The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Mzuka Wanajamvi!
Kuna mbeba boksi hapa kamiliki Jeep Gladiator yani fujo jamaa katoka west Africa. Nikimaanisha fujo ni zaidi ya fujo na ulimbukeni.
Jamaa kapitiliza showoff ambapo ni jambo la kawaida tu hata Mercedes GClass ukiamua unachukua tu kwa credit nakulipa kila mwezi.
Jamaa alikuja nalo Uwanjani wanapocheza mpira yani iyo show-off hadi aibu naona mimi na micheni inayoning'inia.
Kitu nilichovutiwa kwake ni demu wake bonge la black beauty bantu figure.
Jamaa lilikuwa likiamasisha Timu yake play play play yes move it that's good shot play play huku likitupatupa mkono.
Half time likaenda kwenye jeep yake na kufungua milango yote nakuwasha mziki mnene na wapambe wake wakipiga lager.
Basi waungwana (gentlemen) tunawaangalia weee nakutingisha kichwa. Yani Aibu tunaona sisi. Niga akipata mtoni ni hatari a nataka kila mtu amjue wakati ni jambo la kawaida tu.
Kuna mbeba boksi hapa kamiliki Jeep Gladiator yani fujo jamaa katoka west Africa. Nikimaanisha fujo ni zaidi ya fujo na ulimbukeni.
Jamaa kapitiliza showoff ambapo ni jambo la kawaida tu hata Mercedes GClass ukiamua unachukua tu kwa credit nakulipa kila mwezi.
Jamaa alikuja nalo Uwanjani wanapocheza mpira yani iyo show-off hadi aibu naona mimi na micheni inayoning'inia.
Kitu nilichovutiwa kwake ni demu wake bonge la black beauty bantu figure.
Jamaa lilikuwa likiamasisha Timu yake play play play yes move it that's good shot play play huku likitupatupa mkono.
Half time likaenda kwenye jeep yake na kufungua milango yote nakuwasha mziki mnene na wapambe wake wakipiga lager.
Basi waungwana (gentlemen) tunawaangalia weee nakutingisha kichwa. Yani Aibu tunaona sisi. Niga akipata mtoni ni hatari a nataka kila mtu amjue wakati ni jambo la kawaida tu.