Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Status
Not open for further replies.
Matumbo ure already nominated njoo ujitetee la sivyo ".............." usibadilishe ID tafadhali
 
Hapa ni mambo Mawili 1. Kuumwaga wote ili washindwe kukunyamazisha au 2. Kukaa Kimya japo wanaweza kukudhuru kwa kuogopa huenda utawalipua zaidi. Heri uutue wote kuliko option ya pili coz Ina hatari zaidi
 
Yaani MY DEAR TE BOLD KM NOTHING BAD HAPPEN TO YOU DONT HESITATE TO TELL US,FOR SURE UMENIGUSA HAPA NAKUOMBEA KWA IMANI YANGU MUNGU AKULINDE,NAONGEA KM MWANAMKE NINAEJUA UCHUNGU WA MWANA,MUME AU BABA?MAANA ENDAPO LITAKUKUTA AO NDO WATAUMIA HATA ZAIDI,EEE MUNGU MPIGANIE SHUJAA WAKO ALIYEAMUA KUMFUNGA PAKA KENGELE NAMI KATIKA WANANGU UNIPE JASIRI KM HUYU MFICHUA MAOVU YA WEZI WA SADAKA ZETU.
yani hapa namuwaza ka namjua mwenzenu eh! The bold Mungu akutunze mpendwa wetu.
 
Last edited by a moderator:
Hapa ni mambo Mawili 1. Kuumwaga wote ili washindwe kukunyamazisha au 2. Kukaa Kimya japo wanaweza kukudhuru kwa kuogopa huenda utawalipua zaidi. Heri uutue wote kuliko option ya pili coz Ina hatari zaidi

The Bold mwaga yote, jitoe muhanga kama Snowden na uwahabarishe nduguzo wakaribu ili kikutokeacho chochote tupate taarifa.
 

Dah yaani wewe Heshima ni dilikwako aisee u
mentisha hatari mmhj unachoongea zaidi ya ukawa
 

Amina.
 
Umenifanya nifungue thread sisomi za watu nakutafuta wewe to so oh 53 kma pg 5
Loh
 
Kuna binti fulani ,kwahyo usaliti niliona kwa Flora kwa mumewe ndo inabidi nami nijiulize mara mbili mbili.Japo mumewe naye amefanya dhambi kubwa ya kuzini.
kaa sawasawa na Mungu ni mwaminifu atakuonyesha njia utakayoiendea.
 

Loh zaidi ya usalama wa taifa na wewee umo
 

Nabii anakula wake za wa2 halafu misukule yke inatishia wa2 mungu yuko nasi wameshaumbuka mda tumewajua na blog tofauti zimesambaza hizi data,huyo nabii mjinga tu instead y kumpangia hotel yenye hadhi anampangia uswahilini.
Cjui mke wke nae msukule mana kashfa z wke za wa2 kila kukicha nalo limenyamaza tu
 
Asante Vic, nasikia huyu Ngw'anamalunde kwa uchawi alikuwa anaweza kuunyooshea mti kidole na unakauka!
Huyo huyo,naona hata Gwajima ana vijielement vya babu yake.Si unaona anarudisha misukule
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…