Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Status
Not open for further replies.
Mkuu The bold yaonyesha wewe upo jikoni kabisaaaa.. nibora umalizie kushusha huo mzigo kwasababu umeshatufungua mengi sana
 
Ama kweli watumishi WA mungu WA vita kubwa Sana,sishangai na sitaki Ku comment, kwani kazi ya mungu ikifanikiwa lazima ibilisi atafute jinsi ya kuivuruga.Gwajima naamini hii vita ataishinda,hzi tuhuma nimezisoma kawa maikinj na comment za watu, nimegundua kitu, hao wore luna uwezekano wamepandikizwa ( a conspiracy) na mlengwa mkuu SI flora na mkewe Bali Ni GWAJIMA,Kuna watu Sana Nia ya kumchafua huyu mzee, siwashangai binadamu kwani hadi now wameshazusha kwamba Yesu Ana wagoto alizaa na mariam Magdalena, Ni mbinu Tu za kumchafua Kristi,KAMA NI UZUSHI HAKIKA WALIOHUSIKA WAMETENDA DHAMBI ISIYO NA MSAMAHA, NA KAMA NI KWELI NAYE GWAJIMA ATAKUWA AMETENDA DHAMBI ISIYO NA MSAMAHA PIA,EEEEE menyezi MUNGU naomba ulifunue hili swala liwe dhahiri na uwaumbue wakosaji

mkuu uliisikiliza hiyo Audio????
je wale misukule waliofufuliwa walikutanishwa na ndugu zao na wanahabari wakaitwa kama ilivyo siku ya kuwatoa

anyways sikiliza audio hiyo alafu tuanzie hapo
j
 
Mkuu The bold umefanya Jukwaa hili pipo wachelewe kulala..! OMBI kwakuwa wenyewe wameshtukia kuwa unawachoma Hebu angusha mzigo wote kwa Pamoja upumzike manake Shughuli hiyo cndogo! Nasema 7bu wanaoleta SAGA km hz hawazimaliziagi Kule kwenye SIASA kuna Jamaa 1 anaitwa hutaki unaacha duh Mwaka wa2 ss tunamsubiri KIMYAA...! bt pole kwa misukosuko Binafsi nakuombea kwa MUNGU anaeIshi,,,,!!
Hofu yangu ni kwamba asije akapumzishwa tuu maana wauza unga huwa wana mkono mrefu sana.
 
watu wanadata na sakata la unga anyway
wimbo wa nitasubiri wa jux uwaburudishe usiku huu

KAMUIMBIA JACK ALIEFUNGWA CHINA KWA AJILI YA SEMBE
 
Ama kweli watumishi WA mungu WA vita kubwa Sana,sishangai na sitaki Ku comment, kwani kazi ya mungu ikifanikiwa lazima ibilisi atafute jinsi ya kuivuruga.Gwajima naamini hii vita ataishinda,hzi tuhuma nimezisoma kawa maikinj na comment za watu, nimegundua kitu, hao wore luna uwezekano wamepandikizwa ( a conspiracy) na mlengwa mkuu SI flora na mkewe Bali Ni GWAJIMA,Kuna watu Sana Nia ya kumchafua huyu mzee, siwashangai binadamu kwani hadi now wameshazusha kwamba Yesu Ana wagoto alizaa na mariam Magdalena, Ni mbinu Tu za kumchafua Kristi,KAMA NI UZUSHI HAKIKA WALIOHUSIKA WAMETENDA DHAMBI ISIYO NA MSAMAHA, NA KAMA NI KWELI NAYE GWAJIMA ATAKUWA AMETENDA DHAMBI ISIYO NA MSAMAHA PIA,EEEEE menyezi MUNGU naomba ulifunue hili swala liwe dhahiri na uwaumbue wakosaji
Mkuu hebu funguka zaidi, ina maana Gwajima kumhamishia Flora GUEST wakati ni mke wa mtu nayo ni conspiracy? Gwajima kumpatia Flora education nayo ni conspiracy? Hivi hao wachungaji wenu huwa wanawaloga akili au!
 
Hofu yangu ni kwamba asije akapumzishwa tuu maana wauza unga huwa wana mkono mrefu sana.

Nikweli bt ukiwajulia hawanaga Ujanja kiukweli ni maKATILI sana lkn hakuna watu waoga km hao ndo namshauri kwakua amefunguka Vzr amalizie palipobaki...!
 
Mkuu hebu funguka zaidi, ina maana Gwajima kumhamishia Flora GUEST wakati ni mke wa mtu nayo ni conspiracy? Gwajima kumpatia Flora education nayo ni conspiracy? Hivi hao wachungaji wenu huwa wanawaloga akili au!

hata kama sentensi za juu si sahii Ila hiyo ya mwisho mkuu uliyoiandika ni sahihi
 
Mkuu hebu funguka zaidi, ina maana Gwajima kumhamishia Flora GUEST wakati ni mke wa mtu nayo ni conspiracy? Gwajima kumpatia Flora education nayo ni conspiracy? Hivi hao wachungaji wenu huwa wanawaloga akili au!
Waumini wa haya masinagogi ya Shetani nao pia huwa ni mashetani
 
mkuu hebu funguka zaidi, ina maana gwajima kumhamishia flora guest wakati ni mke wa mtu nayo ni conspiracy? Gwajima kumpatia flora education nayo ni conspiracy? Hivi hao wachungaji wenu huwa wanawaloga akili au!

hawa jamaa sijui vichwa vyao vinakuwaje. Siku alimkuta gwajima yupo juu ya kiuno cha mkewe wala hatostuka.
 
Kuna mburura nahisi ni misukule ya mzee wa hummer wananithreat PM eti wanatrace my IP address!! Nawashauri muendelee kutrace ila mkae mkijua wengine mnaotaka kutuchokoza vina virefu!! Ntawedekisha bahari, na tena ndio mmenitibua kabisa leo naropoka mpaka kesho mfunge kanisa kwa aibu!! Manina


NTARUDI WAKUU!

Hamna atakaye kutisha....Ngoja tukufanyie maombi...hamna panya atskugusa...

Tupe nondo.....Shetani leo anaumbuka..
 
Mkuu The bold,,,

Bar zinafungwa saa tano ujue, na Mama Koku naye ameanza kubipu akidhani watu tumechepuka kumbe tunashushia hii stori murua na ze Serengeti premium lager, bonge la kiburudisho. Anyway sikati tamaa naagiza "one for the road" then nitaweka "last but not least" kama stori itakuwa haijaja nitapiga kitu cha "absolutely bloody final"
 
Duu hii kali, kwa jinsi nilivyo isikiliza huyu aliepigiwa sio MBAKWA atakuwa ni shemeji.....kwanza atakuwa katumwa na nani?.lengo hasa la kurecord ni lipi, Mbasha awe hatiani ili Gwajima aendelee kumgegeda Flora? Au amekerwa na tabia mbaya alioionesha mbasha?;au kapewa dili ili apige pesa? Au katumwa na Flora ili jamaa achezee mvua 30 then flora azidi kujitanua?
 
Vipo vya kukosa hapa duniani,lakini si kukosa UHONDO huu!
Umeshiba haswaa,… jino kwa jino mpaka mwisho! Mkuu The Bold come come…
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom