Walilazimika kujiuzulu waliotia nia ya kugombea ubunge 2020-Makonda na wengine kama tulivyoambiwa na Jiwe.Kipo kipengele cha Sheria kinachoelekeza hivyo?
Umeona wapi mtu anaeomba kazi kabla hajaipata anayoiomba anaacha aliyonayo?
Umeona wapi. Amekwambia nani
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app