Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,620
- 5,335
Mkuu Pasco, ivi kwa ishu ilipofikia kuna namna ambayo hii ishu itaweza kumalizwa chinichini kweli.
Namkumbuka mzee wangu Mwinjilisti Mwasumbi. Haya mambo bwana.
msamaha na toba ndio suluhisho.
Kwa rekodi peke yake haiwezi kumfunga mbasha, kwasababu hakuna mahali ambapo amekiri kumbaka shemejiye the only thing ambacho amekirudia kukisem mara kwa mara ni ni samehe kwa yote yaliyotokea", hata mimi nina mapungufu kama watu wengine", n.k.!
King'asti, mara ya mwisho Mwasumbi alisomewa na pilato mvua 30 kwa kesi kama ya mbasha but sijajua aliendelea vipi coz alikuwa anataka kukata rufaa.Hivi Mwasumbi alipoteleaga wapi? Nakumbuka kaseti yake moja 1990 flani hivi, na sijawahi kumsikia ever again!
Kuna mtu/watu behind the scene ya movie hii wenye nia ovu ya kuwamaliza hawa vijana.
Kuna vitu vingi vinejificha katika hili suala, pia inaonekana wako watu nyuma ya pazia wanaoichezesha hii sinema kummaliza mbasha!!
Bro hpo kuna shida hawa mabinti ni shida toka kitambo wamekulia kwa babu n bibi yao ila ni majanga kuanzia kwa flora,mbasha hajabaka kajilia kwa hiyari yake
Kama hii clip ni ya kweli basi huyu Mr Mbasha atakuwa ima ana IQ ndogo sana au kachanganyikiwa! Pia,Katika hayo majina ya mashemeji yaliyotajwa,jina moja ni kama la yule aliyengonoka na Ngassa kwenye video. Nina wasiwasi pia na tabia na maadili za hivyo vi shem vya Mbasha.
Mkuu Engare, lakini jamaa hajakiri kubaka. Ye kasisitiza msamaha.
We ndo umeongea ukweli hapa,maana malezi ya bibi na babu nayo mtihani kweli
3:ANAMYANYASA MKE WAKE BI FLORA.ni dhahiri kwamba ana mnyanyasa ni kama kumwambia mkeo uliemuoa kijijini bila mimi hata kuoga usingejua, jambo ambalo ni la kusikitisha
4:HASTAHILI TENA KUWA NYUMA YA KAZI ZA FLORA.hata kama huyu bwana hatasamehewa kuwa nyuma ya kazi za flora ni uzalilishaji wa ibada ya nyimbo,na hakuna atakaeweza kubarikiwa tena na kazi zake LABDA MCHUNGAJI MAXMILLAN ALIEKUTWA AKICHEZEWA NA WADADA UCHI
Hahahaha aise kama ni saut yake basi noma sana, kumbe alikula mzigo aisee! Duh balaa hili
Ushahidi Wa Vyombo Vya Ki Electroniki Mahakamani Havitumiki Kwani Mtu Anaweza Kutengeneza Sauti Kwenye Computa Na Hvy Haina Nafasi Kubwa
Aiseee....lazma apate kinachomhusu p...af dhake
Naomba nifunguke kidogo nielezee kile ninachokifahamu kuhusu ili sakata!!
Mgogoro katika ndoa ya Mbasha na Florah ulianza kushika kasi mwaka jana mara baada ya Florah na Mumewe kuhamia kuanza kusali kanisani kwa GWAJIMA (ufufuo na Uzima - kawe) wakitokea kanisa la MITO YA BARAKA (kariakoo)! Inasemekana kuwa mara baada ya kuhamia kanisani hapo kwa mualiko wa Gwajima (aliwaombe waje kusali kwake), mchungaji Gwajima alimfanya florah kama kiongozi wa Ibada ya SIFA na KUABUDU katika mikutani yake!! Kama ni mfuatiliaji wa haya mambo utakumbuka kuwa mwaka jana Florah alizunguka Tanzania nzima akiwa na Gwajima wakifanya mikutano ya Injili!!
Baada ya Muda kidogo Mchungaji Gwajima alimpeleka Florah London kwaajili ya masomo kitendo ambacho inasemekana kilipingwa sana na mumewe Mbasha! Ikumbukwe kuwa GWAJIMA haiwezi kupita miezi miwili pasipo kwenda UK coz amefungua kanisa kule (GLORY OF CHRIST - UK)!! So katika kipindi ambacho florah alikuwa London walikuwa wanaonana mara nyingi sana na GWAJIMA...
Batada ya Florah kurudi Tanzania ndipo akaanza hii ziara ya kuzunguka mikoani na GWAJIMA.. inasemekana kuwa katika kipindi hiki ndipo mahusiano ya kindoa kati ya forah na mumewe yalizorota zaidi... baada ya ziara kuisha Florah arirudi nyumbani lakini she wasn't the same (nisiseme zaidi)! Baada ya mikwaruzano ya hapa na pale ndipo Florah akaenda kukaa hotelini na inasemekana hoteli ilikuwa inalipiwa na mchungaji GWAJIMA, ikumbukwe kuwa ni swala la kawaida kwa Gwajima kuwalipia bills mbalimbali viongozi wake wa huduma hapo kanisani kwa mfano anamchngaji anaitwa MAXMILLIAN MACHUM amempangishia nyumba ya ghorofa pale ubungo na wachungaji wake wote wapatao thelethini amewanunulia magari!! Lakini hata hivyo hii hatua yake ya kumpangia hoteli mke wa mtu ilizua maswali mengi sana.....
NAOMBA TUDIGEST HII KWANZA ALAFU NTARUDI HAPA KUELEZEA YAFUATAYO
1. Kisa cha mbasha kubaka"
2. Milioni 10 alizotoa GWAJIMA kwenye msiba wa kulola
3. Mungu akinipa ujasiri nitamtaja kabisa mtu aliye nyuma ya pazia ya hii sinema..