Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu,
Inaoneka kuna watu wamepitia post zangu wameconnect dots wakafahamu mimi ni nani in real life!!
Mida ya saa moja jioni nimepoke simu kwa namba +61 3 432 436 471! Kuna mdau amenisaidia kupata street address ameniambia ni AUSTRALIA, VISION DRIVE, EAST BURWOOD VIC 3151!
Baada ya kupata hii address nahisi nimeshafahamu huyu mtu ni nani! (Sio mzee wa hummer ila kuna connection)
Nimeongea nae kwa takribani dakika tano na nimeefankiwa kurekodi!! Ananifahamu jina langu na mpaka ninapoishi.. katika maongezi yake anasema kuwa ili suala yafuatayo:
i) niachane na suala la mbakaji' litamalizwa kifamili
ii) anasema nimefika mbali sana kuongelea hizi shutuma, na sikupaswa kufika huku kote
iii) katika maongezi yake amesisitiza mara kwa mara niangalie sana hili suala lisije kunicost..
Baada ya maongezi hayo nimeamua yafuatayo:
i) kuna mtu ananisaidia kuiweka hiyo rekodi kwenye format nzuri na ntaiweka hapa
ii) ahadi yangu ya kumuanika mzee wa hummer iko pale pale
iii) kabla sijaweka kila kitu hadharani najitahidi kukusanya enough evidence ili kama kuna chochote kibaya kitatokea kwangu au mtu wangu wa karibu basi kiweze kutrace direct kwake..
Pia kuna ujumbe mfupi wa maandishi wa vitisho nimeupokea kutoka namba ya ya Kenya ila ni namba ya mtu ninaye mfahamu sasa sijajua kama mtu anaweza kuhack simu ya mtu ama vipi, maIT mtusaidie!
Pia tukio fulani la ajabu limetokea hapa home siwezi kuliongelea kwa sasa kwasababu bado sina hakika kama linaconnection na hawa watu!!
Mwisho kabisa nawashukuru wadau mnaonitia moyo! Asanteni sana..
Binafsi siogipi na bado niko ngangari!
Wepesi sana hawa...
TUTASHINDA.!
Jamani huu huyu jamaa ananitania ama vipi! Kuna memba mwenzetu huyu bwana matumbo ati naye ameniPM kuwa siwezi kuliona jua la kesho kutwa lazima anishughulikie!
Cc invisible
Paw
Wakuu,
Inaoneka kuna watu wamepitia post zangu wameconnect dots wakafahamu mimi ni nani in real life!!
Mida ya saa moja jioni nimepoke simu kwa namba +61 3 432 436 471! Kuna mdau amenisaidia kupata street address ameniambia ni AUSTRALIA, VISION DRIVE, EAST BURWOOD VIC 3151!
Baada ya kupata hii address nahisi nimeshafahamu huyu mtu ni nani! (Sio mzee wa hummer ila kuna connection)
Nimeongea nae kwa takribani dakika tano na nimeefankiwa kurekodi!! Ananifahamu jina langu na mpaka ninapoishi.. katika maongezi yake anasema kuwa ili suala yafuatayo:
i) niachane na suala la ‘mbakaji' litamalizwa kifamili
ii) anasema nimefika mbali sana kuongelea hizi shutuma, na sikupaswa kufika huku kote
iii) katika maongezi yake amesisitiza mara kwa mara niangalie sana hili suala lisije kunicost..
Baada ya maongezi hayo nimeamua yafuatayo:
i) kuna mtu ananisaidia kuiweka hiyo rekodi kwenye format nzuri na ntaiweka hapa
ii) ahadi yangu ya kumuanika mzee wa hummer iko pale pale
iii) kabla sijaweka kila kitu hadharani najitahidi kukusanya enough evidence ili kama kuna chochote kibaya kitatokea kwangu au mtu wangu wa karibu basi kiweze kutrace direct kwake..
Pia kuna ujumbe mfupi wa maandishi wa vitisho nimeupokea kutoka namba ya ya Kenya ila ni namba ya mtu ninaye mfahamu sasa sijajua kama mtu anaweza kuhack simu ya mtu ama vipi, maIT mtusaidie!
Pia tukio fulani la ajabu limetokea hapa home siwezi kuliongelea kwa sasa kwasababu bado sina hakika kama linaconnection na hawa watu!!
Mwisho kabisa nawashukuru wadau mnaonitia moyo! Asanteni sana..
Binafsi siogipi na bado niko ngangari!
Wepesi sana hawa...
TUTASHINDA.!
Wakuu,
Inaoneka kuna watu wamepitia post zangu wameconnect dots wakafahamu mimi ni nani in real life!!
Mida ya saa moja jioni nimepoke simu kwa namba +61 3 432 436 471! Kuna mdau amenisaidia kupata street address ameniambia ni AUSTRALIA, VISION DRIVE, EAST BURWOOD VIC 3151!
Baada ya kupata hii address nahisi nimeshafahamu huyu mtu ni nani! (Sio mzee wa hummer ila kuna connection)
Nimeongea nae kwa takribani dakika tano na nimeefankiwa kurekodi!! Ananifahamu jina langu na mpaka ninapoishi.. katika maongezi yake anasema kuwa ili suala yafuatayo:
i) niachane na suala la mbakaji' litamalizwa kifamili
ii) anasema nimefika mbali sana kuongelea hizi shutuma, na sikupaswa kufika huku kote
iii) katika maongezi yake amesisitiza mara kwa mara niangalie sana hili suala lisije kunicost..
Baada ya maongezi hayo nimeamua yafuatayo:
i) kuna mtu ananisaidia kuiweka hiyo rekodi kwenye format nzuri na ntaiweka hapa
ii) ahadi yangu ya kumuanika mzee wa hummer iko pale pale
iii) kabla sijaweka kila kitu hadharani najitahidi kukusanya enough evidence ili kama kuna chochote kibaya kitatokea kwangu au mtu wangu wa karibu basi kiweze kutrace direct kwake..
Pia kuna ujumbe mfupi wa maandishi wa vitisho nimeupokea kutoka namba ya ya Kenya ila ni namba ya mtu ninaye mfahamu sasa sijajua kama mtu anaweza kuhack simu ya mtu ama vipi, maIT mtusaidie!
Pia tukio fulani la ajabu limetokea hapa home siwezi kuliongelea kwa sasa kwasababu bado sina hakika kama linaconnection na hawa watu!!
Mwisho kabisa nawashukuru wadau mnaonitia moyo! Asanteni sana..
Binafsi siogipi na bado niko ngangari!
Wepesi sana hawa...
TUTASHINDA.!
Wakuu,
Inaoneka kuna watu wamepitia post zangu wameconnect dots wakafahamu mimi ni nani in real life!!
Mida ya saa moja jioni nimepoke simu kwa namba +61 3 432 436 471! Kuna mdau amenisaidia kupata street address ameniambia ni AUSTRALIA, VISION DRIVE, EAST BURWOOD VIC 3151!
Baada ya kupata hii address nahisi nimeshafahamu huyu mtu ni nani! (Sio mzee wa hummer ila kuna connection)
Nimeongea nae kwa takribani dakika tano na nimeefankiwa kurekodi!! Ananifahamu jina langu na mpaka ninapoishi.. katika maongezi yake anasema kuwa ili suala yafuatayo:
i) niachane na suala la ‘mbakaji' litamalizwa kifamili
ii) anasema nimefika mbali sana kuongelea hizi shutuma, na sikupaswa kufika huku kote
iii) katika maongezi yake amesisitiza mara kwa mara niangalie sana hili suala lisije kunicost..
Baada ya maongezi hayo nimeamua yafuatayo:
i) kuna mtu ananisaidia kuiweka hiyo rekodi kwenye format nzuri na ntaiweka hapa
ii) ahadi yangu ya kumuanika mzee wa hummer iko pale pale
iii) kabla sijaweka kila kitu hadharani najitahidi kukusanya enough evidence ili kama kuna chochote kibaya kitatokea kwangu au mtu wangu wa karibu basi kiweze kutrace direct kwake..
Pia kuna ujumbe mfupi wa maandishi wa vitisho nimeupokea kutoka namba ya ya Kenya ila ni namba ya mtu ninaye mfahamu sasa sijajua kama mtu anaweza kuhack simu ya mtu ama vipi, maIT mtusaidie!
Pia tukio fulani la ajabu limetokea hapa home siwezi kuliongelea kwa sasa kwasababu bado sina hakika kama linaconnection na hawa watu!!
Mwisho kabisa nawashukuru wadau mnaonitia moyo! Asanteni sana..
Binafsi siogipi na bado niko ngangari!
Wepesi sana hawa...
TUTASHINDA.!
Matumbo mdwanzi tu .... Ngoja Invisible amshuhulikie
hawa minor character wanaoingia hapa ndo wananichosha,,,,,,, ametajwa matumbo
Ee MUNGU kama kweli unaishi mlinde The Bold na wenye tabia kama take! Mungu ukiacha baya litokee kwa huyu mtu utakuwa umemfanya shetani ashinde! Ninaamini hakuna ulinzi kama wako naomba umlinde The Bold! Nasisitiza tena kama kweli MUNGU unaishi! Mapenzi yako yatimie, nalala bila kupata mwendelezo wa muvi hii!
Ah wewe unaogopa nini bana.
Kwa Maelezo Ya Mdau Hapo Juu Ni Ushahidi Tosha Wa Mazingira Kuwa MCH.GWAJIMA Ndiye Ameivunja Ndoa Ya Mbasha Kwa Sababu,1.Ndiye Alimshawishi Frola Ahame Toka Kanisa Mito Ya Baraka Ahamie Kanisani Kwake,kwanini Afanye Hvy?2.Alipofanikisha Lengo Lake La Kumhamishia Kwake Na Mgogoro Ndani Ya Ndoa Ukaanzia Hapo Kwanini?3.Mch.Gwajima Fast Fasta Akampachika Flora Cheo Na Hakukaa Sawa Akampeleka Kusoma Uk. Pasipo Ridhaa Ya Mumewe Na Mch. Gwajima Mara Kwa Mara Akawa Anaenda Huko Kwanini Amchukue Mke Wa Mtu Bila Ridhaa Ya Mumewe Ampeleke Masomoni?4.Frola Aliporudi Uk.Mch. Gwajima Akaanza Kuambatana Nae Mikoani Et Kuhubiri Enjili Bila Mume Wa Frola Kuambatana Nae Tena Bila Ridhaa Ya Mwenye Mke!! Kwanini Alifanya Hvy?Kwani Frola Na Mbasha Si Wote Waimba Enjili Kwanini Hakumchukua Mbasha Aambatane Nae Na Badala Yake Akamchukua Frola Peke Yake?5.Kwanini Mch. Gwajima Ampangie Hoteli Frola Pale Alipogombana Na Mumewe?6.Na Kwanini Frola Akaishi Hotelini Badala Ya Kwenda Ukweni Kwa Mumewe Kukaa Akisubiri Ndugu Wa Mumewe?