Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Wana u much know mwingi sana. Alafu hawana loloteKama wameumbwa hivyo hata wapelekwe ulaya hawatakuja na jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana u much know mwingi sana. Alafu hawana loloteKama wameumbwa hivyo hata wapelekwe ulaya hawatakuja na jipya
Mmoja wa Wajumbe wa Baraza hilo ni Tulia AcksonView attachment 2662379
Madiwani wa Mbeya , msikie hayo madongo.
Mnajali posho zenu tu, mmeifanyia nini Mbeya?
Soko lililo ungua tulitegemea Mbeya Shopping Mall!
Mmekaa tu na kusugua mabenci kwa vikalio.
Sasa RC Homera amewapasha vizuri!
Duh....!shida ya watu wa mbeya wanajua kila kitu,wanafiki na wabaguzi na matokeo yao ndo hayo.hawana utofauti na akina nshomile.
Naafiki.wale wasafwa walikuwa wagumu sanaHakuna sehemu iliyojengwa hovyo hapa nchini kama Mbeya
Sujui ilikuwaje walipewa hadhi ya jiji? Sielewagi hadi kesho
Tulia afikirie namna ya kuboresha majengo ya mji wa Mbeya, na iwe kampeni ya miaka 10.Kweli kabisa, mji wenye mandhari mzuri unajengwa hovyo na kuuchafua kabisa. Pale mjini mabati yamejazana kutu.
Halafu kinasimama Kimbunge cha pale kudanganya watu.
Sasa natarajia vita takatifu kati ya RC na Mbunge. Maana hao madiwani ni wa mbunge, kila wakati anawaita Dodoma wakamtembelee