Mbeya: Amuua mwanafunzi mwenzie kwa shoka baada ya kushindwa kumbaka

U domo zege nao shida. Ila dunia inaenda Kasi mazee. Dogo Wa miaka 17 atamihemko kiasi cha kubaka.
Inashangaza sana, wakati nina umri huo nilikuwa napenda kutongoza tu mambo ya kuomba papuchi yalikuwa ni kwa kujikaza sana, ila dogo anamface kabisa binti kwa nguvu
 
Watu hawana huruma
Sasa na hawa walikuwa wanabakana wapi mpaka akapata shoka la kumtandika mwenzake
Kwa nilivoelewa dogo kaenda kwao binti,itakuwa katika kurupushani binti alitowa matusi sana, kijana wa hovyo akatizama hapa na pale
 
Barehe kwa vijana ni tatizo kubwa.
 
Kweli kuzaa si kupata, mzazi mwenye mtoto wa kike kamkosa, mzazi mwenye mtoto kiume kamkosa, kuzaa siku hizi sio ishu ya msingi tena maana ni hasara kama hizi. its typical shit.
 
Mimi mwenyewe nimecheka sana!!! Hahahaha..
 
Kuna baadhi ya matukio kama haya ,watu huingiwa na roho chafu akafanya tukio, hio roho ikimtoka hata yeye anashangaa tukio alilolifanya lakini maisha yanakua yashabadirika.
 
Sijawahi kusikia ama kuona binti anaitwa faraja, navyojua faraja ni ME.

Muwe mnaanza na binti aitwae faraja tuelewe, na sio faraja.


Bhujiku ng'waka
 
Huyu inabidi akae store Hadi atakapo fikisha miaka 18 halafu asomewe mashtaka .na apewe mvua za kutosha. Swine kabisa!
 
utelezi unaua.
Mtu Ana kichupa alafu anambania.
Bora angemuacha alafu angekwenda kumshtaki.
 
Alizidiwa nini!!

Afrika unyama umezidi sana hususani hapa kwetu, mara utasikia kaskazini, mara geita, mara iringa n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…