Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Status
Not open for further replies.
Mimi namjua sana flora toka anasoma taqwa full mchepuko mpka babu alichoka,ni jirani na hom kwetu kma nyumba ya 6 hivi toka kwao so hii ni ki2 planed

Subiri tu mkuu, mimi nitaelezea kinagaubaga hili suala maana kwa kiasi fulani nalifahamu na hii familia naifahamu vizuri...

Wanataka kumsulubisha kijana wa watu bila huruma kwa maslahi ya mtu fulani! Nitaleta hapa habari kamili..
 
Mkuu Pasco, ivi kwa ishu ilipofikia kuna namna ambayo hii ishu itaweza kumalizwa chinichini kweli.

Namkumbuka mzee wangu Mwinjilisti Mwasumbi. Haya mambo bwana.

Inamalizwa kabisa tena bila shida angeku kabaka mtoto mdogo wanaharakati wangekomaa lakini huyo waliokua wananyimana?
 
Last edited by a moderator:
Kaka jasiri haachi asili flora ni shidaa wewe unahama kwako unakaa hotel kunani,huyo gwajima nae mchepuko wke
 
Naomba nifunguke kidogo nielezee kile ninachokifahamu kuhusu ili sakata!!

Mgogoro katika ndoa ya Mbasha na Florah ulianza kushika kasi mwaka jana mara baada ya Florah na Mumewe kuhamia kuanza kusali kanisani kwa GWAJIMA (ufufuo na Uzima - kawe) wakitokea kanisa la MITO YA BARAKA (kariakoo)! Inasemekana kuwa mara baada ya kuhamia kanisani hapo kwa mualiko wa Gwajima (aliwaombe waje kusali kwake), mchungaji Gwajima alimfanya florah kama kiongozi wa Ibada ya SIFA na KUABUDU katika mikutani yake!! Kama ni mfuatiliaji wa haya mambo utakumbuka kuwa mwaka jana Florah alizunguka Tanzania nzima akiwa na Gwajima wakifanya mikutano ya Injili!!

Baada ya Muda kidogo Mchungaji Gwajima alimpeleka Florah London kwaajili ya masomo kitendo ambacho inasemekana kilipingwa sana na mumewe Mbasha! Ikumbukwe kuwa GWAJIMA haiwezi kupita miezi miwili pasipo kwenda UK coz amefungua kanisa kule (GLORY OF CHRIST - UK)!! So katika kipindi ambacho florah alikuwa London walikuwa wanaonana mara nyingi sana na GWAJIMA...

Baada ya Florah kurudi Tanzania ndipo akaanza hii ziara ya kuzunguka mikoani na GWAJIMA.. inasemekana kuwa katika kipindi hiki ndipo mahusiano ya kindoa kati ya forah na mumewe yalizorota zaidi... baada ya ziara kuisha Florah arirudi nyumbani lakini she wasn't the same (nisiseme zaidi)! Baada ya mikwaruzano ya hapa na pale ndipo Florah akaenda kukaa hotelini na inasemekana hoteli ilikuwa inalipiwa na mchungaji GWAJIMA, ikumbukwe kuwa ni swala la kawaida kwa Gwajima kuwalipia bills mbalimbali viongozi wake wa huduma hapo kanisani kwa mfano anamchngaji anaitwa MAXMILLIAN MACHUM amempangishia nyumba ya ghorofa pale ubungo na wachungaji wake wote wapatao thelethini amewanunulia magari!! Lakini hata hivyo hii hatua yake ya kumpangia hoteli mke wa mtu ilizua maswali mengi sana.....

NAOMBA TUDIGEST HII KWANZA ALAFU NTARUDI HAPA KUELEZEA YAFUATAYO

1. Kisa cha mbasha “kubaka"
2. Milioni 10 alizotoa GWAJIMA kwenye msiba wa kulola
3. Mungu akinipa ujasiri nitamtaja kabisa mtu aliye nyuma ya pazia ya hii sinema..

Utalisaidia Jeshi la Polisi katika upepelezi.
 
Naomba nifunguke kidogo nielezee kile ninachokifahamu kuhusu ili sakata!!

Mgogoro katika ndoa ya Mbasha na Florah ulianza kushika kasi mwaka jana mara baada ya Florah na Mumewe kuhamia kuanza kusali kanisani kwa GWAJIMA (ufufuo na Uzima - kawe) wakitokea kanisa la MITO YA BARAKA (kariakoo)! Inasemekana kuwa mara baada ya kuhamia kanisani hapo kwa mualiko wa Gwajima (aliwaombe waje kusali kwake), mchungaji Gwajima alimfanya florah kama kiongozi wa Ibada ya SIFA na KUABUDU katika mikutani yake!! Kama ni mfuatiliaji wa haya mambo utakumbuka kuwa mwaka jana Florah alizunguka Tanzania nzima akiwa na Gwajima wakifanya mikutano ya Injili!!

Baada ya Muda kidogo Mchungaji Gwajima alimpeleka Florah London kwaajili ya masomo kitendo ambacho inasemekana kilipingwa sana na mumewe Mbasha! Ikumbukwe kuwa GWAJIMA haiwezi kupita miezi miwili pasipo kwenda UK coz amefungua kanisa kule (GLORY OF CHRIST - UK)!! So katika kipindi ambacho florah alikuwa London walikuwa wanaonana mara nyingi sana na GWAJIMA...

Baada ya Florah kurudi Tanzania ndipo akaanza hii ziara ya kuzunguka mikoani na GWAJIMA.. inasemekana kuwa katika kipindi hiki ndipo mahusiano ya kindoa kati ya forah na mumewe yalizorota zaidi... baada ya ziara kuisha Florah arirudi nyumbani lakini she wasn't the same (nisiseme zaidi)! Baada ya mikwaruzano ya hapa na pale ndipo Florah akaenda kukaa hotelini na inasemekana hoteli ilikuwa inalipiwa na mchungaji GWAJIMA, ikumbukwe kuwa ni swala la kawaida kwa Gwajima kuwalipia bills mbalimbali viongozi wake wa huduma hapo kanisani kwa mfano anamchngaji anaitwa MAXMILLIAN MACHUM amempangishia nyumba ya ghorofa pale ubungo na wachungaji wake wote wapatao thelethini amewanunulia magari!! Lakini hata hivyo hii hatua yake ya kumpangia hoteli mke wa mtu ilizua maswali mengi sana.....

NAOMBA TUDIGEST HII KWANZA ALAFU NTARUDI HAPA KUELEZEA YAFUATAYO

1. Kisa cha mbasha “kubaka"
2. Milioni 10 alizotoa GWAJIMA kwenye msiba wa kulola
3. Mungu akinipa ujasiri nitamtaja kabisa mtu aliye nyuma ya pazia ya hii sinema..

Aiseeeee.....sibanduki hapa leo
 
Mmh inasikitisha sana kweli sikuhz ni za ajabu ila kwa kweli kama kaomba msamaha basi yest anasema hata 7*70 we samehe ila uyo dada awe mbali na mtuhumia jamani DHAMBI NI MBAYASANA.
 
Tuangalie kwa kiona mbali kwa nini mtu aliyeoa abake? Ina maana mke hamtoshelezi kitandani?
 
Hapa kuna wazee wa kupika wameingilia hili ili wamchakaze mtu. Namuombea Mbasha aimalize salama hii safari yake. Though sijui ukweli lakini kuna harufu ya kuivuruga hii ndoa. Wasipotumia busara na kweli hii ndoa itasambaratika. Wawili inabidi wawe na msimamo. Harufu ya siasa ndani yake imo.
 
Huyu dada cjui km kwel anamcfu Mungu maana mambo yake ya kula bata na mumewe yananiacha hoi. Mavaz anayovaa sometime lazma ujifikirie mara 2. Co siri kawaaibisha waimba gospo wt!!
 
Asemehewe Lakin kaomba msamaha kitemi... aende ndani kwa mud a ajifunze ----- Huyo!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom