Mbasha: Gwajima ana roho mbaya sana na roho ya uharibifu, hafai

Huyo Mbasha naye kachanganyikiwa. Yeye anavyotoka na vibinti vya shule ndio anajiona mjanja. Dogo ana tabia chafu sana huyu hata wakati yuko na ex wife wake. Watu wanamsitiri ila anajidai ana kiburi cha beberu.
 
Ukiona unamtetea mbasha ujue unatabia za kupenda kulelewa.Ukipenda mkeo audumiwe na vidume wenzako ni haki yao kumla.
 
Kufikiria kwa kutumia makalio ni kitu cha hatari sana [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]mke wa mtu ni mke wa mtu tu haviusiani chochote na mambo ya kazi ya Mbasha.

Tulia Dawa ikuingie! Mke akulee miaka yote halafu shukrani yako umbake ndugu Yake ? Utabaki kumlaumu Mkwezi wakati nazi imeliwa na mwezi! Mpaji ni Mungu kaka, tafuta kazi ufanye maisha yapo tu Kwa uweza wa Mungu!
 
Mapenzi yaliteka hata wafalme
 
Zamani miaka ya tisini hivi kulikuwa Na hadithi flani ya bwana mmoja akiitwa " lord Lofa" [emoji3][emoji3][emoji3] alikuwa akijiona mtanashati nadhifu hivi Na hivi lakini Kumbe kiuchumi ni sawa na lofa tu! Hadithi hii ilikuwa ikiburudisha sana!
 
We mwanaume unafanya kazi ya kuwa kama mkoba wa mkeo, utaachwa tu!
 
Ukishakuwa mzigo kubali matokeo ujipange upya!
 
Huyo Mbasha naye kachanganyikiwa. Yeye anavyotoka na vibinti vya shule ndio anajiona mjanja. Dogo ana tabia chafu sana huyu hata wakati yuko na ex wife wake. Watu wanamsitiri ila anajidai ana kiburi cha beberu.
Duh......

Lete ubuyu
 
Pasaka hii twaweza kupata undani wake na kwanini mke alimkimbia....tusubiri
 
Mbasha namjua nje ndani ni Malioo huwa anavizia wadada wenye pesa apate kuteleza anapenda kulelewa
 
Huyu Bwana tangu mwanzo walivyoanza kuimba na mkewe Kuna kitu niliona kuwa sustainability ya hiyo service iko kwenye Question
 
huyo mbasha aache kulalama aendelee na maisha yake
 
Huyo mwanamke C ameachana nae, kwani unamuwaza sana kama umezaliwa na utakufa nae, jifunze kusahau maisha yasonge mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…