Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Status
Not open for further replies.
yaelekea kuna watu wanaochochea hili jambo sio hivi hivi ....wanatafuta kuwachafua katika maisha yao
 
dah wamezamiria kummaliza jamaa mpaka kumrekodi na kusambaza mitandaoni
 
Kama hii clip ni ya kweli basi huyu Mr Mbasha atakuwa ima ana IQ ndogo sana au kachanganyikiwa! Pia,Katika hayo majina ya mashemeji yaliyotajwa,jina moja ni kama la yule aliyengonoka na Ngassa kwenye video. Nina wasiwasi pia na tabia na maadili za hivyo vi shem vya Mbasha.
 
Huyu Mr mbasha anaongeaje? Au kachanganyikiwa? Mbona kama wanatumia vijisent na rushwa ya kutafuta kaz na kusaidia wagonjwa as a fact ya yy kusamehewa? Sasa kama wangekuwa matajir huyu jamaa angetumia vigezo gan
 
Mkuu Mwakibete, asante kwa hii kitu, nimeisikiliza ni "bonafide genuine!", Mbasha hakujua kama anarokodiwa!, ile fixing niliyoizungumzia kule inathibitishwa!, binti aliyebakwa hawezi kumrekodi mbakaji wake na kuipost hiyo clip humu, huyu aliyepanga mpango huo, ndie aliyemshauri mbakwaji apokee simu ya mbakaji na kumrekodi, ili kuutumia msamaha huo kama ushahidi wa kumsokomezea jamaa kwenye mvua 30!.

Very Sad!.

Pasco

Pasco naona kama kuna kitu unakijua



inachoonekana kuna mtu alitengeneza mazingira akamweleze shemeji aombwe msamaha; akaenda kwa Mbasha akamweleza ampigie amwombe msamaha, then akarekodiwa

yule mtoa ushauri ategeuka na kuwa ndiye 'chief -public prosecutor' auze gazeti may be

Jamaa ni kama aliambiwa ukiomba msamaha shemeji atakusamehe; ni kama aliambiwa shemeji yuko tayari kuombwa msamaha .............maana hata omba msamaha ya Mume wa mbasha ni kama ana HAKIKA kuwa ATASAMEHEWA
 
Huyu ni bonge la kilaza afu ni boya, ni arrogant, ni mshamba, ni hovyo tu tofauti na muonekano wake!!! Hovyoo. Ana mambo ya kiswahili swahili. Kajichoma mwebyewe sasa ataiona Tanzania mbaya

Ongea yake inaonyesha kabisa hana akili
 
inachoonekana kuna mtu alitengeneza mazingira akamweleze shemeji aombwe msamaha; akaenda kwa Mbasha akamweleza ampigie amwombe msamaha, then akarekodiwa

yule mtoa ushauri ategeuka na kuwa ndiye 'chief -public prosecutor' auze gazeti may be

Jamaa ni kama aliambiwa ukiomba msamaha shemeji atakusamehe; ni kama aliambiwa shemeji yuko tayari kuombwa msamaha .............maana hata omba msamaha ya Mume wa mbasha ni kama ana HAKIKA kuwa ATASAMEHEWA

Inawezekana aiseee maana jamaa anajiamini af anaonekana ana kiburi ile mbayaa....mimi kanikera yan kanikera kupitiliza...
 
There you are Mkuu Pasco. Kuna kitu jamaa anachezeshewa hapa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umepita mulemule nilimowaza. Ukichunguza wakati mwingi huyu Mbasha alipokua akiongea,huyu dada alikua kimya bila kumkatisha. Hii ni technique ya mtu anayekurekodi ili kupata confess zako nyingi iwezekanavyo. Na hata alipoongea bidada,aliuliza 'a leading question' ili Mbasha a ungame zaidi!
inachoonekana kuna mtu alitengeneza mazingira akamweleze shemeji aombwe msamaha; akaenda kwa Mbasha akamweleza ampigie amwombe msamaha, then akarekodiwa

yule mtoa ushauri ategeuka na kuwa ndiye 'chief -public prosecutor' auze gazeti may be

Jamaa ni kama aliambiwa ukiomba msamaha shemeji atakusamehe; ni kama aliambiwa shemeji yuko tayari kuombwa msamaha .............maana hata omba msamaha ya Mume wa mbasha ni kama ana HAKIKA kuwa ATASAMEHEWA
 
Mkuu Mwakibete, asante kwa hii kitu, nimeisikiliza ni "bonafide genuine!", Mbasha hakujua kama anarokodiwa!, ile fixing niliyoizungumzia kule inathibitishwa!, binti aliyebakwa hawezi kumrekodi mbakaji wake na kuipost hiyo clip humu, huyu aliyepanga mpango huo, ndie aliyemshauri mbakwaji apokee simu ya mbakaji na kumrekodi, ili kuutumia msamaha huo kama ushahidi wa kumsokomezea jamaa kwenye mvua 30!.

Very Sad!.

Pasco

Mkuu Pasco, ivi kwa ishu ilipofikia kuna namna ambayo hii ishu itaweza kumalizwa chinichini kweli.

Namkumbuka mzee wangu Mwinjilisti Mwasumbi. Haya mambo bwana.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umepita mulemule nilimowaza. Ukichunguza wakati mwingi huyu Mbasha alipokua akiongea,huyu dada alikua kimya bila kumkatisha. Hii ni technique ya mtu anayekurekodi ili kupata confess zako nyingi iwezekanavyo. Na hata alipoongea bidada,aliuliza 'a leading question' ili Mbasha a ungame zaidi!

Aiseee....lazma apate kinachomhusu p...af dhake
 
Alafu jamaa ni mjanja sana kuna mahali binti alikuwa anataka kumyingiza mkenge anamuuliza “...shemeji unajua kinachoniuma kwanini umenifanyia hivi mimi afadhali hata ungetoka nje.." jamaa anamkatisha anamwambia “...mimi sijakupigia simu tupige stori kuhusu nini kilitokea ila nimekupigia kukuomba msamaha..."!! Nahisi pia alikuwa anahisi kunaweza kukawa na possibility kuwa anarekodiwa...


Mkuu hapo ndipo jamaa alipocheza.
 
Hamna mlokole hapo walikuwa makada wa ccm na Mwenyezi Mungu hamfichi mnafiki na wapo wengi tu wataumbuka kabla ya kiama.
 
Huyu ni bonge la kilaza afu ni boya, ni arrogant, ni mshamba, ni hovyo tu tofauti na muonekano wake!!! Hovyoo. Ana mambo ya kiswahili swahili. Kajichoma mwebyewe sasa ataiona Tanzania mbaya

Mkuu Engare, lakini jamaa hajakiri kubaka. Ye kasisitiza msamaha.
 
Last edited by a moderator:
Pasco kama umeisikiliza hii clip vizuri, Mbasha haongei na MBAKWA, anaongea na aidha dada au ndugu wa kike wa mbakwa, yule wa kike anamwambia "kinachoumiza ni kwa nini akawa yeye, KWA NINI HATA HUKUTAFUTA MWINGINE NJE?" Kwa uelewa wangu mdogo, hii clip hakuirecord mbakwaji, bali ni ndugu wa mwathirika wa tukio anayejaribu kutumiwa kusawazisha mambo, mwishoni anaambiwa Mwambie Suzy na Flora kwamba yaishe na tusameheane maana wewe unahitaji msaada wangu zaidi katika maisha yako pia inasikika hata juzi umeanguka barabarani .... NIKATOA ELFU 15 ... Ina maana huyu jamaa anawasaidia ndugu wa Frola hivyo vipesa vidogo vidogo huku tayari anajua ni kwa njia zipi anazilipisha INDIRECTLY. Sioni hata chembe ya kumtetea huyu mtu, japo simhukumu, LAKIN KWA HILI Anaonekana wazi kuhusika kwa 99%,

Ni mjanja gani atatengeneza clip yenye sauti ya mhusika, akikiri kosa japo blindfolded, Huku akionekana wazi kuitambua vyema familia ya Mbasha mpaka secrect issues kama hiyo ya huyo mama, na kuhusu Kulola?

Tusihukumu, Lakini kwa hili sheria ifanye funzo,
kama mtu alifanya first time, akaonywa, akarudia tena, Harafu bado tuseme imetengenezwa, HAPANA

Hatutakuwa tunamtendea haki mwathirika wa tukio, Mbaya zaidi ni mtu anayedai kumtumikia BWANA,

WHAT A SHAME!!!

huyu anaongea na ester ambae ni mbakwaji........ndo Mana anarudiarudia......kumtaja ester......
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwakibete, asante kwa hii kitu, nimeisikiliza ni "bonafide genuine!", Mbasha hakujua kama anarokodiwa!, ile fixing niliyoizungumzia kule inathibitishwa!, binti aliyebakwa hawezi kumrekodi mbakaji wake na kuipost hiyo clip humu, huyu aliyepanga mpango huo, ndie aliyemshauri mbakwaji apokee simu ya mbakaji na kumrekodi, ili kuutumia msamaha huo kama ushahidi wa kumsokomezea jamaa kwenye mvua 30!.

Very Sad!.

Pasco

yaonyesha kaka Pasco unajua mengi hapo endelea kudadavua ....
 
Last edited by a moderator:
Ila kidogo tuje nje ya Topic, Kwani wewe mkuu mwakibete umeipataje hii clip, napotazama format yake ni kama ya whatssap, NI KWAMBA DADA HUYU KAISAMBAZA SOCIAL NETWORKS, AU NAWE UNA LOLOTE KATIKA HII ISSUE?

Ahahaha Mkuu Pokofame, hayo ni matokeo ya Dunia kuwa kijiji.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom