Mbeya: Amuua mwanafunzi mwenzie kwa shoka baada ya kushindwa kumbaka

Nimetoka kuangalia insta kuna dume linaitwa faraja, na wanawake pia wanajiita faraja, aise ipo kazi
Mwanaume anaitwa Faraja??
Ni jipya kwangu tangu nazaliwa.

Tumaini ni sawa,na linatumika na jinsia zote..ila Faraja Mmh!
 
Dah pole kwa wafiwa.Kumshinda shetani yataka vitu vya imani na uvumilivu.
 
Jambo la Sekunde 5 kwani amekua kuku uyo[emoji848]
 
Daaah, ila nakumbuka Mimi miaka 17 nilikuwa ni mtu mzima kabisa mwenye majukumu.
 
Dogo kaniangusha Umri wa miaka 17 sisi tulikuwa tunashindana Kupiga nyeto tunatupia hata 9-10 na Sasa tunachakata mbususu safi kabisa hakuna msuli uliolegea Wala Nini na uzee umefika
 
Hìi nchi kuna watu makatili sana kuliko jamii yoyote duniani
 
Hiyo miaka kwa kijana Ina changamoto Sana ya kupata mwanamke mpaka umtongeze akubali ni kazi na hata akikubali pesa ya kumpa huna na utampeleka wapi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…