Mbeya: Amuua mwanafunzi mwenzie kwa shoka baada ya kushindwa kumbaka

Mbeya: Amuua mwanafunzi mwenzie kwa shoka baada ya kushindwa kumbaka

Watu hawana huruma
Sasa na hawa walikuwa wanabakana wapi mpaka akapata shoka la kumtandika mwenzake
Kwa nilivoelewa dogo kaenda kwao binti,itakuwa katika kurupushani binti alitowa matusi sana, kijana wa hovyo akatizama hapa na pale
 
Mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari Sinde jijini Mbeya, Faraja Kasole (16), ameuawa kwa kukatwa na shoka shingoni na mwanafunzi mwenzie aitwaye Humphrey Ngogo (17) mwanafunzi wa kidato cha tano shule ya sekondari Iduda, baada ya kushindwa kumbaka.

Chanzo cha mauaji hayo kimedaiwa kuwa ni tamaa za kimwili ambapo mtuhumiwa Ngogo alifanya jaribio la kumbaka marehemu, lakini baada ya kuzidiwa nguvu akachukua shoka na kumpiga nalo kichwani.

East Africa Radio
Kweli kuzaa si kupata, mzazi mwenye mtoto wa kike kamkosa, mzazi mwenye mtoto kiume kamkosa, kuzaa siku hizi sio ishu ya msingi tena maana ni hasara kama hizi. its typical shit.
 
wakiona wenzao wengine wanapiga masturbation wanawacheka uzembe.

kipindi niko form 2 nilimwambia jamaa yangu huwa napiga mgalala toilet alicheka kwa nguvu sana,yaani utadhani sijui nimemwambia jambo gani la ajabu.

baadae nikaja kuambiwa alikuwa anakula dada zake.
sasa mimi nayeye sijui nani alikuwa anafanya jambo la kizushi hapo.
Mimi mwenyewe nimecheka sana!!! Hahahaha..
 
Kuna baadhi ya matukio kama haya ,watu huingiwa na roho chafu akafanya tukio, hio roho ikimtoka hata yeye anashangaa tukio alilolifanya lakini maisha yanakua yashabadirika.
 
Sijawahi kusikia ama kuona binti anaitwa faraja, navyojua faraja ni ME.

Muwe mnaanza na binti aitwae faraja tuelewe, na sio faraja.


Bhujiku ng'waka
 
Huyu inabidi akae store Hadi atakapo fikisha miaka 18 halafu asomewe mashtaka .na apewe mvua za kutosha. Swine kabisa!
 
utelezi unaua.
Mtu Ana kichupa alafu anambania.
Bora angemuacha alafu angekwenda kumshtaki.
 
Alizidiwa nini!!

Afrika unyama umezidi sana hususani hapa kwetu, mara utasikia kaskazini, mara geita, mara iringa n.k
 
Back
Top Bottom