kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,964
Ingia webya EWURA utapata bei ya petroli mwezi FebruaryUna uhakika bwashee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia webya EWURA utapata bei ya petroli mwezi FebruaryUna uhakika bwashee?
So what? Mnaukabilije?Huu mfumuko umesababishwa na Corona inayotesa huko duniani!
Hahahaaaa. Uumbaji ndugu atafananiSi ndiyo maana ni nido
Wewe huoni Mwigullu Nchemba anavyoukabili?So what? Mnaukabilije?
JPM ameacha bei ya petroli sh 1,800. Thamani ya shilingi dhidi ya dola 2,200
Nasubiri nione 2025 itakavyokua.
Tuendelee na mapambio tutaelewana tu huko mbeleni
Tutashuhudia mfumuko mkubwa wa Bei za bidhaa, tayari Moshi na Arusha mabasi yamepandisha Bei, je huna habari?Wewe huoni Mwigullu Nchemba anavyoukabili?
Ndio maana bei ya kimpumu hapo kijijini kwenu haijapanda!
Nauli kupanda msimu wa kufunga/ kufungua shule na wakati wa Merry Christmas and Happy New Year ni jambo la kawaida kabisa bwashee!Tutashuhudia mfumuko mkubwa wa Bei za bidhaa, tayari Moshi na Arusha mabasi yamepandisha Bei, je huna habari?
Ntaendelea tu kumake comparison hasa katika mfumuko wa bei, thamani ya shilingi, huduma za kijamii hasa afya na elimu na na ajira. Nione kama kuna unafuu au ndo tunazidi kudidimiaTafuta namna nyingine ya kumsifia yule dhalimu, sio kwa huu upotoshaji. Kama hujui mambo ya $ achana nayo kabisa, ongeleo yaliyo kwenye uwezo wako ya Simba na Yanga.
Inaitwaje Kama hali hiyo?Nauli kupanda msimu wa kufunga/ kufungua shule na wakati wa Merry Christmas and Happy New Year ni jambo la kawaida kabisa bwashee!
Usiogope.
" msimu"Inaitwaje Kama hali hiyo?
Na hii ndo lugha ya PRINTERS family ahahahahaMazoezi ni muhimu kwa afya!
Mbatia, Mbowe na Prof Lipumba kuna mahala wanakutana!Mbatia ndio msemaji wa Serikali kwa upande wa nishati?! Au ana 'act' kwa mujibu wa ile 'kazi yake' nyingine?
Magufuli kaondoka 1 USD ni 2309JPM ameacha bei ya petroli sh 1,800. Thamani ya shilingi dhidi ya dola 2,200
Nasubiri nione 2025 itakavyokua.
Tuendelee na mapambio tutaelewana tu huko mbeleni
Hahahaaaa....... Corona inawapitia mbali!Na hii ndo lugha ya PRINTERS family ahahahaha
Chama Cha Mazezeta" msimu"
Na ndo tunaitumia kuhalalishia umaskini wetuHahahaaaa....... Corona inawapitia mbali!
Zezetas wamejazana hapo Ufipa!Chama Cha Mazezeta
Kama wangekuwa wanakutana, msinge mfunga Mbowe na kupambana kumfilisi, treatment yake ingefanana na hao wengine.Mbatia, Mbowe na Prof Lipumba kuna mahala wanakutana!