Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ama kweli watumishi WA mungu WA vita kubwa Sana,sishangai na sitaki Ku comment, kwani kazi ya mungu ikifanikiwa lazima ibilisi atafute jinsi ya kuivuruga.Gwajima naamini hii vita ataishinda,hzi tuhuma nimezisoma kawa maikinj na comment za watu, nimegundua kitu, hao wore luna uwezekano wamepandikizwa ( a conspiracy) na mlengwa mkuu SI flora na mkewe Bali Ni GWAJIMA,Kuna watu Sana Nia ya kumchafua huyu mzee, siwashangai binadamu kwani hadi now wameshazusha kwamba Yesu Ana wagoto alizaa na mariam Magdalena, Ni mbinu Tu za kumchafua Kristi,KAMA NI UZUSHI HAKIKA WALIOHUSIKA WAMETENDA DHAMBI ISIYO NA MSAMAHA, NA KAMA NI KWELI NAYE GWAJIMA ATAKUWA AMETENDA DHAMBI ISIYO NA MSAMAHA PIA,EEEEE menyezi MUNGU naomba ulifunue hili swala liwe dhahiri na uwaumbue wakosaji
Hofu yangu ni kwamba asije akapumzishwa tuu maana wauza unga huwa wana mkono mrefu sana.Mkuu The bold umefanya Jukwaa hili pipo wachelewe kulala..! OMBI kwakuwa wenyewe wameshtukia kuwa unawachoma Hebu angusha mzigo wote kwa Pamoja upumzike manake Shughuli hiyo cndogo! Nasema 7bu wanaoleta SAGA km hz hawazimaliziagi Kule kwenye SIASA kuna Jamaa 1 anaitwa hutaki unaacha duh Mwaka wa2 ss tunamsubiri KIMYAA...! bt pole kwa misukosuko Binafsi nakuombea kwa MUNGU anaeIshi,,,,!!
Mkuu hebu funguka zaidi, ina maana Gwajima kumhamishia Flora GUEST wakati ni mke wa mtu nayo ni conspiracy? Gwajima kumpatia Flora education nayo ni conspiracy? Hivi hao wachungaji wenu huwa wanawaloga akili au!Ama kweli watumishi WA mungu WA vita kubwa Sana,sishangai na sitaki Ku comment, kwani kazi ya mungu ikifanikiwa lazima ibilisi atafute jinsi ya kuivuruga.Gwajima naamini hii vita ataishinda,hzi tuhuma nimezisoma kawa maikinj na comment za watu, nimegundua kitu, hao wore luna uwezekano wamepandikizwa ( a conspiracy) na mlengwa mkuu SI flora na mkewe Bali Ni GWAJIMA,Kuna watu Sana Nia ya kumchafua huyu mzee, siwashangai binadamu kwani hadi now wameshazusha kwamba Yesu Ana wagoto alizaa na mariam Magdalena, Ni mbinu Tu za kumchafua Kristi,KAMA NI UZUSHI HAKIKA WALIOHUSIKA WAMETENDA DHAMBI ISIYO NA MSAMAHA, NA KAMA NI KWELI NAYE GWAJIMA ATAKUWA AMETENDA DHAMBI ISIYO NA MSAMAHA PIA,EEEEE menyezi MUNGU naomba ulifunue hili swala liwe dhahiri na uwaumbue wakosaji
Hofu yangu ni kwamba asije akapumzishwa tuu maana wauza unga huwa wana mkono mrefu sana.
Mkuu hebu funguka zaidi, ina maana Gwajima kumhamishia Flora GUEST wakati ni mke wa mtu nayo ni conspiracy? Gwajima kumpatia Flora education nayo ni conspiracy? Hivi hao wachungaji wenu huwa wanawaloga akili au!
Waumini wa haya masinagogi ya Shetani nao pia huwa ni mashetaniMkuu hebu funguka zaidi, ina maana Gwajima kumhamishia Flora GUEST wakati ni mke wa mtu nayo ni conspiracy? Gwajima kumpatia Flora education nayo ni conspiracy? Hivi hao wachungaji wenu huwa wanawaloga akili au!
mkuu hebu funguka zaidi, ina maana gwajima kumhamishia flora guest wakati ni mke wa mtu nayo ni conspiracy? Gwajima kumpatia flora education nayo ni conspiracy? Hivi hao wachungaji wenu huwa wanawaloga akili au!
Kuna mburura nahisi ni misukule ya mzee wa hummer wananithreat PM eti wanatrace my IP address!! Nawashauri muendelee kutrace ila mkae mkijua wengine mnaotaka kutuchokoza vina virefu!! Ntawedekisha bahari, na tena ndio mmenitibua kabisa leo naropoka mpaka kesho mfunge kanisa kwa aibu!! Manina
NTARUDI WAKUU!
hawa jamaa sijui vichwa vyao vinakuwaje. Siku alimkuta gwajima yupo juu ya kiuno cha mkewe wala hatostuka.
nyooooo masai sio mtu
Ila gwajima kwa kufanya miujiza namkubali.
Duuuuh bado tu....???