Mbeya: Auawa kwa kupigwa Risasi kisa kudai ushuru wa maegesho wa shilingi 7,500

Mbeya: Auawa kwa kupigwa Risasi kisa kudai ushuru wa maegesho wa shilingi 7,500

Acha ushirikina wako .

Katizame video ya mauaji halafu urudi upya uelezs vzr.

Huyo mwenye gari Alifuatwa akagongewa dirishani akakutwa anaongea na simu.
Akaachwa amalize kuongea na simu.

Alipomaliza akafahamishwa kuhusu kudaiwa deni la parking ,akagoma kulipa HADI aoneshwe hilo deni limetokana na nini.

Akaambiwa waende ofisini akapirintiwe. Akaenda HUKO ofisini. Alipofika HUKO inadaiwa aliprintiwa na bado akagoma kulipa. Akakimbilia Kwenye gari akawa anarudisha Rivas Kwa fujo na kutaka kutoka.

Kijana mmoja WA hapo alikimbilia kufunga geti maana aliona huyo mtu atakuwa katoka Kwa Shari HUKO juu.

Wakati kijana anafunga geti yule jamaa alishuka Kwenye gari akawa anamuuliza unanijua Mimi ni nani? Wakajibizana pale ,Sasa huuu kijana aliinama. akawa anafunga kamba kiatu chake hiyo ndo pona yake .

Huyo Mzee ALIKUWA anakuja kuja Kwenye eneo hilo walikuwa wanajibizana.


Risasi aliifyatua Kwa lengo la kumuua huyo kijana aliyekuwa anajibizana NAYE ila Kwa kuwa huyo kijana ALiinama kufunga kiatu chake risasi ilivyofyatuliwa ikamkosa ikaenda kumpiga huyo Mzee KIFUANI.

Baada ya hapo huyo kijana akaenda kumvagaa muuaji na silaha ikadondoka chini na wananchi wakaja kama kawaida Yao wakafanya sehemu Yao.

Yule kijana akaichukua silaha akaikimbiza polis wakiwa na mfanyakazi mwenzake.

Wakiwa polis wakapigiwa Simu yule Mzee amefariki tayar

Polis WALIWAHI eneo la tukio na kumchukua mtuhumiwa na tayari yupo Kwenye mikono salama la jeshi la polis mbeya.

Muda wowote atafikishwa mahakamani kujibu shitaka atakalofunguliwa nalo.


Usipende kupotosha taarifa Kwa maslahi yako binafsi.

Katizame video vzr.
Duh.kama hayo in ya kweli wananchi walitakiwa wampe kipigo cha kutosha
 
Acha ushirikina wako .

Katizame video ya mauaji halafu urudi upya uelezs vzr.

Huyo mwenye gari Alifuatwa akagongewa dirishani akakutwa anaongea na simu.
Akaachwa amalize kuongea na simu.

Alipomaliza akafahamishwa kuhusu kudaiwa deni la parking ,akagoma kulipa HADI aoneshwe hilo deni limetokana na nini.

Akaambiwa waende ofisini akapirintiwe. Akaenda HUKO ofisini. Alipofika HUKO inadaiwa aliprintiwa na bado akagoma kulipa. Akakimbilia Kwenye gari akawa anarudisha Rivas Kwa fujo na kutaka kutoka.

Kijana mmoja WA hapo alikimbilia kufunga geti maana aliona huyo mtu atakuwa katoka Kwa Shari HUKO juu.

Wakati kijana anafunga geti yule jamaa alishuka Kwenye gari akawa anamuuliza unanijua Mimi ni nani? Wakajibizana pale ,Sasa huuu kijana aliinama. akawa anafunga kamba kiatu chake hiyo ndo pona yake .

Huyo Mzee ALIKUWA anakuja kuja Kwenye eneo hilo walikuwa wanajibizana.


Risasi aliifyatua Kwa lengo la kumuua huyo kijana aliyekuwa anajibizana NAYE ila Kwa kuwa huyo kijana ALiinama kufunga kiatu chake risasi ilivyofyatuliwa ikamkosa ikaenda kumpiga huyo Mzee KIFUANI.

Baada ya hapo huyo kijana akaenda kumvagaa muuaji na silaha ikadondoka chini na wananchi wakaja kama kawaida Yao wakafanya sehemu Yao.

Yule kijana akaichukua silaha akaikimbiza polis wakiwa na mfanyakazi mwenzake.

Wakiwa polis wakapigiwa Simu yule Mzee amefariki tayar

Polis WALIWAHI eneo la tukio na kumchukua mtuhumiwa na tayari yupo Kwenye mikono salama la jeshi la polis mbeya.

Muda wowote atafikishwa mahakamani kujibu shitaka atakalofunguliwa nalo.


Usipende kupotosha taarifa Kwa maslahi yako binafsi.

Katizame video vzr.
👍
 
Acha ushirikina wako .

Katizame video ya mauaji halafu urudi upya uelezs vzr.

Huyo mwenye gari Alifuatwa akagongewa dirishani akakutwa anaongea na simu.
Akaachwa amalize kuongea na simu.

Alipomaliza akafahamishwa kuhusu kudaiwa deni la parking ,akagoma kulipa HADI aoneshwe hilo deni limetokana na nini.

Akaambiwa waende ofisini akapirintiwe. Akaenda HUKO ofisini. Alipofika HUKO inadaiwa aliprintiwa na bado akagoma kulipa. Akakimbilia Kwenye gari akawa anarudisha Rivas Kwa fujo na kutaka kutoka.

Kijana mmoja WA hapo alikimbilia kufunga geti maana aliona huyo mtu atakuwa katoka Kwa Shari HUKO juu.

Wakati kijana anafunga geti yule jamaa alishuka Kwenye gari akawa anamuuliza unanijua Mimi ni nani? Wakajibizana pale ,Sasa huuu kijana aliinama. akawa anafunga kamba kiatu chake hiyo ndo pona yake .

Huyo Mzee ALIKUWA anakuja kuja Kwenye eneo hilo walikuwa wanajibizana.


Risasi aliifyatua Kwa lengo la kumuua huyo kijana aliyekuwa anajibizana NAYE ila Kwa kuwa huyo kijana ALiinama kufunga kiatu chake risasi ilivyofyatuliwa ikamkosa ikaenda kumpiga huyo Mzee KIFUANI.

Baada ya hapo huyo kijana akaenda kumvagaa muuaji na silaha ikadondoka chini na wananchi wakaja kama kawaida Yao wakafanya sehemu Yao.

Yule kijana akaichukua silaha akaikimbiza polis wakiwa na mfanyakazi mwenzake.

Wakiwa polis wakapigiwa Simu yule Mzee amefariki tayar

Polis WALIWAHI eneo la tukio na kumchukua mtuhumiwa na tayari yupo Kwenye mikono salama la jeshi la polis mbeya.

Muda wowote atafikishwa mahakamani kujibu shitaka atakalofunguliwa nalo.


Usipende kupotosha taarifa Kwa maslahi yako binafsi.

Katizame video vzr.
Parking system bado ina mapungufu sana,na watu wataendelea kulumbana hadi kuuwana, Kama machine ya parking inaweza peleka taarifa za deni la parking kwa office yao,at the same time inatakiwa na taarifa hizo na mteja zimfikie saa hiyo hiyo,ili na yeye awe na taarifa za deni lake analo daiwa!!
 
UNANIJUA MIMI NANI?........ hizi zimerudi awamu hii.

KWA SASA FEDHA INA ONGEA, JAMAA NATASHIKILIWA KWA MIEZI 3 HIVI.
WATU MTASAHAU,
MASHTAKA YATABADIRIKA,
MWISHO ANARUDI MTAANI KAMA KAWAIDA.
 
Hahahaaa hapo ww n wivu na wenye vicenti tu.ndio hoja kuu kwako.
Marehemu pumzika kwa amani.
Na roho yako mungu aiweke panapo stahili.
 
Kuna jamaa angu mbeya palepaale aliwai kupewa bastola Aina ya grock 17 kwa akili za Yule bwana ilinibidi kuama tu mji mnk akili za jamaa Yule nazifahamu vzr San na Mara nyingi tunakuwa nae kwenye upauwaji (ulevi ) haijapita Muda akanyanganywa kwa kosa la kutoa toa hadharani silaa hyo

Yule jamaa Ni maarufu snaa hapo mbeya mjini Ni muuzaji wa mabati ya dragon white snaaa HV
Jamaa namfahamu anaitwa John mikindo white hv
 
F26C32E1-49F3-4C33-8283-BCE928DC5D56.jpeg


JESHI la Polisi mkoani Mbeya limemkamata mchimbaji na mnunuzi wa madini, Ezekiel Luhwesha (31) akituhumiwa kumuua wakala wa maegesho ya magari jijini Mbeya, William Mgaya (58).

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga alisema Luhwesha ambaye ni mkazi wa wilayani Chunya mkoani Mbeya, anatuhumiwa kumuua Mgaya Novemba 26 saa 4:30 asubuhi katika eneo la Mafiati kata ya Ruanda kwenye ofisi za Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (Tarura) jijini humo.

Kamanda Kuzaga alisema jana kuwa siku ya tukio, Mgaya na mwezake Almasi Shaban (32) wote wakala wa maegesho ya magari, wakiwa katika kazi yao ya kukusanya ushuru walimkamata Ezekiel baada ya kuscan namba ya gari lake T 772 DVY Toyota Hilux.

Ilidaiwa kuwa gari lilikuwa likidaiwa Sh 7,500 na mtuhumiwa alitakiwa kulipa deni hilo lakini alihitaji kuhakiki deni hilo hivyo waliongozana hadi ofisi za Tarura.

“Baada ya kuoneshwa taarifa katika mfumo, mtuhumiwa aliliridhika na kuahidi kulipa deni hilo, lakini wakala Willium Mgaya alimtaka kulipa deni hilo papo kwa hapo kwa sababu deni hilo ni la muda mrefu na ndipo yalitokea majibizano yasiyo rafiki kati yao na kupelekea mtuhumiwa kutoa pisto yake na kumfyatulia risasi kifuani Willium Mgaya na kupoteza maisha muda mfupi baada ya kufikishwa hospitali ya rufaa Mbeya kwa matibabu,”alisema Kamanda Kuzaga.

Alisema mtuhumiwa yupo polisi na silaha yake aina ya bastola yenye namba T.0620-19J0037 ikiwa na risasi tisa ndani ya magazini inashikiliwa.
Kamanda Kuzaga alihimiza wamiliki wa silaha za moto wazingatie masharti ya umilikishwaji kama walivyoomba na wasizitumie tofauti na masharti yalivyoeleza ikiwa ni pamoja kujichukulia sheria mkononi.

Chanzo. millardayo
 
Sheria zilitungwa kwa watu wanyonge tu. Ndiyo maana viongozi wanawapenda sana watu wanyonge.
Huyu jamaa atatoka ndiyo maana hata alipompiga risasi mtu alikuwa ana uhakika 100% atatoka.
Money talks
Sasa Viongozi wakiamua kujinufaisha kwenye hili kosa,Sasa itakuwaje na familia ya Muhangaa!!??
 
Sasa Viongozi wakiamua kujinufaisha kwenye hili kosa,Sasa itakuwaje na familia ya Muhangaa!!??
Nina ushahidi wa hili. Jirani yetu aliua ila alitoa ng'ombe 70 akatoka.
Unamkumbuka yul mkuu wa mkoa wa Tabora Ditopile Mzuzuri?
Wanaofungwa ni wale ambao hawana hela. Kuhusu familia ya marehemu huwa wanamsemo wao. "Watajijua wenyewe"
 
Baada ya miaka 2 utasikia yuko nje hana kosa
Mkuu unayosema yapo, ila cha kumuomba Mungu kila siku kukuepusha nacho ni aina hii ya makosa, mauaji.

Kuna rushwa sote tunajua, lakini kesi za mauaji Tz zinafuatiliwa kwa karibu sana na zinasumbua.

Ukipatwa na huu mkasa wa kesi ya namna hii,usipokuwa na utulivu waweza kufirisika mapema ukakosa hata pesa ya kuajiri wakilii kabla hata kesi haijaanza kutajwa, kwa sababu kila mtu atajifanya ni mhusika wa kukusaidia, ni wapigaji tu wakikuona una mtero!

Fanya vituko vyote lakini kuuwa mtu kwa bahati mbaya ama makusudi, usiombee.

Hii ni kwa namna utakavyohangaika nayo na saa zingine kupoteza uelekeo wa maisha yako forever!
 
Back
Top Bottom