BIG NO.Ndugu yangu Kamdudu,mimi nimekuwa Mwenyekiti wa Pro life kwa miaka miwili,Watu wengi waliokuwa na mawazo km ya kwako tulikuwa tunawasahihisha;Kwa taarifa yako mtu anahesabika tangu saa ile mimba inatungwa,niulize kwanini; Sababu ni kuwa Mungu anakuwa ameweka pumzi yake ya uhai on the Sport mimba inapotungwa.Thus why Mungu mwenyewe anasema alitujua kabla ya kutungwa mimba,tukiwa tunatungwa mimba ktk matumbo ya mama zetu,yeye alishatujua,rejea Yeremia 1:5.Hivyo Binadamu huanza kuhesabika tangu mimba inapotungwa.