Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Status
Not open for further replies.
ngoja tumalize hili sakata la mbasha

ila unaijua hotel moja ipo nyima ya ubungo plaza ina taa taa nyingi za rangi nyakati za usiku in usawa kama wa gorofa 4 kama sikose hivi ipo mbali kidogo na ubungo plaza ila iko nyuma yake

nenda hapo muulizie mdada resepshenist ana mahips na kalio kama masogange
uimpata mpe biz card mpe dola 50 ya vocha then mwambie next wikend muonane
alafu muulize kuhusu huyo mzeee

niliondoka kitambo huko sidhan kama walienda sana kiasi cha kumuamisha pale naamini yupo kama hayupo utampata wa kukuambia yupo

usiitaje hiyo hotel JINA LAKE HAPA

usifanye hivyo mchepuko, weka hapa hapa wazi km mkuu the bold anavyfanya
 
Mkuu mimi hapa namsubiria the Bold ,nipo nazidinya tu hapa castle milk stout kwa ajili yake.Hawa walokole mchwara wameaibisha dini yangu.

Kiongozi umetisha sana na hayo makitu meusi....

Ngoja Mkuu The bold arudi, ila tumuombee maana alipogusa issue ya Sembe nikamkumbuka Amina Chifupa RIP
 
usifanye hivyo mchepuko, weka hapa hapa wazi km mkuu the bold anavyfanya

ni issue ya zamani labda nitafute evidence upya kwa kumtafuta huyo dada
ndo maana nikakwambia nenda hiyo hotel
sitaki kuongea bila evidence

wewe si upo mitaa hiyo nenda
mimi jipo mbali sana
 
ahahahhahaa masai dada, hamna Bwana. Atakuwa safe, si unajua amepromise kuja na nondo ndefu na kali. Natumaini atakuwa ana proof read by this time.

cc The bold
 
Last edited by a moderator:
ni issue ya zamani labda nitafute evidence upya kwa kumtafuta huyo dada
ndo maana nikakwambia nenda hiyo hotel
sitaki kuongea bila evidence

wewe si upo mitaa hiyo nenda
mimi jipo mbali sana

Sijui nile kona hapo kesho?? Pembeni ya hiyo hotel si kuna kengine kadogo kana ghorofa moja kanaitwa W......
 
Hivi inakuwaje mchungaji anakuwa na security inteligency yake tena ya watu profesional.
Na inakuwaje mambo ya ngono yafanyike katika taasisi hizi za 'watu wa Mungu'?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom