Najaf
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,505
- 2,393
Umri wako na jinsia yako tafadhali? yawezekana na ongea na mtoto wa under 30Si
Si kweli na si kwa wote.Muacheni alale lupango huku anasubiri hukumu yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri wako na jinsia yako tafadhali? yawezekana na ongea na mtoto wa under 30Si
Si kweli na si kwa wote.Muacheni alale lupango huku anasubiri hukumu yake.
Tumekosa upendo, tunadharau sana watu walio chini, hatuna utuSema pesa inaleta jeuri sana, sasa utasema huyo jamaa alikosa 7500 kweli?
And case closedHuyo kazoea kuua.
Kaa hivyo hivyo, akienda jela katika awamu hii niite mbwa nimekaa hapaKweli mkuu huyu akiachiwa bila kuhukumiwa Basi nitajua hii Ni Serikali ya wenye nacho.
Marekebisho mkuu: unahesabu hadi kumi kinyume nyume yaani 10,9,...Siku ukijikuta una hasira Sana kabla ya kuchukua hatua, kunywa glass mzima ya maji, au hesabu mpaka kumi au mpigie simu mama yako au mtoto waku umsalimie.
Anaweza kufungwa mkuu akala mvia kbsa Wenda akasota miaka 3 Kisha akamaliza kesiKaa hivyo hivyo, akienda jela katika awamu hii niite mbwa nimekaa hapa
Utakua umechelewa kujuaKweli mkuu huyu akiachiwa bila kuhukumiwa Basi nitajua hii Ni Serikali ya wenye nacho.
Hahahahaa kweli aisee huyo ni mlipakodi kwa serikali ambaye anainufaisha hii nchi kwa namna yeyote ile...Hapo ni kumweka safe place na ndugu jamaa na marafiki wa huyo aliepoteza maisha baada ya hapo utaratibu ni uleule wa funika kombe mwanaharamu apite baada ya siku kadhaa anarudi kitaa na kuendelea na shughuli zake...Hasara sio kwa serikali bali ni hiyo familia ya aliepoteza maisha kama masihara hivi kwa sababu ya 7,500/=Kaa hivyo hivyo, akienda jela katika awamu hii niite mbwa nimekaa hapa
Yaan ushetan mtupuSema pesa inaleta jeuri sana, sasa utasema huyo jamaa alikosa 7500 kweli?
Kabla ya kupewa silaha wapimwe mkojo na akiliPolisi mkoani Mbeya inamshikilia Ezekia Luhwesha (31) mchimbaji na mnunuzi wa madini mkazi wa Matundasi Chunya,kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga risasi wakala wa maegesho ya magari William Mgaya (58) baada ya kumshinikiza alipe deni la Sh.7500 ya uegeshaji gari lake (Toyota Hilax)
Ditopile nae alimuwa dereva wa Daladala kimasihara Kama huyo Jamaa alivyouwa! Lakini nae baada muda akakutwa kafa Guesthouse!! Maisha yana fumbo kubwa sana!!Na alivyo zumbukuku saa hizi atakuwa analia tu huko mahabusu.Tuwe na simile.Hata kama mtu kakujibu au kukuuliza bila adabu unapaswa kutulia kwanza kabla hamjajibizana mbovu.Mengine tujifunze kuudhiwa.Haung'oki ngozi.Ona sasa!Shida tupu!
Ukiua unapigwa baridi mwili mzima.Kwa ufupi unakuwa nusu peponi nusu kuzimu.Damu ya mtu haichezewi.Ditopile nae alimuwa dereva wa Daladala kimasihara Kama huyo Jamaa alivyouwa! Lakini nae baada muda akakutwa kafa Guesthouse!! Maisha yana fumbo kubwa sana!!
Tatizo watu wanamilikishwa silaha bila kupewa mafunzo ya nidhamu ya silahaa yenyewe!!Hakuna afya ya akili hapo.
Note: The psychology behind owning a gun watching American movies ni kitu watu hawaelewi. A gun will make you live a gangster life, treating everyperson who throw dirty words an enemy