Mbatia: Nampongeza Rais Samia kwa ubunifu, salamu za Asalam Aleykum, Bwana Yesu asifiwe na Mwanakondoo zililigawa Taifa

Mbatia: Nampongeza Rais Samia kwa ubunifu, salamu za Asalam Aleykum, Bwana Yesu asifiwe na Mwanakondoo zililigawa Taifa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa Nccr mageuzi amempongeza Rais Samia kwa kubuni salamu mpya ya taifa ya " Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania "

Mbatia amesema salamu za kidini za asalam aleykum Bwana Yesu asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo na Mwanakondoo ameshinda tumfuate zilikuwa zinaligawa taifa.

Source: ITV habari

Kazi Iendelee
 
Mwenyekiti wa Nccr mageuzi amempongeza Rais Samia kwa kubuni salamu mpya ya taifa ya " Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania "

Mbatia amesema salamu za kidini za asalam aleykum Bwana Yesu asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo na Mwanakondoo ameshinda tumfuate zilikuwa zinaligawa taifa.

Source: ITV habari

Kazi Iendelee
Huyo ameshakosa soko, anajipitisha kwa mama ili aonekane! Yaani ni sawa na anampigia miluzi mama wakati mama kavaa shungi wala hatizami pembeni.
 
Kweli Sisi watanzania tuna shida Sana, kwahiyo tatizo la nchi hii ni salamu.
Nakumbuka Mzee Mkapa alikua anatusalimia "Mambo".
Kiongozi mkubwa anajadili vitu ambavyo havina Tija.

Rais na yeye alipoanza madaraka alianza kutafuta salamu Kwanza, nchi hii inashida Sana kwakweli.
 
Mbatia alipoteza credibility pale alipo ikumbatia CCM.
Mwambieni kabisa siku viongozi wa vyama vya siasa vitakapokutana NA SSH MBatia akae upande wa CCM.
 
Hii nchi ni ya ajabu sana, Hivi salamu ya raisi nayo inakua ni mjadala wakushuhulisha watu
 
Mama Tanzania

Hii ndio inaendana na Mama Rais. Kura zinazo kupa uongozi za watu wadini zote haziligawi Taifa bali salamu za dini zao zinaligawa Taifa. Kutokujiamini wakati mwengine ni tatizo kubwa. Sheikh wa Dar kapungukiwa na uislamu wake aliposema Bwana Yesu Asifiwe? Ama Askofu Gwajima kapungikiwa na Uktristo wake kwa kusema Aslamu Alekum subuhana wataalah?!
 
Mwenyekiti wa Nccr mageuzi amempongeza Rais Samia kwa kubuni salamu mpya ya taifa ya " Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania "

Mbatia amesema salamu za kidini za asalam aleykum Bwana Yesu asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo na Mwanakondoo ameshinda tumfuate zilikuwa zinaligawa taifa.

Source: ITV habari

Kazi Iendelee
Hata mm zilinikera sana, ilikuwa ni kupoteza muda
 
Mwenyekiti wa Nccr mageuzi amempongeza Rais Samia kwa kubuni salamu mpya ya taifa ya " Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania "

Mbatia amesema salamu za kidini za asalam aleykum Bwana Yesu asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo na Mwanakondoo ameshinda tumfuate zilikuwa zinaligawa taifa.

Source: ITV habari

Kazi Iendelee
Bwashe na wewe sometime uachage bangi kwa kusikiliza wahuni! Salamu zinazochagiza ukuu wa Muumba wa Taifa hili linakujaje kuligawa taarifa hilohilo? Mbatia yaelekea ni mtu wa mataifa, hana hata chembe ya roho mtakatifu japo alibatizwa enzi hizo! Tapeli!
 
Back
Top Bottom