Mbatia: Tutegemee Petrol kupanda bei zaidi, haya tunayouziwa Tsh. 2400 P/L yalinunuliwa Aprili

Mbatia: Tutegemee Petrol kupanda bei zaidi, haya tunayouziwa Tsh. 2400 P/L yalinunuliwa Aprili

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema bei ya Petrol na Diesel huko duniani inaendelea kupanda na amewataka watanzania kutoshangaa ikiendelea kupaa hapa nchini.

Mbatia amesema haya mafuta tunayouziwa Tsh 2400 kwa lita yalinunuliwa mwezi Aprili wakati mafuta hayajapanda bei kwenye soko la dunia.

Chanzo: ITV habari

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
JPM ameacha bei ya petroli sh 1,800. Thamani ya shilingi dhidi ya dola 2,200
Nasubiri nione 2025 itakavyokua.
Tuendelee na mapambio tutaelewana tu huko mbeleni
 
JPM ameacha bei ya petroli sh 1,800. Thamani ya shilingi dhidi ya dola 2,200
Nasubiri nione 2025 itakavyokua.
Tuendelee na mapambio tutaelewana tu huko mbeleni
2025 1 dola = tsh3000 Minido na kikwete wataweza wapi kuongoza nchi
 
We jamaa acha uongo,ina maana toka march hadi leo iwe imepanda Tzs 600 nzima!unamiliki chombo cha moto kweli wewe au ndio story za kwenye vijiwe vya kahawa?
 
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema bei ya petrol na diesel huko duniani inaendelea kupanda na amewataka watanzania kutoshangaa ikiendelea kupaa hapa nchini.

Mbatia amesema haya mafuta tunayouziwa tsh 2400 kwa lita yalinunuliwa mwezi Aprili wakati mafuta hayajapanda bei kwenye soko la dunia.

Chanzo: ITV habari

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mama ameandaa mkakati gani wa kudhibiti mfumuko wa Bei?
 
Back
Top Bottom