Mbaya sana kuwa kwenye mahusiano na mtu asiye na akili ya maendeleo

Mbaya sana kuwa kwenye mahusiano na mtu asiye na akili ya maendeleo

Unadated na mdangaji mizinga kila dk.

Ukimpata mwanamke ambaye anajua nini maana ya maisha/mwenye akili ya maisha mara nyingi wanakuwa na nidhamu ya fedha hata ukimpatia fedha aitunze au mtaji lazima ataiheshimu ile hela au wengine huenda mbali na kuizalisha.

Tatizo wapo wachache mnoo,hapo bado hajashindana kuvaa,hajakimbizana na matoleo ya simu, ana mikopo, michezo miwili majina matatu kila mchezo na ana vikoba.
Ukiachilia mbali uchache, ni ngumu sana kuwapata kwa maana hawapo katika njia za vijana wengi wa kileo.
 
Kitumbua ndio msingi wa yote sasa km anakibania ndo nn basi akuruhusu atauwe una kigusa gusa na dole la kati kuona km zutu geji inasoma ila so ukimaliza ukale nyeto mzee wng 😁
 
Mdogo mdogo mtaelewa tu.....

kuna watu walimtolea sana maneno Christina shusho alivosema "nimeamua kuachana na ndoa ili nitimize ndoto zangu"

Kuna watu ndoa zimewarudisha sana nyuma hadi kwenye sifuri, kuna watu katika ndoa hakuna future yoyote ni wanaishi wakingoja tu siku ya kufa.
Malaya huyo..
 
Akisema mwingine unasupport kweli ila nkisema mimi unaniona domo zege, muoga & sio mchacharikaji. Mimi bila kuniletea mchumba sitoboi
🤣🤣🤣🤣 hata mimi nishaona. Ngoja tuanze kazi maana ishakushinda.
 
Ujana una mengi, vijana wengi huwa wanaingia katika mahusiano ya kimapenzi kwa tamaa za kimwili bila kuweka umakini wa kumsoma mtu uwezo wake wa kiakili na utafutaji, amini kwamba kuna watu wanarudi nyuma kimaisha kwakuwa na bad partners.

Mke au mume anaweza akawa ki kwazo cha mafanikio ya mtu.
Kweli kabisa mkuu,hata huyu wangu ni kama mzigo tu
 
Huu utakua uzembe mwingine grade one.
Kwanza unapo ingia kwenye mahusiano/uchumba, ni muhimu sana kujipa muda wa kumjua mwenza wako.
Na hata ikitokea umekuja mjua baada ya ndoa, minashauri bora kuvunja ndoa maana siamini kama ndoa ni mateso mazee...
Tatizo la watu wengi mnashindwa kuchukua hatua kwenye mahusiano yenu kwa kuogopa eti watu/ndugu watasema nini.
Remember, huyo ni mwenza wako wewe na sio mwenza wenu na ndugu ama marafiki.
Jirani pitia bia 4 hapa kwangu.

Watu wanalaumu tu wenzao ila mara nyingi ni wao ndio wayumbaji, Mimi ninakuwaga na option A,B hadi C za mawazo ya maendeleo yangu binafsi, ambayo in a long run yatakuwa maendeleo yetu site, mtu akileta upumbavu ajiandae kuchagua moja.

Binadamu acheni visingizio, kama mwanamke haeleweki mwache ndani mpe hela ya kula tu na kuhudumia familia, mengine fanya mwenyewe tuone atakukwamisha wapi.
 
Ujana una mengi, vijana wengi huwa wanaingia katika mahusiano ya kimapenzi kwa tamaa za kimwili bila kuweka umakini wa kumsoma mtu uwezo wake wa kiakili na utafutaji, amini kwamba kuna watu wanarudi nyuma kimaisha kwakuwa na bad partners.

Mke au mume anaweza akawa ki kwazo cha mafanikio ya mtu.
Sasa mke anakunyima papuchi, Kuna maendeleo hapo si kila siku hela unakua unahonga malaya
 
Kwa hiyo vilaza waolewe au wawaoe kina nani ? 🤣🤣 Mmoja akiwa na akili zinatosha kitu kikubwa hakikisha wewe kilaza usiye na akili za maendeleo unamsikiliza na kumsupport huyu mwenzako anayeset ramani na michongo na mbunifu wa familia. Mungu ni wetu sote jamani 🤣
 
Ngoja kwanza!
Huyo Mwanamke mwenye mawazo na malengo utamjuaje?
 
Kwa hiyo vilaza waolewe au wawaoe kina nani ? 🤣🤣 Mmoja akiwa na akili zinatosha kitu kikubwa hakikisha wewe kilaza usiye na akili za maendeleo unamsikiliza na kumsupport huyu mwenzako anayeset ramani na michongo na mbunifu wa familia. Mungu ni wetu sote jamani 🤣
Kwangu mm mwanamke awe msikivu, asiwe na kiburi, afanye majukumu yake kama mama wa familia.

Akili zangu zinatosha kabisa kuendesha maisha yetu.

Niache depertment nzima ya marafiki zangu kwenye circle yangu nikashauriane na mke wangu ? labda kulima bustani.
 
Heshima kwa shemeji. Mpaka unampa heshima hii hadharani ni wazi anastahili.
Aisee acha tu mkuu viumbe wenye Hekima, Busara, Heshima na Adabu bado wapo mkuu ila kumpata na kujua ndio huyu hapo shughuli ndipo inapoanzia kiongozi.

🙏🏾🙏🏾🙏🏾
 
Back
Top Bottom