Serikali itawafunga wangapi? Itabidi ijenge magereza mengi.
Ufisadi, rushwa, upendeleo, ugumu wa maisha utawafanya raia wengi wapole waongee.
Dawa ni weka umeme, maji ya kuaminika, nidhamu serikali, hakikisha mafuta yanapatikana siku zote. Bandari, misitu na mikataba 30 mtuambie lengo lenu ni lipi hasa? Kelele zitapungua.
Ufisadi, rushwa, upendeleo, ugumu wa maisha utawafanya raia wengi wapole waongee.
Dawa ni weka umeme, maji ya kuaminika, nidhamu serikali, hakikisha mafuta yanapatikana siku zote. Bandari, misitu na mikataba 30 mtuambie lengo lenu ni lipi hasa? Kelele zitapungua.