Mbaroni kwa tuhuma za kubaka na kumuua mwanafunzi wa darasa la saba

Ni kweli watu hawana hofu kabisa.
 
Mkoa huu wa dodoma ni makao makuu ya nchi lkn una matukio ya ajabu na mabaya sana..
 
Wanyongwe mara moja kabla hawajashtakiwa wanaweza kushinda kesi
 
Dah.....hao wanyama wakidakwa sijui wapewe adhabu ipi
Wapigwe za kichwa ndio adhabu inayowafaa hakuna kucheka nao mhuni akifanya uhuni na wewe mfanyie uhuni kupitiliza hio ndio dawa ya mhuni

Piga shaba za kichwa wote wakajielezee huko kuzimu pumbafu

Imeuma sana hawatakiwi kuchekewa kabisa hao simbiilisi watoto wa Ibilisi
 
😥😥 R I p pc kar
 
Wamebaka wameua ...waliwe ndogo na wauwawe.
Wake za nyapala hao
Afande bila kusahau kumpa Nyapala Mkuyati .
#Unyama Mwingi sana
 
Dodoma sip mkoa Salama kabisa..narudia Dodoma sio mkoa Salama licha ya kujazwa vyombo vya usalama.

Ndugu yangu alifika Dodoma akaingia Lodge hakuamka Tena!! Wahuni wakamzamisha silaha za kutosha!!! So sad!
Ilikuaje??
 
Subhanallah. Wanaweza wakakamatwa na kuadhibiwa wasio wahusika, na wahusika wakaendelea kudunda na kufanya uhalifu
 
Subhanallah. Wanaweza wakakamatwa na kuadhibiwa wasio wahusika, na wahusika wakaendelea kudunda na kufanya uhalifu
Imeandikwa 'usimnyime mtoto kiboko' sasa hao kiboko chao ni kuwatembezea moto na kitu cha moto
 
Kuna movie inaitwa tears of the sun, Bruce William, akiwa Kama luten,wa jeshi la Mmarekani,ametumwa Nigeria for rescue mission anakuta wamisionari wanakaribia kuvamiwa, Lakini padre wa kikatoliki anagoma kuondoka anamuaga Bruce" Go with God, Bruce anamjibu God has already left Africa" haya Mambo yanathibitisha kauli hii [emoji24][emoji24]
 
Waliotekeleza hili tukio wakikamatwa adhabu ni kunyongwa mpaka kifo. Mambo mengine nashindwa kuelewa kwanini mtu anafanya tena kwa mtoto mdogo kama huyo. Inasikitisha.
Hapa ndio wanawake wanapaswa kuona umuhimu wa baba na kuwa na mtoto wa kiume tena atakayelelewa na baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…