Dodoma akaingia Lodge hakuamka Tena!! Wahuni wakamzamisha silaha za kutosha!!! So sad!
hujajua hoja yangu? je binti alikuwa protected baada ya kubakwa? jibu hapana - kwa nini ?
Binti yule darasa la Saba mkuu anawajua karibu watu wote mtaani kwake unategemea umbake umuache na anakufahamu SI atasema tu kina Fulani wamenifanyia hivi aisee so usiulize why kauliwa waliofanya hivyo wanajua atawataja simple tu mkuu hapoKama ni kulipiza kisasi kwa nini watoto wengine wabakie salama na binti pekee ndiye auawe ?
Wakifanyiwa kitu mbaya na polisi gafla watetezi wanajitokeza kuwatetea.Dah.....hao wanyama wakidakwa sijui wapewe adhabu ipi
Waliompiga risasi Lissu mpaka leo hawajakamatwa. Itakuwa hao?Dah.....hao wanyama wakidakwa sijui wapewe adhabu ipi
Poleni sana wafiwa. !!Ni Jumatatu Tarehe 3/10/2022 Farida anajiandaa na kwenda zake Shule akiwa ni Binti wa Darasa la Saba.
Farida anaenda Shule huku akiwa amejiandaa vyema kwa Mtihani wake wa Kumaliza Elimu ya Msingi.
Farida ana wadogo zake wawili ambao wanamuona Dada yao kama mfano kwao.
Alasiri Farida anarudi Nyumbani, anakutana na wadogo zake na Mama yake.
Jioni Mama Farida anaondoka kwenda kwenye Mihangaiko na kuwaacha Watoto wake Nyumbani huku akiamini atawakuta salama salimini.
Lahaula.... Majira ya Giza linapoanza kumea Wahuni wanaingia Ndani kwa Mama Farida, Wanawakuta watoto wake Watatu (Farida na Wadogo zake 2) huku Mama akiwa kaenda kuwatafutia Mkate wanawe.
Wahuni wanamkamata Farida, WANAMBAKA na baada ya hapo wanamuangushia kipigo, wanamtoa nje wanamuacha huku Damu zikiwa zinavuja.
Masikini... wadogo zake Farida, wanashuhudia unyama anaofanyiwa Dada yao lakini hawana cha Kufanya.
Mama anarudi kutoka kwenye kutafuta Mkate wa watoto wake, anakutana na Watoto wake wawili wakiwa katika hofu kubwa na Damu ikiwa imemwagika Nyumbani kwake.
Mama anauliza Dada yenu yupo wapi watoto kwa hofu wanamuangalia Mama Yao huku Machozi yakiwatoka anafuatilia Damu anakutana na Binti yake akiwa anahema kwa mba...li Sana.
Kilio kinamtoka, Majirani wanakuja na kumsaidia kumpeleka Farida hospitali.
Njiani Farida anakata Roho na Mauti yanamfika.
FARIDA MAKUYA
Ni nani?
Ni Binti aliyekuwa akisoma Darasa la Saba (2022) na alitarajiwa Kufanya Mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi Tarehe 5-6/10/2022.
Anaishi wapi?
Mtumba
Anasoma wapi?
Mtumba Shule ya Msingi.
Mkoa Gani?
Dodoma
Ninashindwa kuendelea kuandika, Roho inauma Sana. Unyama aliotendewa unaumiza Sana.
Pumzika kwa Amani FARIDA MAKUYA.
Penye nia pana njiaWaliompiga risasi Lissu mpaka leo hawajakamatwa. Itakuwa hao?