MBEGU BORA
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 500
- 357
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntaendelea tu kumake comparison hasa katika mfumuko wa bei, thamani ya shilingi, huduma za kijamii hasa afya na elimu na na ajira. Nione kama kuna unafuu au ndo tunazidi kudidimia
hhaha mchumi wa kwenye majabaliMchumi wa kujichora kwenye mawe na majabali mabarabarani
daahhh brazamen sio poa..2025 1 dola = tsh3000 Minido na kikwete wataweza wapi kuongoza nchi
Nikweli alikua anapika data hadi tunaenda kununua petrol 1,800 kwa LitaUnafanya comparison vipi wakati rais aliyepita alikuwa mpika data?
Nikweli alikua anapika data hadi tunaenda kununua petrol 1,800 kwa Lita
Upishi huu wa data tunauhitaji sana sasa.
Huyo sio bwashee ilo ni li mami la nyarugusuUna uhakika bwashee?
Anatembeza chai huyoWe jamaa acha uongo,ina maana toka march hadi leo iwe imepanda Tzs 600 nzima!unamiliki chombo cha moto kweli wewe au ndio story za kwenye vijiwe vya kahawa?
Atakua msemaji kivuliMbatia ndio msemaji wa Serikali kwa upande wa nishati?! Au ana 'act' kwa mujibu wa ile 'kazi yake' nyingine?
mafuta yapande yaweje sina haja ya kumsifu JPM hata kama angekuwepo yeye mambo yangebana tu. Usipende sana kutusababisha kukumbuka alivyo tutesa mwenda zake watu tumeanza kusahau shida wewe unatukumbusha acha mama afanye kazi zake bwanaJPM ameacha bei ya petroli sh 1,800. Thamani ya shilingi dhidi ya dola 2,200
Nasubiri nione 2025 itakavyokua.
Tuendelee na mapambio tutaelewana tu huko mbeleni
Usiseme alivyotutesa, sema alivyonitesa!! Kuteseka kwako ndiyo furaha ya wengi maana haikosi wewe ni mkwepa kodi au fisadi au wakala wa mabeberu!! Kusema ukweli mafisadi na wakwepa kodi waliteseka sana enzi za JPM!! Waliishi kama mashetani!! Kumbuka kuwa ninyi mafisadi mlitutesa sana huko nyuma!! Kwa sasa mnampigia hesabu mama na mmeshaanza kurudi kwa kasi, ila jueni siku zenu zinahesabika!!mafuta yapande yaweje sina haja ya kumsifu JPM hata kama angekuwepo yeye mambo yangebana tu. Usipende sana kutusababisha kukumbuka alivyo tutesa mwenda zake watu tumeanza kusahau shida wewe unatukumbusha acha mama afanye kazi zake bwana
Mama chief anachemka vibaya Sana.Hiyo ndiyo tofauti ya magufuli alikuwa ana tazama mbele vizuri na kwamakini hata hii korona chini ya samia lazima itstuchapa vibaya wewe subiri utaona kitu kitakacho tokea,mama sialikuwa anamponda magufuli
Jana bungeni 'supika' kahoji <>ya V8 kati ya Dodoma na Dar.Korona ilipoingia bei ya mafuta iliporomoka duniani hadi tukashuhudia huku kwetu, leo hii korona hiyo hiyo imepaisha bei ya mafuta....tatizo mnataka kodi kwenye mafuta ndo iendeshe nchi, BTW hayo mavyeo mnayopeana hadi wasanii yanayoambatana na mishahara na posho kubwa kubwa yanaipa mzigo nchi kuendesha serikali kubwa ambayo ina nafasi nyingi za kuteuana ambazo ni redundant mnaishia kuumiza wananchi kwa kuweka mikodi kila pahala....
Takwimu 99% zilikuwa za kupika.Unafanya comparison vipi wakati rais aliyepita alikuwa mpika data?
Na wewe mlipa kodi subiri uteseke kama shetani kama tulivyoteseka sisi.usituletee habari za shetani yule ameshaenda achaUsiseme alivyotutesa, sema alivyonitesa!! Kuteseka kwako ndiyo furaha ya wengi maana haikosi wewe ni mkwepa kodi au fisadi au wakala wa mabeberu!! Kusema ukweli mafisadi na wakwepa kodi waliteseka sana enzi za JPM!! Waliishi kama mashetani!! Kumbuka kuwa ninyi mafisadi mlitutesa sana huko nyuma!! Kwa sasa mnampigia hesabu mama na mmeshaanza kurudi kwa kasi, ila jueni siku zenu zinahesabika!!
Umeona sasa?Mbatia ndio msemaji wa Serikali kwa upande wa nishati?! Au ana 'act' kwa mujibu wa ile 'kazi yake' nyingine?