Mbasha: Gwajima ana roho mbaya sana na roho ya uharibifu, hafai

Mbasha: Gwajima ana roho mbaya sana na roho ya uharibifu, hafai

Hapa swala sii dini gani, ni kwamba kiongozi wa nafsi za watu anapaswa kuwa aje? Mm nafikiri unatetea mtu bila kujali Mungu anataka nn. Lakini ungejua sheria za ukuwani ktk biblia Gwajima hasingefaa kuwa kuwani kwa kashfa zake hizi. Kwa haraka haraka naona Mathayo 24: ikitimia na watu hawaoni.
Mi sikatai kumsema Gwajima ila usimlaumu peke ake, tukuone pia unalaumu na wengne , maana isifike pahala Gwajima akaonekana ndio wa kunyooshewa vidole pekeake . . .
 
Embu vaa viatu vya huyo Mbasha...kwan hayo mambo si yalikuepo kabla ya hio ishu ya ngada?!..
Yey anaongelea gwajima na aliekua mkewe na haongelei ya gwajima na makonda..
Unrelated issues..wabongo sijui tukoje.
Achana nae lofa huyo!
 
Ila wasukuma mwaka huu wanavuma kila linaloibuka msukuma dah ngoja tuone hizi series zitaishia wapi
 
Mi sikatai kumsema Gwajima ila usimlaumu peke ake, tukuone pia unalaumu na wengne , maana isifike pahala Gwajima akaonekana ndio wa kunyooshewa vidole pekeake . . .
Kajiingiza kwenye siasa kaacha alichopaswa kufanya kama mtumishi wa God
 
Embu vaa viatu vya huyo Mbasha...kwan hayo mambo si yalikuepo kabla ya hio ishu ya ngada?!..
Yey anaongelea gwajima na aliekua mkewe na haongelei ya gwajima na makonda..
Unrelated issues..wabongo sijui tukoje.

Kama ni kweli Mbasha ni mwanaume legelege
Kakosa wa kumlea sasa anatapatapa
 
Hakuna aliyemkamilifu, hakuna aliye msafi
 
Hahahahaaaaa! [emoji23] kwani Mbasha alikuwa anafanya kazi gani hasa ya kumuingizia kipato kwaajili ya kutunza familia? Kama kuna anaefahamu wadau tafadhali!

Kufikiria kwa kutumia makalio ni kitu cha hatari sana [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]mke wa mtu ni mke wa mtu tu haviusiani chochote na mambo ya kazi ya Mbasha.
 
Natamani kila mmoja ajifunze toka katika link hapo chini.... "Touch Not My Anointed" "Touch Not The Lord's Anointed"



So the annointed ones hapa bongo wanaruhusiwa kuwashambulia wenzao as well?
Benny anasema hapo hata Yesu hakumsema Yuda hata alipojuwa kile Yuda anaenda kufanya simply Yuda alikuwa one of the annointed ...... Something quite different with our so called annointed Gwajima.....Mungu atuongoze mwenyewe katika hili.
Bado namkumbuka kipindi cha mashambulizi kwa mtumishi mwenzie Askofu Pengo....
Confusion....Who is the annointed between them.....
Oo Lord okoa taifa lako Tanzania.
 
So the annointed ones hapa bongo wanaruhusiwa kuwashambulia wenzao as well?
Benny anasema hapo hata Yesu hakumsema Yuda hata alipojuwa kile Yuda anaenda kufanya simply Yuda alikuwa one of the annointed ...... Something quite different with our so called annointed Gwajima.....Mungu atuongoze mwenyewe katika hili.
Bado namkumbuka kipindi cha mashambulizi kwa mtumishi mwenzie Askofu Pengo....
Confusion....Who is the annointed between them.....
Oo Lord okoa taifa lako Tanzania.

Yes... Benny anasisitiza kuwa we are not the ones to judge.... Kama ana mapungufu .... etc Let the Lord who called him deal with him...... Ametoa mfano wa Sauli hapo kuwa pamoja na yooote ambayo alikuwa anayafanya.... He was still the anointed of God. Nimeogopa sana.
 
Yes... Benny anasisitiza kuwa we are not the ones to judge.... Kama ana mapungufu .... etc Let the Lord who called him deal with him...... Ametoa mfano wa Sauli hapo kuwa pamoja na yooote ambayo alikuwa anayafanya.... He was still the anointed of God. Nimeogopa sana.
Unataka kumaanisha anachokisema Benny Hinny hujaelewa?
Hata the so called annointed Gwajima pia hapaswi kusema sema juu ya wengine...Rejea Yesu Kristo mwenyewe hakumsema Yuda, why daily Gwajima?
Who is he?
Hatuna watumishi wengine nchi hii wao hawapati vikwazo?
Mwalimu Mkuu Mwakasege sijawahi msikia akisema sema ovyo...Kwani hakutani na vikwazo ktk utumishi wake?
Mungu awape Watanzania macho ya rohoni.
Enough is enough
 
Nae kitendo cha kubaka mdogo wa flora angeozea segerea..
 
Back
Top Bottom