Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Status
Not open for further replies.
nahisi kizunguzungu hapa...dunia ina mambo hii
 
Wakuu,

Inaoneka kuna watu wamepitia post zangu wameconnect dots wakafahamu mimi ni nani in real life!!

Mida ya saa moja jioni nimepoke simu kwa namba +61 3 432 436 471! Kuna mdau amenisaidia kupata street address ameniambia ni AUSTRALIA, VISION DRIVE, EAST BURWOOD VIC 3151!
Baada ya kupata hii address nahisi nimeshafahamu huyu mtu ni nani! (Sio mzee wa hummer ila kuna connection)

Nimeongea nae kwa takribani dakika tano na nimeefankiwa kurekodi!! Ananifahamu jina langu na mpaka ninapoishi.. katika maongezi yake anasema kuwa ili suala yafuatayo:

i) niachane na suala la ‘mbakaji' litamalizwa kifamili
ii) anasema nimefika mbali sana kuongelea hizi shutuma, na sikupaswa kufika huku kote
iii) katika maongezi yake amesisitiza mara kwa mara niangalie sana hili suala lisije kunicost..

Baada ya maongezi hayo nimeamua yafuatayo:

i) kuna mtu ananisaidia kuiweka hiyo rekodi kwenye format nzuri na ntaiweka hapa
ii) ahadi yangu ya kumuanika mzee wa hummer iko pale pale
iii) kabla sijaweka kila kitu hadharani najitahidi kukusanya enough evidence ili kama kuna chochote kibaya kitatokea kwangu au mtu wangu wa karibu basi kiweze kutrace direct kwake..

Pia kuna ujumbe mfupi wa maandishi wa vitisho nimeupokea kutoka namba ya ya Kenya ila ni namba ya mtu ninaye mfahamu sasa sijajua kama mtu anaweza kuhack simu ya mtu ama vipi, maIT mtusaidie!

Pia tukio fulani la ajabu limetokea hapa home siwezi kuliongelea kwa sasa kwasababu bado sina hakika kama linaconnection na hawa watu!!

Mwisho kabisa nawashukuru wadau mnaonitia moyo! Asanteni sana..

Binafsi siogipi na bado niko ngangari!
Wepesi sana hawa...

TUTASHINDA.!

Mkuu mungu yuko nawe atakulinda na kukuongoza,kma mzee w hammer msafi wanyamaze kukutisha kote wanaficha madhambi yake,tumeshamjua tabia,matendo n biashara yke y sembe.
Hata wamsafishe vipi tayari kachafuka flora nae tunamjua kitambo ni mcharuko
 
Jamani huu huyu jamaa ananitania ama vipi! Kuna memba mwenzetu huyu bwana matumbo ati naye ameniPM kuwa siwezi kuliona jua la kesho kutwa lazima anishughulikie!

Cc invisible
Paw

Du hadi Matumbo kamanda naye muamini,juzi nimemtetea suala Linex.Mungu baba naomba uilinde nchi yangu japo imeioza wape nguvu watu waakina The Bold waweze kufichuchua yaliyofichwa.Kokote ulipo Matumbo nimekuvua manyota yote na umebaki kuruta.
 
like like like like,,,,,,,,,, Songa mbele mkuuuuuuuuuuu

Wakuu,

Inaoneka kuna watu wamepitia post zangu wameconnect dots wakafahamu mimi ni nani in real life!!

Mida ya saa moja jioni nimepoke simu kwa namba +61 3 432 436 471! Kuna mdau amenisaidia kupata street address ameniambia ni AUSTRALIA, VISION DRIVE, EAST BURWOOD VIC 3151!
Baada ya kupata hii address nahisi nimeshafahamu huyu mtu ni nani! (Sio mzee wa hummer ila kuna connection)

Nimeongea nae kwa takribani dakika tano na nimeefankiwa kurekodi!! Ananifahamu jina langu na mpaka ninapoishi.. katika maongezi yake anasema kuwa ili suala yafuatayo:

i) niachane na suala la ‘mbakaji' litamalizwa kifamili
ii) anasema nimefika mbali sana kuongelea hizi shutuma, na sikupaswa kufika huku kote
iii) katika maongezi yake amesisitiza mara kwa mara niangalie sana hili suala lisije kunicost..

Baada ya maongezi hayo nimeamua yafuatayo:

i) kuna mtu ananisaidia kuiweka hiyo rekodi kwenye format nzuri na ntaiweka hapa
ii) ahadi yangu ya kumuanika mzee wa hummer iko pale pale
iii) kabla sijaweka kila kitu hadharani najitahidi kukusanya enough evidence ili kama kuna chochote kibaya kitatokea kwangu au mtu wangu wa karibu basi kiweze kutrace direct kwake..

Pia kuna ujumbe mfupi wa maandishi wa vitisho nimeupokea kutoka namba ya ya Kenya ila ni namba ya mtu ninaye mfahamu sasa sijajua kama mtu anaweza kuhack simu ya mtu ama vipi, maIT mtusaidie!

Pia tukio fulani la ajabu limetokea hapa home siwezi kuliongelea kwa sasa kwasababu bado sina hakika kama linaconnection na hawa watu!!

Mwisho kabisa nawashukuru wadau mnaonitia moyo! Asanteni sana..

Binafsi siogipi na bado niko ngangari!
Wepesi sana hawa...

TUTASHINDA.!
 
Wakuu,

Inaoneka kuna watu wamepitia post zangu wameconnect dots wakafahamu mimi ni nani in real life!!

Mida ya saa moja jioni nimepoke simu kwa namba +61 3 432 436 471! Kuna mdau amenisaidia kupata street address ameniambia ni AUSTRALIA, VISION DRIVE, EAST BURWOOD VIC 3151!
Baada ya kupata hii address nahisi nimeshafahamu huyu mtu ni nani! (Sio mzee wa hummer ila kuna connection)

Nimeongea nae kwa takribani dakika tano na nimeefankiwa kurekodi!! Ananifahamu jina langu na mpaka ninapoishi.. katika maongezi yake anasema kuwa ili suala yafuatayo:

i) niachane na suala la ‘mbakaji' litamalizwa kifamili
ii) anasema nimefika mbali sana kuongelea hizi shutuma, na sikupaswa kufika huku kote
iii) katika maongezi yake amesisitiza mara kwa mara niangalie sana hili suala lisije kunicost..

Baada ya maongezi hayo nimeamua yafuatayo:

i) kuna mtu ananisaidia kuiweka hiyo rekodi kwenye format nzuri na ntaiweka hapa
ii) ahadi yangu ya kumuanika mzee wa hummer iko pale pale
iii) kabla sijaweka kila kitu hadharani najitahidi kukusanya enough evidence ili kama kuna chochote kibaya kitatokea kwangu au mtu wangu wa karibu basi kiweze kutrace direct kwake..

Pia kuna ujumbe mfupi wa maandishi wa vitisho nimeupokea kutoka namba ya ya Kenya ila ni namba ya mtu ninaye mfahamu sasa sijajua kama mtu anaweza kuhack simu ya mtu ama vipi, maIT mtusaidie!

Pia tukio fulani la ajabu limetokea hapa home siwezi kuliongelea kwa sasa kwasababu bado sina hakika kama linaconnection na hawa watu!!

Mwisho kabisa nawashukuru wadau mnaonitia moyo! Asanteni sana..

Binafsi siogipi na bado niko ngangari!
Wepesi sana hawa...

TUTASHINDA.!

Dah aisee wako faster mnoo na kama wamekujua plz kuwa makini sana bila kusahau kumtanguliza Mungu ktk hili aendelee kukupigania na kukupa ujasiri zaidi, malaika wa ulinzi wasisinzie hata kidogo naimani msaada na tumaini lako li katika bwana alieziumba mbingu na nchi. Unayaweza yote ktk Bwana akutiae nguvu.
 
Pole The bold,aisee mara hii wameshakufahamu pole sana,ila mwaga tu kweupe,wanakutishia tu
 
Wakuu,

Inaoneka kuna watu wamepitia post zangu wameconnect dots wakafahamu mimi ni nani in real life!!

Mida ya saa moja jioni nimepoke simu kwa namba +61 3 432 436 471! Kuna mdau amenisaidia kupata street address ameniambia ni AUSTRALIA, VISION DRIVE, EAST BURWOOD VIC 3151!
Baada ya kupata hii address nahisi nimeshafahamu huyu mtu ni nani! (Sio mzee wa hummer ila kuna connection)

Nimeongea nae kwa takribani dakika tano na nimeefankiwa kurekodi!! Ananifahamu jina langu na mpaka ninapoishi.. katika maongezi yake anasema kuwa ili suala yafuatayo:

i) niachane na suala la ‘mbakaji' litamalizwa kifamili
ii) anasema nimefika mbali sana kuongelea hizi shutuma, na sikupaswa kufika huku kote
iii) katika maongezi yake amesisitiza mara kwa mara niangalie sana hili suala lisije kunicost..

Baada ya maongezi hayo nimeamua yafuatayo:

i) kuna mtu ananisaidia kuiweka hiyo rekodi kwenye format nzuri na ntaiweka hapa
ii) ahadi yangu ya kumuanika mzee wa hummer iko pale pale
iii) kabla sijaweka kila kitu hadharani najitahidi kukusanya enough evidence ili kama kuna chochote kibaya kitatokea kwangu au mtu wangu wa karibu basi kiweze kutrace direct kwake..

Pia kuna ujumbe mfupi wa maandishi wa vitisho nimeupokea kutoka namba ya ya Kenya ila ni namba ya mtu ninaye mfahamu sasa sijajua kama mtu anaweza kuhack simu ya mtu ama vipi, maIT mtusaidie!

Pia tukio fulani la ajabu limetokea hapa home siwezi kuliongelea kwa sasa kwasababu bado sina hakika kama linaconnection na hawa watu!!

Mwisho kabisa nawashukuru wadau mnaonitia moyo! Asanteni sana..

Binafsi siogipi na bado niko ngangari!
Wepesi sana hawa...

TUTASHINDA.!

Hongera kwa ujasiri mkuu na pole kwa vitisho but aluta continua hakuna kuogopa.

Mkuu kwa usalama wako nakushauri umwage LEO hizo taarifa wanazoogopa wewe kuzifichua.
Kadri unavyokaa nazo ndivyo unavyohatarisha usalama wako sababu kwao kwa sasa jambo la muhimu ni kuhakikisha hutoboi hizo siri.Ukishafichua hizo siri hawatahangaika tena na wewe,watakachohangaika kufanya ni kujisafisha.

May The most high God hide you from them tonight always and forever.
 
Mi niko nje kidogo nataka kufahamu huyu Mch. Gwajima ni mkabila gani... for the sake of interest tu.
 
Ee MUNGU kama kweli unaishi mlinde The Bold na wenye tabia kama take! Mungu ukiacha baya litokee kwa huyu mtu utakuwa umemfanya shetani ashinde! Ninaamini hakuna ulinzi kama wako naomba umlinde The Bold! Nasisitiza tena kama kweli MUNGU unaishi! Mapenzi yako yatimie, nalala bila kupata mwendelezo wa muvi hii!
 
Mkuu the bold hebu tumalizie Ishu ya wakorea wapiga ala za muziki wa gwajima kabla hawajakunaniliu hawa jamaa.


Kinky
 
Matumbo mdwanzi tu .... Ngoja Invisible amshuhulikie

Hii scandal flora alipanga kipumbavu kma akili yke ilivyo akijua atammaliza ima sasa tumejua hawana pakujificha wanamtishia the bold,flora kilaza 2 frm 4 alipata ziro,warudi wakajipange tena mana tumejua mchezo wao we ote
 
Last edited by a moderator:
hawa minor character wanaoingia hapa ndo wananichosha,,,,,,, ametajwa matumbo
avatar48016_3.gif
Huyu jamaa alitajwa juzi juzi kuwa alikuwa anajidai anafahamiana na msanii wa bongo fleva Linex.
linex mwenyewe akakana kumfahamu.
Inaonekanajamaa ni mtu wa kujipachika pengine anatafuta umaarufu.
 
Ee MUNGU kama kweli unaishi mlinde The Bold na wenye tabia kama take! Mungu ukiacha baya litokee kwa huyu mtu utakuwa umemfanya shetani ashinde! Ninaamini hakuna ulinzi kama wako naomba umlinde The Bold! Nasisitiza tena kama kweli MUNGU unaishi! Mapenzi yako yatimie, nalala bila kupata mwendelezo wa muvi hii!

Amina.
 
Kwa Maelezo Ya Mdau Hapo Juu Ni Ushahidi Tosha Wa Mazingira Kuwa MCH.GWAJIMA Ndiye Ameivunja Ndoa Ya Mbasha Kwa Sababu,1.Ndiye Alimshawishi Frola Ahame Toka Kanisa Mito Ya Baraka Ahamie Kanisani Kwake,kwanini Afanye Hvy?2.Alipofanikisha Lengo Lake La Kumhamishia Kwake Na Mgogoro Ndani Ya Ndoa Ukaanzia Hapo Kwanini?3.Mch.Gwajima Fast Fasta Akampachika Flora Cheo Na Hakukaa Sawa Akampeleka Kusoma Uk. Pasipo Ridhaa Ya Mumewe Na Mch. Gwajima Mara Kwa Mara Akawa Anaenda Huko Kwanini Amchukue Mke Wa Mtu Bila Ridhaa Ya Mumewe Ampeleke Masomoni?4.Frola Aliporudi Uk.Mch. Gwajima Akaanza Kuambatana Nae Mikoani Et Kuhubiri Enjili Bila Mume Wa Frola Kuambatana Nae Tena Bila Ridhaa Ya Mwenye Mke!! Kwanini Alifanya Hvy?Kwani Frola Na Mbasha Si Wote Waimba Enjili Kwanini Hakumchukua Mbasha Aambatane Nae Na Badala Yake Akamchukua Frola Peke Yake?5.Kwanini Mch. Gwajima Ampangie Hoteli Frola Pale Alipogombana Na Mumewe?6.Na Kwanini Frola Akaishi Hotelini Badala Ya Kwenda Ukweni Kwa Mumewe Kukaa Akisubiri Ndugu Wa Mumewe?

Unampelekea nguruwe fisi loh
 
The bold njoo umalizie,hizo zao ni kelele za chura tu hawana jipya
 
Last edited by a moderator:
Hivi huyo matumbo ambaye alitaka kumfitinisha linex na boss wake Zitto naye eti anajifanya ni Security ministry(Mashujaa wa Daudi)

Hahaha! Mkuu The bold asikutishe huyo ni kajanja tu wa JF hana lolote.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom