Mbeya: Ajifungia kwenye nyumba yeye na mkewe kisha kuchoma nyumba moto, kisa wivu wa mapenzi

Eee mnaishi mitaa tofauti mnaonana mara moja ila msichokane
Inahitajika semina ya mahusiano ili kunusuru uhai,watu wakishindwana waachane tu
Tatizo sio ndoa, tatizo ni kwamba Africa bado hatupo updated. Leo hii wanaondoa wanaweza kuwa wamechokana, kufikia stage ambayo marriage can't work no more, ila Jamii italazimisha wasameheane.

Mkiwafosi sana, ndio yanaenda kuwa haya.
 
View attachment 2549166
Mtoto wa marehemu akiwa Hospitalini akiendelea na matibabu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya

Asijekuwa bujibuji maana huko ndo kwao. Huyo mwanaume anatuabisha si angetafuta mwanamke mwingine kimya kimya
 
Nyie wanaume mnaofanya ngono na wake za watu mnaona raha gani kuharibu maisha ya wengine. Ona SAsa jamaa kajiua utabeba laana yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…