Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
- Thread starter
- #21
Wapo wengi sana usiombe ukutanenaoNilikuwa nasikiaga tu kuhusu watu wasiokuwa na akili ya maendeleo ila kweli wapo 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wengi sana usiombe ukutanenaoNilikuwa nasikiaga tu kuhusu watu wasiokuwa na akili ya maendeleo ila kweli wapo 😀
A point of no returnKibaya zaidi unaweza kuja kugundua wakati huo huna la kufanya tena
wanaojielewa?🤔,...wanawake?🤣😂😂😂Wapo wanaojielewa ila inatakiwa akili ya mwanaume ndio itoe muongozo
Akikataa kutumia zako?muhimu awe mzuri akili tutatumuia zangu
Sawa sawa mhSijui kama zinacharge au hazicharge binafsi simjui.....
Ndg yangu umepoteza imani kabisa na hao viumbewanaojielewa?🤔,...wanawake?🤣😂😂😂
haya ndugu,.. Asante 🙏
Hao sio wa kuwachukulia seriousUnabated na mdangaji mizinga kila dk.
Usinigombanishe na wapendwa wangu,..hayo umesema wewe🙏🙏🙏😂🤣Ndg yangu umepoteza imani kabisa na hao viumbe
Naunga mkono hojaukiwa na akili huwezi kuteseka, ukiona unateseka wewe ndio huna akili
Kabisa yaaniWapo wengi sana usiombe ukutanenao
😀😀😀Usinigombanishe na wapendwa wangu,..hayo umesema wewe🙏🙏🙏😂🤣
Chunguza Sana,asilimia kubwa watu wapo kwenye ndoa wamechakaa.Inaumiza sanaMke au mume anaweza akawa ki kwazo cha mafanikio ya mtu.
Huu utakua uzembe mwingine grade one.Kibaya zaidi unaweza kuja kugundua wakati huo huna la kufanya tena
Hili linatokana na watu wenyewe kuto kujipa muda wa kufahamiana vizuri kabla ya kuingia kwenye ndoa.Chunguza Sana,asilimia kubwa watu wapo kwenye ndoa wamechakaa.Inaumiza sana
Kweli kabisa.Utaratibu wa watu wazima kuchunguza na kuchagulia vijana watu wa kuwaoa na kuolewa nao unatakiwa urudi.
You are making a big mistake bro.Kama kuna kitu sina muda nacho ni ushauri kutoka KWA MWANAMKE....
Nina experience ya kutosha,..sijaanza mahusiano jana wala juzi,....sijawa kwenye mahusiano na mmoja wala watatu,......You are making a big mistake bro.
Minafikiri, kumsikiliza mwanamke sio jambo baya hata akikishauri, lakini jambo kubwa ambalo natambua mimi ni mwanaume ndio mtoa maamuzi ya mwisho katika kaya.
Hivyo basi, pamoja na mwanamke kuchangia katika kushauri mambo, lakini bado inabaki kwamba yeye hana mamlaka ya kufanya maamuzi.
Akisema mwingine unasupport kweli ila nkisema mimi unaniona domo zege, muoga & sio mchacharikaji. Mimi bila kuniletea mchumba sitoboi
Basi sawa mkuu wangu..😊Nina experience ya kutosha,..sijaanza mahusiano jana wala juzi,....sijawa kwenye mahusiano na mmoja wala watatu,......