Uchaguzi 2020 Mbatia awakaribisha CHADEMA na wapinzani wengine kwenye ushirikiano wenye maslahi mapana kwa mama Tanzania

johnthebaptist huyo ni mshirika wenu, mwenyekiti pekee wa chama cha upinzani anaepokelewa na RC katika ziara za kukiimarisha chama.

Chadema wakifanya ziara za kikiimarisha chama wanaishia mahabusu.
Mbatia ni waziri kivuli wa elimu kwenye Baraza la mawaziri wa KUB!
 
Huyo jamaa mpuuzi akalale mbeleee huko
 
.
 
Ata mpata Mrema, na CUF vyama vya kijanja ambavyo vina tetea wananchi atavisikia kwenye bomba
 
CHADEMA lengo ni kuchukua madaraka, Mbatia lengo ni kuwa "mpinzani" mkuu. Directions mbili tofauti, hawawezi kuungana
 
Ushirikiano ? Na nani ?
 
Viko vyama vingi vilivyo kwenye list ya CCM, ni vyema Mbatia angeshirikiana na hivyo. Mfano kuna CUF, TLP, UDP nk.
Hata maalimu aliitwa ikulu akiwa na ACT
 
Chama makini hakiwezi kuungana na Mbatia hata mara moja! kwanza niulize pale kuna chama au kuna mgonjwa tena wa icu.
mbatia haaminiki
nccr + tlp = ccmB. hivi watu wa marangu na kilema mna shida gani kuwa vibaraka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…