Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Mama michuma! Sema mama wenyenazo, huyo 'f' anauchumagani kwa mfano?Na anatafuta kiki sasa hivi, kupitia huyo huyo aliyemfanya afahamike.
Flora amesaidia kuwapa wanawake michuma matumaini, na kuonyesha wasisubirie waliowazidi bali waangalie walio na umri mdogo. Wapate unono moto moto, wa umri karibu sawa na wazee wajikalie hukooo.
Dogo dogo mchangamke, mdekezwe.
Hapana.ila kuna watu watakuwa wamemuuliza mbasha kuhusu mume mpya wa flora.alafu sisi wa mitandaoni tunapenda kuwachokonoa sana watu.MTU hata kama ameamua akae kimya.tutamchokonoa weeee.mpaka ataongeaSasa unadhani Florah atarudi kwake.
Mmh dogodogo hao twende taratibu
Mama michuma! Sema mama wenyenazo, huyo 'f' anauchumagani kwa mfano?
Mkuu vipi akae kimya.wakati ndoa yake imeharibiwa na yuleee.tunayemuita ni mchungaji wa kondoo wa bwana
Huyu jamaa akitulize tu...Mbasha amesema kijana aliyemuoa flora hana tatizo naye na alikua hamjui na wala hajawahi kumletea matatizo ila aliyemletea tatizo ni jamaa mmoja ambaye watanzania wote wanamfahamu.
Pia amesemapia flora alimuoa akiwa mama wa nyumbani na kumfanya afahamike na Tanzania na dunia ila alimuacha kwa sababu anazozijua yeye ila alikuwa na fedha za kutosha
Hizo ni tetesi.....Hata km ni kweli sasa mwanaume rijali ndo unasusa?........Kwa nn asijiulize sababu za flora kutafuta ndyudu zingine????!!!!Mkuu vipi akae kimya.wakati ndoa yake imeharibiwa na yuleee.tunayemuita ni mchungaji wa kondoo wa bwana
Kumbeee
ilikuwaje hadi ikaharibiwa mkuu ?Mkuu vipi akae kimya.wakati ndoa yake imeharibiwa na yuleee.tunayemuita ni mchungaji wa kondoo wa bwana
alishamuonja akajua utamu ndiyo akaamua ha kwa dharauYaani mbasha utadhani hawajui Wanaume.....eti anaapa Kuswekwa hajawahi kuingia kwenye anga zake.......
Namcheka kwa dharau
Ni ngumu kunyamaza kwani mambo haya yanapokukuta unajikuta akili inakuruka na unadhani kuongea ndo suluhu na unapoongea sana unahisi nafuu kidogo kwani kwa wakati huo unakua katika msongo na maumivu makubwa sana na unatafuta public sympathy.Ingekuwa mimi ndie Mbasha ningenyamaza kimya
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kuna waumini wake.naona wanamnyamazisha mbasha hapa.
Pesa+madaraka+utumishi=tragedyHizo ni tetesi.....Hata km ni kweli sasa mwanaume rijali ndo unasusa?........Kwa nn asijiulize sababu za flora kutafuta ndyudu zingine????!!!!
Yamepita nafikiri.tuyaache yapite.tusipende kuwauliza wahusika haya mambo.ilikuwaje hadi ikaharibiwa mkuu ?
m i mwenyewe namtaka huyu mchungaji nikimpata ntakula sadaka zake kilaiini sema sijui kuimba[emoji3] [emoji3] [emoji3] kuna waumini wake.naona wanamnyamazisha mbasha hapa.
ina maana daudi ni maliyoo?Madam ana onesha wanawake wa kibongo wa sasa walivyo akipata fedha anaenda kuoa yeye sasa.