Mbeya: Auawa kwa kupigwa Risasi kisa kudai ushuru wa maegesho wa shilingi 7,500

Mbeya: Auawa kwa kupigwa Risasi kisa kudai ushuru wa maegesho wa shilingi 7,500

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
9,436
Reaction score
10,944
Mtu mmja aliyejulikana kwa jina la William Mgaya ambaye ni wakala wa kukusanya ushuru wa magari ameuawa kwa kupigwa risasi na mfanyabiashara wa madini kutoka Chunya.

Polisi wa Mbeya wanamshikilia mtuhumiwa kwa hatua zaidi za kisheria.

My Take
Serikali kuweni makini na kuwapa watu silaha, siyo kila mwenye vijisenti anafaa kupewa silaha.

----
Polisi mkoani Mbeya inamshikilia Ezekia Luhwesha (31) mchimbaji na mnunuzi wa madini mkazi wa Matundasi Chunya,kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga risasi wakala wa maegesho ya magari William Mgaya (58) baada ya kumshinikiza alipe deni la Sh.7500 ya uegeshaji gari lake (Toyota Hilax)

Hilux.jpg
 
Mtu mmja aliyejulikana kwa jina la William Mgaya ambaye ni wakala wa kukusanya ushuru wa magari ameuawa kwa kupigwa risasi na mfanyabiashara wa madini kutoka Chunya.

Polisi wa Mbeya wanamshikilia mtuhumiwa kwa hatua zaidi za kisheria.

My Take
Serikali kuweni makini na kuwapa watu silaha, siyo kila mwenye vijisenti anafaa kupewa silaha.

View attachment 2428915
Ukiwa na silaha unajisikia kama kupiga piga hivi silaha inakushawishi sana we uoni polisi wakiwa nazo smg kwenye lindo za bank uwa wanavyojiona..
 
Afya ya akili haya mauaji ya namna hii Marekani ni mengi Sana

Watu wapimwe Mara kwa Mara afya ya akili imekuwa sugu.

Unaweza kumpa mtu silaha akiwa mzima baada ya mwaka afya yake ikawa sio.

Uchunguzi wa afya ya akili ufanyike Mara kwa Mara.

Pia watu wanakusanya ushuru wapewe mafunzo ya customer care Wana kauli mbaya mm nimeshakutana nao Sana tu.
 
Back
Top Bottom