Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Status
Not open for further replies.
mimi nishamwambia boy wangu kanisani siendi maana nina vidonda sana juu ya pastor sijui niende wapi kukutana na mungu

hili la kwenda kanisani ex wangu yupo umu tulisumbuana sana nadhani hapo alipo anacheka tu akiona hapa maana kila siku siendi akiniuliza sina jibu la kueleweka moja kwa moja
ILA SIKUWAHI KUMWAMBIA NI KWAMBA HATA KAMA WANATAJA JINA LA MUNGU MAOVU YAO YANANISHINDA KUTOLERATE WAKIWA MADHABAUNI

mzee wa upako nammezea kwa leo ipo siku nina details zake nyingi

yaani mimi mwinjilist wa kanisa langu nilimo barikiwa ni issue yaan siku moja nitaeka uzi wake

Heee walishakupitia nini,??vwakakubulshit
 
Mkuu the bold hebu rudi utueleze Hilo tukio la ajabu lililotokea hapo kwako, Mimi nna usingizi ujue.


Kinky
 
Mbasha ni mbabe sawa hata clip ile inaonesha ana miasira

lakini esta na yeye anaonekana KAGEGEDWA MUDA

USHAWAHI KUGEGEDANA KATIKA GARI HATUA ZIFUATAZO HUFANYIAKA
1:Lazima muwe wawili
2;mtaanza kukiss na kubenua kiti cha kushoto
3;ni kushikana tu hakuna liwezekanalo
4;utajifunga vizuri alafu mtashuka chini
5:mtahamia siti ya nyuma(inatege,ea mara chahe sana mtalaza kiti na kuruka ndani kwa ndani hii inawezekana kwa mdada mdogi,kwa mkaka mkubwa kama mbasha na unene ule hawezi HIVYO LAZIMA ALISHUKA .....eti esta akawa anangoja abakwe hapo
6:mkifika siti ya nyuma hakunaga styl hapo ni ujanja ujanja gegedo lifikie papuchi na mara nying WOMEN ON TOP
yaan mwanaume anakua kakaa kama kwenye siti then unamkalia

ESTER ULIBAKWA AU ULIBAKA???

Komakugegeda siti ya nyuma mweke mbele inama wakijawajinga na so hamia kitichasterling unaanza sifundishi naellimisha tu
 
Mkuu The bold,,,

Kadri unavyochelewa kurudi ndio watu tunaendelea kukandamiza Serengeti lager, noma ni pale unarudi wakati tumeishalewa!! Au misukule ya mzee wa Hammer imekupiga "access denied"

Si afadhali ulewe nauli uwe nayo angalia wasikuflorishe bana maana ikimalixanauli akunajinsi lazimauwatafute
 
Mkuu mimi hapa namsubiria the Bold ,nipo nazidinya tu hapa castle milk stout kwa ajili yake.Hawa walokole mchwara wameaibisha dini yangu.

Eti mtu anakunywa castle milk stout afu anasema walokole wameiaibisha din yake,yan hii dunia Ina mauzauza mpaka najuta kuifahamu,cjui mungu wa isaka,mungu ya yakobo,mungu wa Ibrahim tutamwambia nn cku ya mwisho!
 
Kuna binti fulani ,kwahyo usaliti niliona kwa Flora kwa mumewe ndo inabidi nami nijiulize mara mbili mbili.Japo mumewe naye amefanya dhambi kubwa ya kuzini.

Muombe Mungu kwa kumaanisha, nyenyekea. Ijumaa nilimuona Mungu akinifanyia muujiza ambao hata sasa bado nashindwa kujua how ime happen. Sijui nisemeje ila nimemuona akitenda. Mungu ni mwaminifu, chukua Hilo jina la mchumba wako lipeleke kwenye kiti cha rehema umlilie Mungu kwa kumaanisha. Then utajua puma na mchele
 
Tukimtazama yeye kristo mwenye kuianzisha na kuitimiliza Imani yetu. Biblia haijasema umuangalie mchungaji, utahukumiwa kivyako vyako. kumbuka na yeye atahukumiwa kwa nafsi yake na kwa kupotosha wengine.

Story za wachungaji zinatisha. Wapo wa Kanisa flani sitawataja inasemekana waliwatengenezea wenzao ajili wakafa 4 Kama sikosei pale kongowe kisa kugombea vyeo. Kila mahali pameoza shetani anafanya Kazi yake. Wa kumuangalia ni Mungu pekee.

Huuu ndio. Up.....I nsiotaka

Kwanini unajua usitajekanisa unafiki huo
 
Wakuu,

Mnisamehe kwa kuwa kimya..

Tangu naweka post ya kwanza nilikuwa nafahamu hatari ya hiki kitu ninachokifanya, kwani hata ‘Baba mwenye nyumba' pale magogoni alipoletewa list ya hawa watu ilimbidi tu akae kimya!!

Information ninayotaka kuipost iko sensitive sana, na kuna mtu anajitahidi kwa hali na mali nisiiweke hapa! Nimekuwa kimya kwa masaa haya machache kwasababu kuna changamoto imejitokeza hapa nilipo kutoka na hizi nyundo ninazoweka humu...

Nitarudi hapa baada ya kama dakika 15 kuwahabarisha!

Vilpi sema kama wameikamata na jf tuingiemsituni
 
Naomba kama kuna mtu ana ujuzi wa kutosha katika teknohama, anisaidie kuangalia hii namba ni ya nchi gani: +61 3 432 436 471
Kama utapata na street address itakuwa poa zaidi!

Austaralia mkuu wameanza
 
Eti mtu anakunywa castle milk stout afu anasema walokole wameiaibisha din yake,yan hii dunia Ina mauzauza mpaka najuta kuifahamu,cjui mungu wa isaka,mungu ya yakobo,mungu wa Ibrahim tutamwambia nn cku ya mwisho!

Nataka nikuambie mimi ni mprotestant pure na sina unafiki wa kilokole,nakunywa na naheshimu amri kumi za Mungu na sina unafiki mbele ya Mungu.
 
Hakika Mungu ni wa ajabu.....hata kama sio leo wala kesho ukweli utajulikana tu....hata kama utaamua kumnyamazisha msema kweli kwa namna yeyote ile.Hakuna alie mzidi Mungu.
 
Mkuu The bold umefanya Jukwaa hili pipo wachelewe kulala..! OMBI kwakuwa wenyewe wameshtukia kuwa unawachoma Hebu angusha mzigo wote kwa Pamoja upumzike manake Shughuli hiyo cndogo! Nasema 7bu wanaoleta SAGA km hz hawazimaliziagi Kule kwenye SIASA kuna Jamaa 1 anaitwa hutaki unaacha duh Mwaka wa2 ss tunamsubiri KIMYAA...! bt pole kwa misukosuko Binafsi nakuombea kwa MUNGU anaeIshi,,,,!!

Anapiga maombikwanza unafikiri Lusaka unayochekelea no rahisi lazima apigwe upako else atakeshea kwenye dari zetu nakushiba pumba milele
 
Muombe Mungu kwa kumaanisha, nyenyekea. Ijumaa nilimuona Mungu akinifanyia muujiza ambao hata sasa bado nashindwa kujua how ime happen. Sijui nisemeje ila nimemuona akitenda. Mungu ni mwaminifu, chukua Hilo jina la mchumba wako lipeleke kwenye kiti cha rehema umlilie Mungu kwa kumaanisha. Then utajua puma na mchele

Asante dada kwa ushauri wako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom