Mbasha: Aliyemuoa Flora nampelekea ujumbe huu

Mbasha: Aliyemuoa Flora nampelekea ujumbe huu

Na anatafuta kiki sasa hivi, kupitia huyo huyo aliyemfanya afahamike.

Flora amesaidia kuwapa wanawake michuma matumaini, na kuonyesha wasisubirie waliowazidi bali waangalie walio na umri mdogo. Wapate unono moto moto, wa umri karibu sawa na wazee wajikalie hukooo.

Dogo dogo mchangamke, mdekezwe.
Mama michuma! Sema mama wenyenazo, huyo 'f' anauchumagani kwa mfano?
 
Mkuu vipi akae kimya.wakati ndoa yake imeharibiwa na yuleee.tunayemuita ni mchungaji wa kondoo wa bwana
images
 
Mbasha kuwa unamuongelea mkeo wa zamani kila unapohojiwa na media mi naona kamaa inakushushia hadhi tena ikibidi usikubarinkabisa maswali hayo ya flora

Ukitaka kiki kupitia mkeo wa zamani unaipata ila kwa watu wenye akili timamu tunakuona uko desperate una maumivu na unatamani arudi kaa kimya do your thing baasi
 
Mbasha amesema kijana aliyemuoa flora hana tatizo naye na alikua hamjui na wala hajawahi kumletea matatizo ila aliyemletea tatizo ni jamaa mmoja ambaye watanzania wote wanamfahamu.
Pia amesemapia flora alimuoa akiwa mama wa nyumbani na kumfanya afahamike na Tanzania na dunia ila alimuacha kwa sababu anazozijua yeye ila alikuwa na fedha za kutosha


Huyu jamaa akitulize tu...
 
Mkuu vipi akae kimya.wakati ndoa yake imeharibiwa na yuleee.tunayemuita ni mchungaji wa kondoo wa bwana
Hizo ni tetesi.....Hata km ni kweli sasa mwanaume rijali ndo unasusa?........Kwa nn asijiulize sababu za flora kutafuta ndyudu zingine????!!!!
 
Ingekuwa mimi ndie Mbasha ningenyamaza kimya
Ni ngumu kunyamaza kwani mambo haya yanapokukuta unajikuta akili inakuruka na unadhani kuongea ndo suluhu na unapoongea sana unahisi nafuu kidogo kwani kwa wakati huo unakua katika msongo na maumivu makubwa sana na unatafuta public sympathy.
But ur right njia nzuri ni kunyamaza.
 
Back
Top Bottom