Mbegu za kiume zina madhara kumezwa?

Mbegu za kiume zina madhara kumezwa?

Hivi unapata utamu gani kufanywa mdomoni. Kumbuka hii ni kinyume cha maumbile .

Ukianza kufuata maumbile, sex itakuwa inaboa sana. Wengine tunapenda ile joto ya mdomoni iki heat makende.
 
Nawauliza watu wa vitabu Wakristo, Waislam na Wayahudi, dini zenu zinasemaje kuhusu masuala haya?
Nakushauri kama unataka kumeza shahawa meza tu mambo mengine utayajua mbele ya safari. Mbona unakula kitimoto wakati dini zimekataza. Mbona huu mvivu wakati dini zinatuambia tuwe wachapakazi. Mbona humheshumu mumeo kwa kufanya kazi zoote kama mwanamke na sasa unaomba haki sawa,kinyumbe na dini zinavyohubiri.

Mbona una chat JF wakati ni muda wa kazi.
 
Nimefuatilia comments za wengi but wats important i think kwa afya itakua sio nzuri labda kitu kimoja nitoe ushauri tusidanganywe na movie za wazunfu za Sex jamani wale wenzetu wanadawa na wana madaktari wao special licha ya hivyo effects huwa wanazipata sana tu.

Lazima effects ziwepo pale kwa wabongo tusijaribu jamani this situation is very worse. Anaweza mtu akameza akafa hapo hapo haya mambo tuyaanche kabisa.
 
kama afya yako ni mgogoro kuna uwezekano wa kumuambukiza hepatitis,kama huna tatizo(baada ya kuchekiwa) na wote mnapenda basi awe anazikusanya mdomoni ukimaliza anatema na kusukutua na mouthwash.Nawe pia unalamba chumvi ? sio mambo ya utumwa ?

Kuna vitu watu wanapenda unaweza hisi wana kasoro vichwani mwao! napita tu jamani.
 
Nikama kula nyama ya mtu ukila hutaacha. Coz izo ni element ya binadamu
 
Nakushauri kama unataka kumeza shahawa meza tu mambo mengine utayajua mbele ya safari.Mbona unakula kitimoto wakati dini zimekataza.Mbona huu mvivu wakati dini zinatuambia tuwe wachapakazi.Mbona humheshumu mumeo kwa kufanya kazi zoote kama mwanamke na sasa unaomba haki sawa,kinyumbe na dini zinavyohubiri.Mbona una chat JF wakati ni muda wa kazi.
big up!!
 
Back
Top Bottom