nandembako
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 655
- 526
Habari wadau wa JF.
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu makali ya kwenye mbavu hasa kikifika kipindi cha baridi,nilivyokuwa dar haikuwahi kunitokea,sasa nimepangiwa kazi Mbeya kuna baridi napatwa na tatizo hilo hasa kipindi tunachokwenda.....nimetumia madawa sana bila kupona,ila napata nafuu tu kwa muda basi!....help me please
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu makali ya kwenye mbavu hasa kikifika kipindi cha baridi,nilivyokuwa dar haikuwahi kunitokea,sasa nimepangiwa kazi Mbeya kuna baridi napatwa na tatizo hilo hasa kipindi tunachokwenda.....nimetumia madawa sana bila kupona,ila napata nafuu tu kwa muda basi!....help me please
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums