Sawa mkuu, kwa maelezo niliopewa na afisa kilimo wao ni kwamba Kila mbegu inafanya vizuri kulingana na eneo au ukanda husika.hilo Halima shaka mkuu.Panda mbegu kulingana na eneo na hali ya hewa husika. Jaribu kuuliza wenyeji ni mbegu gani inakubali kabla ya kupanda.
Acha kumtisha kamanda! Kupanga ni kuchagua.. Dekalb(DK) ni miongoni mwa mbegu bora sana kwa sasa! Iwe kwa Kumwagilia au Mvua za Msimu! Mkuu kama ukanda uliopo mvua ni za kutosha basi panda DK 777 nzuri sanaa! Utani shukuru baadae.Umepima udongo ukajua mahitaji ya aina ya Mbolea?
Harafu hapo ni kilimo cha umwagiliaji hakina magonjwa mengi sasa wew jichanganye masika uone moto.
Changamoto ya hii mbegu mahindi yake Yana punje ndogondogo ukilinganisha na mbegu nyingineAcha kumtisha kamanda! Kupanga ni kuchagua.. Dekalb(DK) ni miongoni mwa mbegu bora sana kwa sasa! Iwe kwa Kumwagilia au Mvua za Msimu! Mkuu kama ukanda uliopo mvua ni za kutosha basi panda DK 777 nzuri sanaa! Utani shukuru baadae
ila mkuu hiyo mbegu mwaka wa pili huezi iludia ..Wakuu, Leo nimetembelea maonyesho ya wakulima hapa rock city na nikapita mabanda mbali mbali ya wauzaji na wazalishaji wa mbegu Bora za aina mbali mbali.
Kilicho nivutia ni Hawa kampuni ya mbegu za mahindi ya DIKALEB,jamaa wana mbegu Bora na za kiwango Cha juu.
Ninapenda kulima zao hili na nitapanda mbegu za Hawa jamaa na kuzingatia maelekezo yote walio nipa.
Wakuu Kama kunamtu mwingine anajua zaidi mbegu Bora za mahindi tupeane riport,natengemea kuingia field muda SI mrefu.
View attachment 2313047View attachment 2313048View attachment 2313049View attachment 2313050View attachment 2313051View attachment 2313052
Acha mawazo mgando changia unalolijua kuhusu hoja iliyopo mezani Sio kumkatisha tamaaUmepima udongo ukajua mahitaji ya aina ya Mbolea?
Harafu hapo ni kilimo cha umwagiliaji hakina magonjwa mengi sasa wew jichanganye masika uone moto.
Sababu za kukosa ni mbegu walizotumia hao wenzako ?Katika maeneo yangu nimepanda DK wenzangu wote wamekosa, mimi nimepata mahindi ya kutosha tu, hii mbegu mimi nitakua balozi wao
Sababu za kukosa ni mbegu walizotumia hao
Wanajamvi Mimi kwa uzoefu wangu yangu nianze kulima mahindi mwaka 2018 mkoa wa manyara, nmekuwa nkilima dk89 hii hubeba watoto waeili had watatu, huhtaj mvua ya kutosha, kwa upande wa dk31 inabeba wawl au mmoja punje zake nyeupe na kubwa za kuvutia machon! Mbegu hii inaiva mapema ht km mvua haztosh unauhakka wa kuvuna! Nmefka mkoa wa ruvuma nmekuta mbegu zngne tofaut! Hitimisho mbegu znategemeana na kampun gan imewah kufka eneo huska na kuteka soko hvyo wakulima kujenga Iman kuhusu mbegu hzo! Karbun songea, mashamba meng na mvua Ni uhakka! 0785629498Sababu za kukosa ni mbegu walizotumia hao wenzako ?
Nipo Songea tangia ،2006Wanajamvi Mimi kwa uzoefu wangu yangu nianze kulima mahindi mwaka 2018 mkoa wa manyara, nmekuwa nkilima dk89 hii hubeba watoto waeili had watatu, huhtaj mvua ya kutosha, kwa upande wa dk31 inabeba wawl au mmoja punje zake nyeupe na kubwa za kuvutia machon! Mbegu hii inaiva mapema ht km mvua haztosh unauhakka wa kuvuna! Nmefka mkoa wa ruvuma nmekuta mbegu zngne tofaut! Hitimisho mbegu znategemeana na kampun gan imewah kufka eneo huska na kuteka soko hvyo wakulima kujenga Iman kuhusu mbegu hzo! Karbun songea, mashamba meng na mvua Ni uhakka! 0785629498
maeneo gan mkuuNipo Songea tangia ،2006
Parangu-peramioUnalimia
maeneo gan mkuu