Unajiita mwalimu halafu hujui kuwa injili ilikuja kwa ajili ya kuwakomboa wenye dhambi wakiwemo hao wavuta bangi! Akili zako hazina akili.Wavuta bangi wamehamia kwenye nyimbo za injili
Mtaji wa ccm ni unyani wa wananchi wengiWavuta bangi wamehamia kwenye nyimbo za injili
ngoja tuone...Salaam Wakuu
Ninacho jua, Watawala hawawezi kuwanyamazisha Watu wa Mbeya.
Watu wa Mbeya ni wapole ila ni watu wenye Ushirikiano na kupendana pia. Hawaogopi wala kutishwa.
Tangu enzi la Nyerere Mbeya imejijengea sifa hiyo.
Waliomkamata Sifa walijua wamemaliza. Bado sana na ndo kwanza kumekucha.
Siasa ya Nchi hii ni ngumu sana na hii Nchi ni Ngumu. Mbeya Mara na Arusha Baba yao mmoja.
Tulia Ackson kaanza kwa Mguu wa kushoto kwenye hili.
View attachment 2754888
Pia soma;
Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Ni dhahiri pamoja na kuwa wanaweza kuwa na mapungufu yao ila katika wanasiasa wote wanaotetea bandari Dr Slaa na Mwabukusi ukiwasikiliza utajua wapo kwa maslai ya nchi sio hao wengine tabia zao halisi tulizijua kwenye utawala wa mwamba, uzalendo wao ni mchache sana.Haipendezi kuwaonea wanawake wenzake. Watu wa Mbeya wapewe maua yao.
Tuwape nchi Urais kuwajaribu wanaonekana wana uzalendo, ujasiri na uthubutu wa dhati. Mwakubusi ni mfano dhahiri.
Agenda yake ni moja kuitetea Tanzania na Tanganyika, Dr Slaa ni mtu pia makini sana anayejali maslahi ya Taifa, Sio Tulia.
Ndio hivyo hivi kwanini wasiaziche vyama vyao wajiunge pamoja na wengine kutoka CCM, Chadema, wasio na chama tuwape nchi. Waanzishe chama chao. Mwabukusi, Dr Slaa, watakuwa viongozi mzuri kuliko Samia na genge lake. Kwanini tusijaribu wengine.Ni dhahiri pamoja na kuwa wanaweza kuwa na mapungufu yao ila katika wanasiasa wote wanaotetea bandari Dr Slaa na Mwabukusi ukiwasikiliza utajua wapo kwa maslai ya nchi sio hao wengine tabia zao halisi tulizijua kwenye utawala wa mwamba, uzalendo wao ni mchache sana.
Aisee ni balaaaMama Samia kayakanyaga
Alidhani kutenda ukatili kwa wanyonge kunawanyamazisha wengine.
Chuki inazidi kukua na matendo yake na serikali yake kunawaibua mashujaa wasiotarajiwa
Huwa napenda sana vita dhidi ya UOVU huwa nasikia kuwaka ndani yangu.Salaam Wakuu
Ninacho jua, Watawala hawawezi kuwanyamazisha Watu wa Mbeya.
Watu wa Mbeya ni wapole ila ni watu wenye Ushirikiano na kupendana pia. Hawaogopi wala kutishwa.
Tangu enzi la Nyerere Mbeya imejijengea sifa hiyo.
Waliomkamata Sifa walijua wamemaliza. Bado sana na ndo kwanza kumekucha.
Siasa ya Nchi hii ni ngumu sana na hii Nchi ni Ngumu. Mbeya Mara na Arusha Baba yao mmoja.
Tulia Ackson kaanza kwa Mguu wa kushoto kwenye hili.
View attachment 2754888
Pia soma;
Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Thread 'Kisa cha Kikwete kupigwa mawe huko Jijini Mbeya' Kisa cha Kikwete kupigwa mawe huko Jijini Mbeya
Thread 'Vurugu kubwa zazuka Chunya-Mbeya wananchi wadai madini yao!' Vurugu kubwa zazuka Chunya-Mbeya wananchi wadai madini yao!
Niwajuavyo watu wa Mbeya hakika hakuna wa kuwarudisha nyumaMama Samia kayakanyaga
Alidhani kutenda ukatili kwa wanyonge kunawanyamazisha wengine.
Chuki inazidi kukua na matendo yake na serikali yake kunawaibua mashujaa wasiotarajiwa
Moto huu kamwe hauzimwi
Kama masihala Hitler alianza mdogo mdogo, alitengeneza vibaraka wake, wakamsaidia kuhangamiza wayahudi zaidi ya milion sita.Salaam Wakuu
Ninacho jua, Watawala hawawezi kuwanyamazisha Watu wa Mbeya.
Watu wa Mbeya ni wapole ila ni watu wenye Ushirikiano na kupendana pia. Hawaogopi wala kutishwa.
Tangu enzi la Nyerere Mbeya imejijengea sifa hiyo.
Waliomkamata Sifa walijua wamemaliza. Bado sana na ndo kwanza kumekucha.
Siasa ya Nchi hii ni ngumu sana na hii Nchi ni Ngumu. Mbeya Mara na Arusha Baba yao mmoja.
Tulia Ackson kaanza kwa Mguu wa kushoto kwenye hili.
View attachment 2754888
Pia soma;
Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Thread 'Kisa cha Kikwete kupigwa mawe huko Jijini Mbeya' Kisa cha Kikwete kupigwa mawe huko Jijini Mbeya
Thread 'Vurugu kubwa zazuka Chunya-Mbeya wananchi wadai madini yao!' Vurugu kubwa zazuka Chunya-Mbeya wananchi wadai madini yao!
Niliwahi kutembelea Soko la Uyole kwa ajili ya mahitaji...ndiyo kipindi tozo imepamba moto na tukiwa Tumeambiwa tuhamie Burundi.Tulia Ackson kaanza kwa Mguu wa kushoto kwenye hili.
Your browser is not able to display this video.
Pia soma;