Mbeya city vs Simba SC uwanja wa Sokoine

Hivi wanaosema Simba inabebwa wanatakaje?? Kwamba kwa akili zao Simba ni timu ya kufungwa tu au?

Yani timu imezifunga club nyingi kubwa kama Al ahly, As vita, J soura, Nkana fc bado mnasema inabebwa?? [emoji23][emoji23][emoji23]

Alafu kwann wanapenda sana kutumia kigezo kuwa eti ndomaana tukienda nje tunafungwa tano?? kwann hawazungumzii mafanikio?? Kwan Simba ndo club ya kwanza kufungwa 5? mbona al ahaly walitufunga 5 na wao wamepigwa 5?

Acheni uzwazwa bhana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanamaanisha kwa kiwango cha Simba SC,
Uwezo wao ni wa kuwafunga Yanga na Azam Pekee.
Katika Ligi ya TPL.
 
Jana simba wame wafunga mby city ki halali
Wasio kubali ni hawa wasafirisha mihadarati.
 
The best referees staged AFCON 2019..waliobakia vilaza. .hata AFCON under 17..marefa wangapi wa Bongo walichezesha. ...
Kwa hiyo ikimtokea dharula mojawapo wa hao uliowaita the best na akashindwa kwenda kuchezesha AFCON, basi maana yake CAF watalazimika kumchukua kilaza?
 
Kama tukienda nje tunafungwa basi hao Mbeya city waombe mechi ya kirafiki hata na Nkana fc ila wajitambulishe wanatokea Somalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…