Mbaroni kwa tuhuma za kuua akijaribu kutoa mimba

Mbaroni kwa tuhuma za kuua akijaribu kutoa mimba

BIG NO.Ndugu yangu Kamdudu,mimi nimekuwa Mwenyekiti wa Pro life kwa miaka miwili,Watu wengi waliokuwa na mawazo km ya kwako tulikuwa tunawasahihisha;Kwa taarifa yako mtu anahesabika tangu saa ile mimba inatungwa,niulize kwanini; Sababu ni kuwa Mungu anakuwa ameweka pumzi yake ya uhai on the Sport mimba inapotungwa.Thus why Mungu mwenyewe anasema alitujua kabla ya kutungwa mimba,tukiwa tunatungwa mimba ktk matumbo ya mama zetu,yeye alishatujua,rejea Yeremia 1:5.Hivyo Binadamu huanza kuhesabika tangu mimba inapotungwa.
Mkuu, sayansi na haya mambo ya mungu mungu hayajawahi kukubaliana
 
Miezi 6 unatoaje kienyeji hivyo? Achilia mbali kutoa mimba tu ni kosa kisheria na kwa Mungu pia.
Miezi 6 mbona michache

Kwa namna wanawake walivyovurugwa sasa

Huku mtaani kwetu wanatoa hadi ya miezi 8 plus
 
kawaida mimba hua kiumbe hai baada ya siku 120 ...
kwa hio ukitoa mimba baada ya siku 120 umeua mtu ambaye yuko hai ila ukitoa kabla ya hapo hatuwezi kusema umeua.
Sayansi inakudanganya

Mimba zimekiwepo hata kabla ya ujio wa hiyo sayansi yako
 
Kwa uzoefu wako[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]upi ni wakati sahihi kutoa mimba sasa kama sio miezi sita tupe uzoefu mnatoa wakati gani?
Hakuna wakati sahihi wa kutoa mimba

Mimba ni kiumbe hai kabla hakijazaliwa
 
Sayansi inakudanganya

Mimba zimekiwepo hata kabla ya ujio wa hiyo sayansi yako

mi sijaleta sayansi ndugu nimeleta maneno ua aliyetuumba mwenyewe ndiye anatueleza step by step jinsi inavokua na wanasayansi wanakubaliana na hilo
 
BIG NO.Ndugu yangu Kamdudu,mimi nimekuwa Mwenyekiti wa Pro life kwa miaka miwili,Watu wengi waliokuwa na mawazo km ya kwako tulikuwa tunawasahihisha;Kwa taarifa yako mtu anahesabika tangu saa ile mimba inatungwa,niulize kwanini; Sababu ni kuwa Mungu anakuwa ameweka pumzi yake ya uhai on the Sport mimba inapotungwa.Thus why Mungu mwenyewe anasema alitujua kabla ya kutungwa mimba,tukiwa tunatungwa mimba ktk matumbo ya mama zetu,yeye alishatujua,rejea Yeremia 1:5.Hivyo Binadamu huanza kuhesabika tangu mimba inapotungwa.
Kiimani sawa lakini kibaolojia si sawa.
 
kawaida mimba hua kiumbe hai baada ya siku 120 ...
kwa hio ukitoa mimba baada ya siku 120 umeua mtu ambaye yuko hai ila ukitoa kabla ya hapo hatuwezi kusema umeua.
Mpaka sasa Wewe Umeua Kilazima ( Umetoa Mimba ) hivyo mara ngapi Mkuu? Manake kwa 'Utetezi' wako huu unaonyesha ni 'Mbobezi' kwa Kutoa.
 
Mpaka sasa Wewe Umeua Kilazima ( Umetoa Mimba ) hivyo mara ngapi Mkuu? Manake kwa 'Utetezi' wako huu unaonyesha ni 'Mbobezi' kwa Kutoa.

ndugu mimi sijasema watu watoe mimba ndio maana katika comment iliyotangulia nimesema hua naomba demu akitoa mimba naye afe hapo hapo !

ila mimba inaweza kutolewa ikiwa mwanamke ataambiwa na daktari mzoefu na aliyebobea katika taaluma ya kizazi na awe mcha Mngu kuwa kuendelea kubeba mimba hiyo itakuwa ni hatari kwa mama.

kwa hio usininukuu vibaya ...
 
ndugu mimi sijasema watu watoe mimba ndio maana katika comment iliyotangulia nimesema hua naomba demu akitoa mimba naye afe hapo hapo !

ila mimba inaweza kutolewa ikiwa mwanamke ataambiwa na daktari mzoefu na aliyebobea katika taaluma ya kizazi na awe mcha Mngu kuwa kuendelea kubeba mimba hiyo itakuwa ni hatari kwa mama.

kwa hio usininukuu vibaya ...
'Usinifokee' tafadhali!
 
Back
Top Bottom