Msamaha ndo mahali pake hapa. Si upande mmoja umeamua tofauti?
The Whole Point Hapa Ni Kuwa 'amebaka'.......sooo Hajabaka....
No Case...Ma,bo Yao Haya ...Watamalizama.
Mkuu The bold, niliamini ukweli utakuja kujulikana tu. Kama wanaweza kuwanunua watu wa kujifanya misukule, iweje washindwe kumnunua mbakwaji?
Yani hii ishu wangeweza kuimaliza kifamilia tu, coz wote wawili wwalikuwa wanachepuka! Sasa hii ishu ya kumbambikizia mtu kesi ya kubaka sijaipenda kabisa aisee..
Yani ni maajabu kweli kweli! Mtu anabakwaje mara mbili tena na mtu yule yule alafu eti yuko kimya tu..
Na jamaa anajua hasa kununua watu! Ipo siku nikaa fresh ntashusha mambo yake huyu jamaa, anavitu vingi sana evil watu hawavijui
yaani huyu jamaa ni reflectiin ya FAKE PASTOR YAANI
mimi nilishangaa mwanakwaya wake wa kiume anatafuta mkanda wenye belt kubwa ili akicheza kiuno kikatike
loooh VIPI KUHUSU HAO WAKAKA????
siend mbali ila Uk makanisa ya kiroho yanawakubali mashoga lakini pia GWAJIMA ANA KANISA UK..
Mungu ni wakati wa wewe kutuonesha pumba ni zipi
Mods do the needful, hata hivyo mkuu tiririka moja na ya mwisho ya kufa mtu.
masai dada nakuona hubanduki leo kwenye uzi huu, unapitia page moja baada ya nyingine.
Naidondosha muda si mrefu, itakuwa funga kazi!
Stay tuned
haki ya nani ikifika hapa naukumbuka ule mstari
ANGALIENI MAKAHABA WASIWATANGULIE
pia nakumbuka wimbo wa dada mmoja anasema
USIWE KAMA DEREVA WA MATATU YEYE ANASEMA TWENDE KISHA ANABAKI NYUMA
kwa kifupi Gwajima katika hili achomoki
boyfiend wangu kaniambia twende kanisani nikanyamaza kimya bila kuongea nikikumbuka
SIKU NIMEENDA KWENYE PARTY ya harus MC alikua muimbji mmoja maarufu sana hapa tz wa nyimbo za injili
UNAJUA ALISEMAJE;sitaki kusikia nyimbo za kitoto leo ni nyimbo za kikubwa basi tulicheza ngololo wewe
UNAJUA ALIVAAJE;kisketi cha bigijii na blauzi ya mabega wazi
Ile sherehe ilikua ni ya mtu mwenye pesa mzito sana hapa nchini SIMTAJI
ILA NISHAGUNDUA HAWA WAIMBAJI WANAANGALIA PESA KWANZA SINA HAMUUU
bora umuamni mungu na kutenda mema ila huko kwa kina Gwajima ni dhihaka
LOVE IS MY RELIGION