spanerboy
JF-Expert Member
- Sep 14, 2020
- 655
- 1,460
manyara sehem ipi umetokea kiongoziWanajamvi Mimi kwa uzoefu wangu yangu nianze kulima mahindi mwaka 2018 mkoa wa manyara, nmekuwa nkilima dk89 hii hubeba watoto waeili had watatu, huhtaj mvua ya kutosha, kwa upande wa dk31 inabeba wawl au mmoja punje zake nyeupe na kubwa za kuvutia machon! Mbegu hii inaiva mapema ht km mvua haztosh unauhakka wa kuvuna! Nmefka mkoa wa ruvuma nmekuta mbegu zngne tofaut! Hitimisho mbegu znategemeana na kampun gan imewah kufka eneo huska na kuteka soko hvyo wakulima kujenga Iman kuhusu mbegu hzo! Karbun songea, mashamba meng na mvua Ni uhakka! 0785629498