Mbaroni kwa tuhuma za kubaka na kumuua mwanafunzi wa darasa la saba

Yaan mkuu unauliza kilichosababisha yeye abakwe aisee unataka kutuaminisha hapa Kuwa wanaobakwa huwa Kuna kitu wanafanya na kupeleka kubakwa
 

Kwa nini ni tatizo mkuu ?
 
Yaan mkuu unauliza kilichosababisha yeye abakwe aisee unataka kutuaminisha hapa Kuwa wanaobakwa huwa Kuna kitu wanafanya na kupeleka kubakwa
hujajua hoja yangu? je binti alikuwa protected baada ya kubakwa? jibu hapana - kwa nini ?
 
Dodoma sip mkoa Salama kabisa..narudia Dodoma sio mkoa Salama licha ya kujazwa vyombo vya usalama.

Ndugu yangu alifika Dodoma akaingia Lodge hakuamka Tena!! Wahuni wakamzamisha silaha za kutosha!!! So sad!
 
Dodoma sip mkoa Salama kabisa..narudia Dodoma sio mkoa Salama licha ya kujazwa vyombo vya usalama.

Ndugu yangu alifika Dodoma akaingia Lodge hakuamka Tena!! Wahuni wakamzamisha silaha za kutosha!!! So sad!
Pole mkuu ni majambazi walimuuwa?
 
Apumzike wa amani 🙏
Hizi roho za kikatili zimeshika hatamu
 
Kuna muda naona nchi yetu bora ifanye issue zingine kama China, mambo ya uovu na ukatili kama huu ni kupiga shaba tu wahusika.

So sad, Mungu ampumzishe kwa amani Farida.
 
hujajua hoja yangu? je binti alikuwa protected baada ya kubakwa? jibu hapana - kwa nini ?

Kama ni kulipiza kisasi kwa nini watoto wengine wabakie salama na binti pekee ndiye auawe ?
Binti yule darasa la Saba mkuu anawajua karibu watu wote mtaani kwake unategemea umbake umuache na anakufahamu SI atasema tu kina Fulani wamenifanyia hivi aisee so usiulize why kauliwa waliofanya hivyo wanajua atawataja simple tu mkuu hapo
 
Reactions: Cyb
Halafu kuna mashoga sijui wanaharakati wafirwa watu kama hao wakikamatwa wakashughulikiwa ipasavyo ,wanaanza kuchongoa midomo kama chuchunge.
 
Poleni sana wafiwa. !!
 

Naendelea kusema na sitichoka, tunapaswa kuanza kutekeleza adhabu ya kùnyonga watu mpaka kufa mara baada ya hukumu ya Mahakama.

Rais ashauriwe vizuri na aanze kuridhia hukumu hizi zitekelezwe, wahukumiwa wa mauaji WANYONGWE!

Hakuna sababu yoyote yenye mashiko ya kutokutekeleza adhabu hii.

Watu wameshajichokea,wanajua wakiua wataenda gerezani na watakula na kulala bure, adhabu ya kufungwa maisha haiwasumbui tena.

 
Roho za ajabu watu wa aina hii kupiga sindano za kifo tuu habari za haki za binadamu siyo wakati wake huu tena, watu wamekua hatari zaidi ya wanyama wa porini.
 
Poleni sana.. hapo hata sijaona motive ya wao kumpiga. Labda aliwatambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…