Mbegu za maboga zinasaidia sana kuongeza nguvu za kiume

Mbegu za maboga zinasaidia sana kuongeza nguvu za kiume

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Maajabu ya mbegu za maboga ambayo ulikuwa huyajui bado. Inatokeaje mbegu za maboga kuongeza nguvu za kiume? Kwanza kabisa zinaondoa msongo wa mawazo kitu ambacho ni namba 1 katika kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.

Lakini pia zinashusha lehemu (cholesterol), zinatibu kisukari, zinatibu tezi dume (matatizo kama ya ngiri nk), zinashusha kisukari, zina protini nyingi ya kutosha na yenye ubora na mbaya zaidi ni kuwa zina madini ya ZINKI, madini mhimu kuliko kitu kingine chochote kwenye upande wa nguvu za kiume na kinga ya mwili.

Uzuri ni kuwa mbegu hizi hazina uchungu wowote, ni tamu kuzitafuna wakati wowote na mahali popote hata ukiwa ofisini unaweza kuwa nazo pembeni unatafuna huku unaendelea na kazi zako pia zinaongeza uwingi wa mbegu za kiume (sperm count) ukitafuna mbegu za maboga siku mbili tu utaona mabadiliko makubwa sana.

download (1).jpeg
 
Huwa nachanganyikiwa sana na elimu jadi za kibongo.

Niliwahi kusikia hata ukilamba kwapa la mpenzi wako linaongeza hamu ya tendo pia nguvu za kiume
 
Janga la Kitaifa hili..

Wajanja wanawekeza huko na kujipatia mamilioni ya Pesa..

Konyagi, Vumbi la Kongo, Viksi, Viagra, Valuer, Energy drinks, Gym, n.k n.k...
Noma sana....
Nahisi jinsi miaka inavyozidi kwenda tatizo linazidi kuongeza na madawa pia yanaongezeka
 
Maajabu ya mbegu za maboga ambayo ulikuwa huyajui bado. Inatokeaje mbegu za maboga kuongeza nguvu za kiume? Kwanza kabisa zinaondoa msongo wa mawazo kitu ambacho ni namba 1 katika kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.

Lakini pia zinashusha lehemu (cholesterol), zinatibu kisukari, zinatibu tezi dume (matatizo kama ya ngiri nk), zinashusha kisukari, zina protini nyingi ya kutosha na yenye ubora na mbaya zaidi ni kuwa zina madini ya ZINKI, madini mhimu kuliko kitu kingine chochote kwenye upande wa nguvu za kiume na kinga ya mwili.

Uzuri ni kuwa mbegu hizi hazina uchungu wowote, ni tamu kuzitafuna wakati wowote na mahali popote hata ukiwa ofisini unaweza kuwa nazo pembeni unatafuna huku unaendelea na kazi zako pia zinaongeza uwingi wa mbegu za kiume (sperm count) ukitafuna mbegu za maboga siku mbili tu utaona mabadiliko makubwa sana.

View attachment 2568045
Mbn mme wangu sijawahi muona anakula lkn Ana nguvu saaaana jmn????
 
Mbn mme wangu sijawahi muona anakula lkn Ana nguvu saaaana jmn????
Mwanaume kusimamia vizuri tendo la ndoa inategemea na kuwa na mtiririko mzuri wa damu kwenda kwenye uume sio lazima ale mbegu za maboga vyakula ni vingi vinavyoongeza nguvu za kiume ukila kimpangilio
 
Maajabu ya mbegu za maboga ambayo ulikuwa huyajui bado. Inatokeaje mbegu za maboga kuongeza nguvu za kiume? Kwanza kabisa zinaondoa msongo wa mawazo kitu ambacho ni namba 1 katika kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.

Lakini pia zinashusha lehemu (cholesterol), zinatibu kisukari, zinatibu tezi dume (matatizo kama ya ngiri nk), zinashusha kisukari, zina protini nyingi ya kutosha na yenye ubora na mbaya zaidi ni kuwa zina madini ya ZINKI, madini mhimu kuliko kitu kingine chochote kwenye upande wa nguvu za kiume na kinga ya mwili.

Uzuri ni kuwa mbegu hizi hazina uchungu wowote, ni tamu kuzitafuna wakati wowote na mahali popote hata ukiwa ofisini unaweza kuwa nazo pembeni unatafuna huku unaendelea na kazi zako pia zinaongeza uwingi wa mbegu za kiume (sperm count) ukitafuna mbegu za maboga siku mbili tu utaona mabadiliko makubwa sana.

View attachment 2568045
Unaongelea sperm counts na sperm quality au unaongelea nguvu za kiume?
 
Back
Top Bottom