Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Hawa haina hata haja ya kufanyiw msibaMkiona mahema dodoma tukae kimyaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa haina hata haja ya kufanyiw msibaMkiona mahema dodoma tukae kimyaa
Wawafanyaje sasa mkuuHawa haina hata haja ya kufanyiw msiba
Watupwe kama mizogaWawafanyaje sasa mkuu
🤣🤣 kifo cha uchungu sanaWatupwe kama mizoga
🤣🤣🤣 kifo cha uchungu sana
🤣🤣🤣 kifo cha uchungu sana
Ni kweli watu hawana hofu kabisa.
Naendelea kusema na sitichoka, tunapaswa kuanza kutekeleza adhabu ya kùnyonga watu mpaka kufa mara baada ya hukumu ya Mahakama.
Rais ashauriwe vizuri na aanze kuridhia hukumu hizi zitekelezwe, wahukumiwa wa mauaji WANYONGWE!
Hakuna sababu yoyote yenye mashiko ya kutokutekeleza adhabu hii.
Watu wameshajichokea,wanajua wakiua wataenda gerezani na watakula na kulala bure, adhabu ya kufungwa maisha haiwasumbui tena.
Wapigwe za kichwa ndio adhabu inayowafaa hakuna kucheka nao mhuni akifanya uhuni na wewe mfanyie uhuni kupitiliza hio ndio dawa ya mhuniDah.....hao wanyama wakidakwa sijui wapewe adhabu ipi
😥😥 R I p pc karWatu wawili wanashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani Dodoma kwa tuhuma za mauaji wa mwanafunzi wa shule ya msingi Mtumba, Farida Makuya (16) aliyeuawa usiku akiwa nyumbani kwao Oktoba 4, 2022.
View attachment 2378787
Marehemu enzi za uhai wake
Binti alitakiwa kuwa miongoni kwa watahiniwa wa mitihani wa darasa la saba inayotamatika leo nchi nzima. Inadaiwa alipigwa na kitu kizito kichwani wakati wa tukio hilo la mauaji.
Huzuni ilitawala wakati wa maziko yake hapo jana.
” Tukio la kifo chake ni baya kuelezeka,” amesema Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma Martin Otieno.
“Kwa sasa tumewakamata watu wawili kwa mahojiano na ikithibitika watafikishwa mahakamani,” amesema.
Inasemekana binti huyo alishambuliwa wakati mama yake alipoondoka nyumbani kwenda kuuza pombe za kienyeji na aliporudi akiwa amelewa alikutana na michirizi ya damu kuanzia mlangoni baada ya kuwasha tochi ya simu yake.
Baada ya shambulio hilo, binti huyo alipelekwa hospitali kwa ajili ya matibabu kabla ya kufikwa na umauti.
----
Ilikuaje??Dodoma sip mkoa Salama kabisa..narudia Dodoma sio mkoa Salama licha ya kujazwa vyombo vya usalama.
Ndugu yangu alifika Dodoma akaingia Lodge hakuamka Tena!! Wahuni wakamzamisha silaha za kutosha!!! So sad!
Subhanallah. Wanaweza wakakamatwa na kuadhibiwa wasio wahusika, na wahusika wakaendelea kudunda na kufanya uhalifuWapigwe za kichwa ndio adhabu inayowafaa hakuna kucheka nao mhuni akifanya uhuni na wewe mfanyie uhuni kupitiliza hio ndio dawa ya mhuni
Piga shaba za kichwa wote wakajielezee huko kuzimu pumbafu
Imeuma sana hawatakiwi kuchekewa kabisa hao simbiilisi watoto wa Ibilisi
Imeandikwa 'usimnyime mtoto kiboko' sasa hao kiboko chao ni kuwatembezea moto na kitu cha motoSubhanallah. Wanaweza wakakamatwa na kuadhibiwa wasio wahusika, na wahusika wakaendelea kudunda na kufanya uhalifu