Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Hivi inakuwaje mchungaji anakuwa na security inteligency yake tena ya watu profesional.
Na inakuwaje mambo ya ngono yafanyike katika taasisi hizi za 'watu wa Mungu'?
mh! Mungu ponya kanisa lako.
yaani huyu jamaa ni reflectiin ya FAKE PASTOR YAANI
mimi nilishangaa mwanakwaya wake wa kiume anatafuta mkanda wenye belt kubwa ili akicheza kiuno kikatike
loooh VIPI KUHUSU HAO WAKAKA????
siend mbali ila Uk makanisa ya kiroho yanawakubali mashoga lakini pia GWAJIMA ANA KANISA UK..
Mungu ni wakati wa wewe kutuonesha pumba ni zipi
ha ha ha ha.... mkuu The bold umemaliza kazi, umebadilisha upepo tayari kwa kumwaga data ambazo hata kama si za kweli ila lazima zinafanana na ukweli
Kiu yenyewe ndo hiyo imekatishwa na hao wachungaji wahuni....
Yani awa walikuwa wanakazana hotelini,wakishamaliza kupigana miti wanaingia church...Gwajima anashika mic kuhubiri akimaliza anamwachia frola mic apige pambio...manina ndio maana uko makanisa ya ovyo badala ya kuenda kupata baraka,mnaishia kujazwa mikosi tu.
Dahhh!!! Wachungaji malaya na wauza unga.....
Ufalme wa Gwajima umeanguka rasmi..
Napajua sana hapo my dear...ngoja nikupata time nijipitishe kona hizo huenda nitaokota habari
Hivi inakuwaje mchungaji anakuwa na security inteligency yake tena ya watu profesional.
Na inakuwaje mambo ya ngono yafanyike katika taasisi hizi za 'watu wa Mungu'?
loooh jamani nishammis
nahisi wifi kamfata kwake wikiend hiii sishangai
Tukimtazama yeye kristo mwenye kuianzisha na kuitimiliza Imani yetu. Biblia haijasema umuangalie mchungaji, utahukumiwa kivyako vyako. kumbuka na yeye atahukumiwa kwa nafsi yake na kwa kupotosha wengine.
Story za wachungaji zinatisha. Wapo wa Kanisa flani sitawataja inasemekana waliwatengenezea wenzao ajili wakafa 4 Kama sikosei pale kongowe kisa kugombea vyeo. Kila mahali pameoza shetani anafanya Kazi yake. Wa kumuangalia ni Mungu pekee.
sawa ila huyo dada sijui kama bado yupo hapo
wana breakfast na lunch nzuri hapo miaka ya 2010 ndo ilikua mitaa yangu sipo huko tena
sasa huyo dada ana michapo yote
Wakuu,
Mnisamehe kwa kuwa kimya..
Tangu naweka post ya kwanza nilikuwa nafahamu hatari ya hiki kitu ninachokifanya, kwani hata Baba mwenye nyumba' pale magogoni alipoletewa list ya hawa watu ilimbidi tu akae kimya!!
Information ninayotaka kuipost iko sensitive sana, na kuna mtu anajitahidi kwa hali na mali nisiiweke hapa! Nimekuwa kimya kwa masaa haya machache kwasababu kuna changamoto imejitokeza hapa nilipo kutoka na hizi nyundo ninazoweka humu...
Nitarudi hapa baada ya kama dakika 15 kuwahabarisha!
Wakuu,
Mnisamehe kwa kuwa kimya..
Tangu naweka post ya kwanza nilikuwa nafahamu hatari ya hiki kitu ninachokifanya, kwani hata Baba mwenye nyumba' pale magogoni alipoletewa list ya hawa watu ilimbidi tu akae kimya!!
Information ninayotaka kuipost iko sensitive sana, na kuna mtu anajitahidi kwa hali na mali nisiiweke hapa! Nimekuwa kimya kwa masaa haya machache kwasababu kuna changamoto imejitokeza hapa nilipo kutoka na hizi nyundo ninazoweka humu...
((...ANGALIA TU USIJEPOTEA MAZIMA aisee mana hizi habari hizi!!!